Sio hitaji la lazima kwa nani?Gari siyo hitaji la lazima!
Msicomplicate maisha kiasi hiki jamani!...mtachochea hata ujambasi mitaani, kisa VITZ!
Kwa sasa najenga, hivyo nimeona ni vyema nijenge kwanza wakati huu ambao bado nakaa nyumba za bure za ofisi, then ikiisha niipangishe, then hela itakayotokana na kodi ya pango nichanganye na nyingine ndo ninunue gari. Unajua nini nisingependa mwanangu atakapo-join university mwakani basi hiyo kodi ya nyumba ndiyo itumike kumlipia tuition fees maana nataka asome kozi yenye future na sio ile atakayochaguliwa na TCU. Sipendi asome kwa mkopo wa HESLB.
Kwa kuwa dodoma nyumba ya kupanga sasa si chini ya 350,000 kwa mwezi, nadhani kodi ya mwaka ya millioni 4, katoto kataweza kusomeshwa na kodi ya nyumba tofauti na kama nikinunua gari ambalo litakuwa linavyonza tu mfuko wangu.
kumbe uko dodoma, huko mbona usafiri sio shida?
panda daladala lifti iwe mara moja ukiwa na shida haswaaaa
lakini kama kila siku lifti hata jirani inamchosha, kuna kipini mtu anaamka na kisirani anahitaji kuwa mwenyewe, au ana mawazo yake au anahitaji privacy, so ukiwa wangojea lifti daily unamkwaza kimtindo.....
panda daladala mkuu
Kwa asiye na ulazima wa hitaji hilo kwa wakati huo.Sio hitaji la lazima kwa nani?
Wewe ndio maana umeambiwa ununuwe gari lako maana inaonekana ulikuwa unapewa lifti na unataka kupiga honi wewe.taratibu mkuu, punguza munkari mweeeeeee!
kaka mimi nimetania tu ,ulivonishupalia? Mimi sio aina iyo ya wanawake unaowajua mkuu.kwanza mimi ukinihonga vitz sipokei mkuu ile gari kitukuu cha gari?kina dada wengi wameharibiwa sehemu zao za siri za nyuma kwa mawazo finyu kama haya. Kila binadamu ana vipaumbele vyake na ana majukumu yake, nyinyi ndio mnamsamini mtu aliepanga vyumba viwili sinza na ana gari la millioni 6, lakini unamdharau aliejenga nyumba ya millioni 80 mbagala na hana gari. Think big.
Kwa sasa najenga, hivyo nimeona ni vyema nijenge kwanza wakati huu ambao bado nakaa nyumba za bure za ofisi, then ikiisha niipangishe, then hela itakayotokana na kodi ya pango nichanganye na nyingine ndo ninunue gari. Unajua nini nisingependa mwanangu atakapo-join university mwakani basi hiyo kodi ya nyumba ndiyo itumike kumlipia tuition fees maana nataka asome kozi yenye future na sio ile atakayochaguliwa na TCU. Sipendi asome kwa mkopo wa HESLB.
Kwa kuwa dodoma nyumba ya kupanga sasa si chini ya 350,000 kwa mwezi, nadhani kodi ya mwaka ya millioni 4, katoto kataweza kusomeshwa na kodi ya nyumba tofauti na kama nikinunua gari ambalo litakuwa linavyonza tu mfuko wangu.
Tatizo niko serious muda mwingi, mpaka unitekenye kidogo kama hivi ndio nakumbuka niko na warembo wanaohitaji kauli laini. Karibu basi lunch Hunters club Kino, ni mwendo wa nyama choma ya foil na ugali na maji makubwa ya Kilimanjaro.kaka mimi nimetania tu ,ulivonishupalia? Mimi sio aina iyo ya wanawake unaowajua mkuu.kwanza mimi ukinihonga vitz sipokei mkuu ile gari kitukuu cha gari?
mi mi sili ugali wala red meat mkuu naona iyo meal imekaa kushoto sana na mimi thax anyway enjoy u a lunch yooooooooootatizo niko serious muda mwingi, mpaka unitekenye kidogo kama hivi ndio nakumbuka niko na warembo wanaohitaji kauli laini. Karibu basi lunch hunters club kino, ni mwendo wa nyama choma ya foil na ugali na maji makubwa ya kilimanjaro.
Hapa umenikumbusha kitu, kuna bosi wangu mmoja ukipanda gari lake ole wako ubamize mlango utanuniwa siku mbili.Ndyoko, ulifanya vizuri kushuka. Na usirudie kuomba omba lift kwenye vigari vya watu. Ridhika na hali yako, panda dala dala hadi hapo mambo yako yatakaporuhusu ununue kibajaji chako!
Ukweli ni kwamba, wenye magari wengi huona kero kuombwa ombwa lift. Wengine wanaingia kwenye gari na matope na kuchafua, wanashika viti na mikono yenye mafuta, ili mradi ni kero. Hawajui kuna matunzo ya usafi wa gari.
Utakuta mtu anajisifia kuwahi lift eti amesave nauli wakati mwenye gari anawaza pesa za mafuta!
Mhh mhhh mhhh!! Wewe utakuwa ni vigiteriani, anyway kesho nitakualika Masaki Didi's Pub kwa ajili ya lunch ya mishikaki ya samaki na chips. sea food is good for u?mi mi sili ugali wala red meat mkuu naona iyo meal imekaa kushoto sana na mimi thax anyway enjoy u a lunch yoooooooooo