WomanOfSubstance
Platinum Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 972
Ninaleta mada hii ili kujaribu kuelewa zaidi kuhusu wanawake na wanaume katika kupendelea vitu fulani zaidi( preferences).
Nitaanza na 1.VYAKULA.
Je ni kweli wanaume wanapenda zaidi kula ugali, wali, viazi ndizi, wakati wanawake hupendelea zaidi soup/mtori,chips, macarroni/spaghetti,mikate, maandazi, chapati,salads?
Nimewahi kusikia kwa baadhi ya wanaume kuwa wasipokula ugali hawashibi; ugali huwafanya wawe na nguvu zaidi za mwili na hata majukumu yake mengine ya uzazi. Je kuna ukweli?
Mimi binafsi sioni tofauti katika vyakula na hivyo hakuna ninachopendelea zaidi ya kingine alimradi kimepikwa vizuri.Ugali siupendelei zaidi kwa sababu tangu utotoni sikuupenda.
Naomba sana michango yenu - wanawake kwa wanaume kwa uwingi wenu iwezekanavyo.
Asanteni.
Nitaanza na 1.VYAKULA.
Je ni kweli wanaume wanapenda zaidi kula ugali, wali, viazi ndizi, wakati wanawake hupendelea zaidi soup/mtori,chips, macarroni/spaghetti,mikate, maandazi, chapati,salads?
Nimewahi kusikia kwa baadhi ya wanaume kuwa wasipokula ugali hawashibi; ugali huwafanya wawe na nguvu zaidi za mwili na hata majukumu yake mengine ya uzazi. Je kuna ukweli?
Mimi binafsi sioni tofauti katika vyakula na hivyo hakuna ninachopendelea zaidi ya kingine alimradi kimepikwa vizuri.Ugali siupendelei zaidi kwa sababu tangu utotoni sikuupenda.
Naomba sana michango yenu - wanawake kwa wanaume kwa uwingi wenu iwezekanavyo.
Asanteni.