WomanOfSubstance
Platinum Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 972
- Thread starter
- #161
Mimi hakuna kitu kinacho niudhi kama mwanamke awe anavaa nguo za aghali na ma pafyumu ya bei mbaya halafu unamkuta mwili wake
sehemu za ndani kukavu kukavu....mafuta hayafiki kwenye mapaja...
Na makalio......
Usafi wa mwili wa ndani wa mwanamke ndo uwe muhimu zaidi..
Kuna wanawake ukisha sex nae mara moja..
Hamu inapungua sababu ya usafi wa juuu juuu tu.
Usafi wa juu juu kwa wote si kitu kizuri.... wote wanawake na wanaume shurti wachukue muda kujiswafi eti....
hohooooooooo... wanawake? Hebu jaribu ujue ni wanaume wangapi (percentage) wanaweza wakawa wanapaka mafuta mwilini halafu tucheke humu, mmoja wao mie, sipaki mpaka niwe sehemu za baridi maana mtu unaweza kupauka kama gazeti!!!
wanaume na mafuta? sasa mbona wanaenda siku hizi kufanyiwa facial..ina maana usafi wao ni uso tu??
Hili nalo jambO!!
Hili ni kweli kabisa, kuna wakati mpaka unaogopa kujua kama jamaa ameoa na anapata ile kitu!!
Hili nalo neno!....