Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
umeliona hilo mchumba,inabidi tuite kamati ya usuluhishi kati ya Julius na Nguli.Hawa watu wana bifu la kichinichini.Hehehe! Vita tena? Kutoka mada ya misosi mpaka vita ya mabox Vs mavumbi! Natafuta taswira kamili.
wajumbe ni:
Xpin
Invizibo
Vera
MJ1
Nyamayao
Fidel80
ZD
Geoff
Burn
Semenya
Kaizer
Sipo
Masanilo
FL1
Mamaa Carmel