Hivi jamani kuna vya wanawake na vya wanaume?

Hivi jamani kuna vya wanawake na vya wanaume?

Binamu mpaka kieleweke leo lol.Tutapekenyua kila kitu hapa! Tuko kwenye taulo na shuka sasa...
tabia ya kufunga taulo kiunoni kisha kutoka na kuanza kuzunguka zunguka...akina kaka mnasemaje?

Hahaha! Hapo binamu unakorofisha. Labda ndani ya taulo awe amevaa bukta. Otherwise ikidondoka kwa bahati mbaya! Lol! To me Kuzunguka na taulo ni ulimbukeni na ushamba. Ikianza mada ya soksi usisahau kuniPM manake hapo ndio penyewe. Lol!
 
Kweli kaka na waume zetu mna mambo! Mko tegemezi sana kwenye usafi na unadhifu ehh?

Hakuna mwanamme atakaepinga hili. Same same. Without you women, its a mess! Thats why I love you women. No one can insult a woman with my support. You are our everything good.
 
Hahaha! Hapo binamu unakorofisha. Labda ndani ya taulo awe amevaa bukta. Otherwise ikidondoka kwa bahati mbaya! Lol! To me Kuzunguka na taulo ni ulimbukeni na ushamba. Ikianza mada ya soksi usisahau kuniPM manake hapo ndio penyewe. Lol!
Poa.... utaarifiwa bila shaka.
Wakati tunatafakari haya ya usafi na unadhifu... sikiliza kisa hiki:

Bwana mmoja alikuwa anacheza na mtoto huku kajifunga taulo bila kuvaa hata bukta ndani.....wakati anamrusha na kumdaka ikafika wakati kamrusha na huku taulo inadondoka... unadhani ingekuwa wewe ungefanyaje? Ungemwachia mtoto ufunge taulo au ungemdaka mtoto na kuachia taulo?
 
Poa.... utaarifiwa bila shaka.
Wakati tunatafakari haya ya usafi na unadhifu... sikiliza kisa hiki:

Bwana mmoja alikuwa anacheza na mtoto huku kajifunga taulo bila kuvaa hata bukta ndani.....wakati anamrusha na kumdaka ikafika wakati kamrusha na huku taulo inadondoka... unadhani ingekuwa wewe ungefanyaje? Ungemwachia mtoto ufunge taulo au ungemdaka mtoto na kuachia taulo?

Inategemea kama nitakuwa nimevaa bukta ndani au laa. Vilevile inategemea kama nilikuwa nacheza naye wapi; Chumbani/sebuleni/nje.
 
Na nyinyi nanyi mumezidi, Ugali nacho chakula? maraisi wote wanaofanyiwa dhifa hapo ikulu wanawekewa wali , ugali hautajwi kabisa!!!!!!!!!!!
 
Inategemea kama nitakuwa nimevaa bukta ndani au laa. Vilevile inategemea kama nilikuwa nacheza naye wapi; Chumbani/sebuleni/nje.
Hujavaa bukta wala nini uko vileeeeeee na uko nje kuna watu kibao! Si unajua tena mambo ya uswazi na nyumba za kupanga..mambo flani ya kusubiri kuingia bafuni.
 
Ulaji wa wanaume na wanawake unaongozwa zaidi na utofauti wa mahitaji ya mwili. Ni dhahiri kutokana na kazi za wanaume na jinsi mwili ulivyojengeka, unamahitaji mengi tofauti na mwanamke. Hii ndo maana wanaume Nyoronyoro " Wanaoitwa wanaume kama ma binti" hutendi kula kama haooh mabinti na hauwezi tofautisha. Kwakua mwili wao unahitaji hivyo. Ila kwasababu ya mikiki mikiki ya mwanaume. Both shamba na hata mjini mwanaume amekua akihitaji vyakula vya nguvu zaidi ya mwanamke.
 

Wine inalegeza maungo mama, kumbuka shurti mwanamke alegee na mwanaume akakamae at the end of the day!!
 
Hujaa bukta wala nini uko vileeeeeee na uko nje kuna watu kibao! Si unajua tena mambo ya uswazi na nyumba za kupanga..mambo flani ya kusubiri kuingia bafuni.

