Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
Watu wa ofisini wote (wanaume na wanawake) wanatakiwa kula mara mbili kwa siku,asubuhi na jioni saa 11 au saa 12.
Asubuhi kula kitu hevi kama chai na kiporo au mihogo,viazi na hata mabumunda.usisahau matunda.
Mchana kula matunda au kunywa juice.
Jioni kula chips na kachumbari,au wali nyama kidogo sana.
usisahau kuywa maji angalau lita 2 kwa siku nzima.
Na wale wa zege hao wale chakula hevi hata mara 3 kwa siku ugali na wali au ndizi na mboga nyingi.
Wagonjwa,wajawazito na watoto na wazee wanaratiba yao special wataalamu wanajua.
NB.Jinsi unavyolizoesha tumbo lako ndivyo linavyokuwa.ukila sna linatanuka na utakuwa unasikia sana njaa na hushibi haraka.ukila kiasi ukizoea utakuwa unakula kiduchu.
Asubuhi kula kitu hevi kama chai na kiporo au mihogo,viazi na hata mabumunda.usisahau matunda.
Mchana kula matunda au kunywa juice.
Jioni kula chips na kachumbari,au wali nyama kidogo sana.
usisahau kuywa maji angalau lita 2 kwa siku nzima.
Na wale wa zege hao wale chakula hevi hata mara 3 kwa siku ugali na wali au ndizi na mboga nyingi.
Wagonjwa,wajawazito na watoto na wazee wanaratiba yao special wataalamu wanajua.
NB.Jinsi unavyolizoesha tumbo lako ndivyo linavyokuwa.ukila sna linatanuka na utakuwa unasikia sana njaa na hushibi haraka.ukila kiasi ukizoea utakuwa unakula kiduchu.