Kwa hili mtoto ataniwia radhi. Ni fasta kukamatia taulo na kubonyeza namba za ambulance! Lol! Manake itakuwa stori kwenye magazeti ya udaku. Afadhali uwe na normal size. Ukute saizi yenyewe ndio kama bamia za bagamoyo zilizooteshwa bila mbolea! hahaha! Au mdude mkubwa kama matango ya tegeta yaliyokuzwa na samadi ya kuku wa kienyeji! Mkeo watu watakuwa wakimwangalia hawammalizi! Hahahaha! Mungu aepushie mbali hii dhahma.
 
haya tuweke kinywaji pending..
lets move on.
Part 3 UNADHIFU

Siku hizi wanawake na wanaume generally wanajitahidi sana kwenye usafi na utanashati.Kuna hata misemo kuwa cleanliness is Godly....to be clean is to be next to God etc.Lakini suala la usafi lina siasa zake.Je wanawake na wanaume ni wapi wanajali sana usafi wao binafsi - mwili, nywele, nyumba wanamoishi, maofisini, vyooni nakadhalika?
Tuwe wakweli kabisa kwenye hili.

Duh!!

a few cents

  • Mwili kwakweli ni mimi ntasema inategemea kwani kuna vikwapa pande zote mbili na manukato pande zote,
  • kwenye nywele generally wanaume ni wasafi kwani huonsha nywele mara nyingi zaidi... hakuna kitu kinachoweka uchafu katika mwili wa binadamu (kuliko hata kinyesi) kama nywele... sasa ukizingatia kuna misuko, manywele bandia na kufuga, vyote hivyo husababisha kichwa cha mwanamke kuoshwa mara chache sana, hapo sijaweka ile mikofia ya usiku!!
  • Maofisini ni fifty/fifty,
  • vyooni kwakweli wanawake ni wasafi sana, choo cha kike na cha kiume tofauti (labda vya shimo)
  • Mengine ni kama kwenye magari, wanawake si wasafi sana kwenye magari utakuta viatu, kanga, karatasi, maganda ya matunda, chupa za maji, used tissue papers, sunglasses, vitana na kadhalika
 
. Afadhali uwe na normal size. Ukute saizi yenyewe ndio kama bamia za bagamoyo zilizooteshwa bila mbolea! hahaha! Au mdude mkubwa kama matango ya tegeta yaliyokuzwa na samadi ya kuku wa kienyeji! Mkeo watu watakuwa wakimwangalia hawammalizi! Hahahaha! Mungu aepushie mbali hii dhahma.

You have earned two tickets for Jaydee and Machozi Band this friday at the Zhong Hua Garden. Mkuu tangu asubuhi nilikuwa sijacheka na hapo umenipa sababu ya kuanza kuzitundika leo kwenye ladies night.
 
Duh!!

a few cents

  • Mwili kwakweli ni mimi ntasema inategemea kwani kuna vikwapa pande zote mbili na manukato pande zote,
  • kwenye nywele generally wanaume ni wasafi kwani huonsha nywele mara nyingi zaidi... hakuna kitu kinachoweka uchafu katika mwili wa binadamu (kuliko hata kinyesi) kama nywele... sasa ukizingatia kuna misuko, manywele bandia na kufuga, vyote hivyo husababisha kichwa cha mwanamke kuoshwa mara chache sana, hapo sijaweka ile mikofia ya usiku!!
  • Maofisini ni fifty/fifty,
  • vyooni kwakweli wanawake ni wasafi sana, choo cha kike na cha kiume tofauti (labda vya shimo)
  • Mengine ni kama kwenye magari, wanawake si wasafi sana kwenye magari utakuta viatu, kanga, karatasi, maganda ya matunda, chupa za maji, used tissue papers, sunglasses, vitana na kadhalika
MTM.. nywele za wanawake zinalalamikiwa sana...lakini sijui kama ni kila mwanamke ana tatizo la kutokujua kusafisha nywele..... mwanamke msafi huwezi kukuta nywele zinanuka au zinachefua.... anyway tuendelee kupokea mawazo.

Kuna wanaume utawasikia wakisema kuwa mwanamme ni pamoja na kuwa rough/mchafu! Kunuka kikwapa etc..je hii ikoje nayo?
 
Kuna wanaume utawasikia wakisema kuwa mwanamme ni pamoja na kuwa rough/mchafu! Kunuka kikwapa etc..je hii ikoje nayo?

Sidhani kama ni kweli; Maana ukisema hivyo utanifanya niamini kwamba vile vi-yellow sticker ninavyoviona kwenye vikwapa vya akina dada wanaovaa tops laini ndio uanamke... yaani hujastukia huko mitaani wanaume wanaosifiwa kwa uanaume wao ni wale walio smart??? Hii ya mwanaume kikwapa labda ipo sehemu frani ambazo siwezi kusema, ila huko kuna kila kitu mazee


Mimi, kama mtoto niliyekulia uswahilini na nakumbuka wakati tuko primary wilayani kinondoni akina dada wa darasa letu walikuwa wanatema sana vikwapa, nimesoma sekondari Dar na mikoani! afadhali Dar wanawake wanaweza kujipamba kuliko wanaume hivyo kuondoa ile dhana ya vikwapa. Baada ya kuja kazini, naona kama ngoma droo tu kwenye masuala ya usafi na sasa tena mijini mpaka mambo ya kucha facial nk.

Kuhusu la nywele nadhani akina mama mnatakiwa kujua beauty, and Godly is always in its natural way!!! ashakum si matusi... in many cases, accessroies nyingi huwa ni uchafu at the end!

Sasa hebu tuangalie kwenye usafi wa magari yao
 
Sidhani kama ni kweli; Maana ukisema hivyo utanifanya niamini kwamba vile vi-yellow sticker ninavyoviona kwenye vikwapa vya akina dada wanaovaa tops laini ndio uanamke... yaani hujastukia huko mitaani wanaume wanaosifiwa kwa uanaume wao ni wale walio smart???


Mimi, kama mtoto niliyekulia uswahilini na nakumbuka wakati tuko primary wilayani kinondoni akina dada wa darasa letu walikuwa wanatema sana vikwapa, nimesoma sekondari Dar na mikoani! afadhali Dar wanawake wanaweza kujipamba kuliko wanaume hivyo kuondoa. Baada ya kuja kazini, naona kama ngoma droo tu kwenye masuala ya usafi na sasa tena mijini mpaka mambo ya kucha facial nk.

Kuhusu la nywele nadhani akina mama mnatakiwa kujua beauty, and Godly is always in its natural way!!! ashakum si matusi... in many cases, accessroies nyingi huwa ni uchafu at the end!

Sasa hebu tuangalie kwenye usafi wa magari yao


Kwenye magari... ni kweli majority ya wanaume japo siyo wote wanajali usafi wa magari... iwe ni mtu binafsi na gari yake au taxi driver - ukikuta mwanaume anapenda gari kama kaka yangu utadhani gari ndiyo mkewe... inatunzwa mara ipelekwe carwash..maa car shampooing, waxing, pimping hadi nashangaa hivi kaka ukilala unaotaga magari yako tu au?
LAKINI kuna wanaume wengine nao mhhh..angalia madereva wa daladala, magari ya abiria, magari ya mizigo! Uchafu utadhani ni sehemu ya maisha yao!
Kwa wanawake...ukikuta mwanamke mwenye watoto lazima gari yake itakuwa chafu maana watoto wanataka wale na kunywa kwenye gari na kutupatupa makaratasi ovyo.
Lakini pia kuna wanawake wanapenda sana magari yao hasa kama ni gari aliyoichagua mwenyewe kwa maana ya model, au gari ya bei mbaya maana itakuwa aibu unaendesha kwa mfano Mercedes MG3 SE 6 halafu iwe chafu!
 
Mimi hakuna kitu kinacho niudhi kama mwanamke awe anavaa nguo za aghali na ma pafyumu ya bei mbaya halafu unamkuta mwili wake

sehemu za ndani kukavu kukavu....mafuta hayafiki kwenye mapaja...
Na makalio......

Usafi wa mwili wa ndani wa mwanamke ndo uwe muhimu zaidi..

Kuna wanawake ukisha sex nae mara moja..
Hamu inapungua sababu ya usafi wa juuu juuu tu.
 
Mimi hakuna kitu kinacho niudhi kama mwanamke awe anavaa nguo za aghali na ma pafyumu ya bei mbaya halafu unamkuta mwili wake

sehemu za ndani kukavu kukavu....mafuta hayafiki kwenye mapaja...
Na makalio......

Usafi wa mwili wa ndani wa mwanamke ndo uwe muhimu zaidi..

Kuna wanawake ukisha sex nae mara moja..
Hamu inapungua sababu ya usafi wa juuu juuu tu.

hohooooooooo... wanawake? Hebu jaribu ujue ni wanaume wangapi (percentage) wanaweza wakawa wanapaka mafuta mwilini halafu tucheke humu, mmoja wao mie, sipaki mpaka niwe sehemu za baridi maana mtu unaweza kupauka kama gazeti!!!

Hili nalo jambO!!
 
LAKINI kuna wanaume wengine nao mhhh..angalia madereva wa daladala, magari ya abiria, magari ya mizigo! Uchafu utadhani ni sehemu ya maisha yao!

Hili ni kweli kabisa, kuna wakati mpaka unaogopa kujua kama jamaa ameoa na anapata ile kitu!!
 
Back
Top Bottom