Hivi jamani kuna vya wanawake na vya wanaume?

Hivi jamani kuna vya wanawake na vya wanaume?

Hahahaha hiyo kachumbari balaa! Hiyo inakwenda mpaka kwenye nguo za ndani, mtu akivaa chupi ina mirangi rangi inachefua kwa kweli. Unakuta chupi ina rangi zaidi ya mbili khaa! Njano, bluu na nyeupe! Ukijiuliza kaitoa wapi hupati jibu maana hata wachina sijui kama bado wanatengeneza!
Labda kwa vile haionekani.Lakini nyeupe nayo yataka moyo,yani uwe msafi kwelikweli.
hebu niambie na swala la nywele za wadada,Wanaume mnasemaje kuhusu zile weaving nasikia zinakaa hata miezi ,kichwa hakijatiwa maji.
 
Hahahaha hiyo kachumbari balaa! Hiyo inakwenda mpaka kwenye nguo za ndani, mtu akivaa chupi ina mirangi rangi inachefua kwa kweli. Unakuta chupi ina rangi zaidi ya mbili khaa! Njano, bluu na nyeupe! Ukijiuliza kaitoa wapi hupati jibu maana hata wachina sijui kama bado wanatengeneza!


nimecheka cna mbavu, umenipeleka mbali kweli! wakati ule nikimwita boyfrnd ma boxer yote yalikuwa ya rangi rangi, nilikuwa nachukua kweli nikawa namuona kama mchafu fulani hivi, sasa hivi kwa kweli lazima kwa ndani avae white, hana marangi rangi hata moja, nahic nguo za ndani kuwa na marangi rangi haipendezi, napendelea zaidi white.
 
Labda kwa vile haionekani.Lakini nyeupe nayo yataka moyo,yani uwe msafi kwelikweli.
hebu niambie na swala la nywele za wadada,Wanaume mnasemaje kuhusu zile weaving nasikia zinakaa hata miezi ,kichwa hakijatiwa maji.

Ukiona mtu anavaa chupi nyeupe ujue anajiamini sana katika swala la usafi na wala hana wasiwasi katika hilo. Huo utafiti binafsi nilioufanya mimi mwenyewe na kuthibitisha hilo!
 
nimecheka cna mbavu, umenipeleka mbali kweli! wakati ule nikimwita boyfrnd ma boxer yote yalikuwa ya rangi rangi, nilikuwa nachukua kweli nikawa namuona kama mchafu fulani hivi, sasa hivi kwa kweli lazima kwa ndani avae white, hana marangi rangi hata moja, nahic nguo za ndani kuwa na marangi rangi haipendezi, napendelea zaidi white.

Yap! White ndio yenyewe!
 
Labda kwa vile haionekani.Lakini nyeupe nayo yataka moyo,yani uwe msafi kwelikweli.
hebu niambie na swala la nywele za wadada,Wanaume mnasemaje kuhusu zile weaving nasikia zinakaa hata miezi ,kichwa hakijatiwa maji.

Weaving, au nywele zinazonuka is number one turn-off!! Mbona kuna staili nzuri tu za nywele ambazo wala hazihitaji gharama kubwa! Mfano kusuka, kunyoa upara na kadhalika.

Ma-weaving kwa kweli ni kichefuchefu tupu!
 
Labda kwa vile haionekani.Lakini nyeupe nayo yataka moyo,yani uwe msafi kwelikweli.
hebu niambie na swala la nywele za wadada,Wanaume mnasemaje kuhusu zile weaving nasikia zinakaa hata miezi ,kichwa hakijatiwa maji.

Hahaha! Mchumba unaanza kutoa siri za ndani usipokuwa makini.
 
Weaving, au nywele zinazonuka is number one turn-off!! Mbona kuna staili nzuri tu za nywele ambazo wala hazihitaji gharama kubwa! Mfano kusuka, kunyoa upara na kadhalika.

Ma-weaving kwa kweli ni kichefuchefu tupu!

Hahaha! Binamu hapo kwenye bold umegonga ikulu. Ila hapo kwenye red napo bana inategemea kichwa na kichwa au n'tu na n'tu!
 
Hahaha! Mchumba unaanza kutoa siri za ndani usipokuwa makini.

hahahaa,yani umefika huku?basi ngoja nikae kimya.lakini ndio ukweli.hasa siku zile muhimu za kuwa wanajimu, nyeupe balaa,mavumbi kibao katika safari na isitoshe maji yenyewe ya chumvi ya Mwananyamala,yanakomaza ile mbaya.!
 
Hahaha! Binamu hapo kwenye bold umegonga ikulu. Ila hapo kwenye red napo bana inategemea kichwa na kichwa au n'tu na n'tu!

ofpoint hii halafu basi.nataka kukupa hongera kwa vile wapwa family imekamilika.na wewe bolded!
 
Mimi nilidhani haya ya kawaida sana kwa Dar kwa ajili ya joto,yani huwezi rudia nguo mara 2.Usafi ninaoongelea mimi ni ule unadhifu wa kwenda na wakati,sio mdada unavaa kachumbari(viatu vyekundu,sketi ya njano,pochi nyeusi na blauzi ya kijani) ,huoni kama huo ni uchafu.
na kuhusu mume kuvaa tshirt w'end ruksa lakini sio katikati ya wiki.

Hapo chacha. Ukiolewa na fundi kazi unayo! Hahaha! Ngoja nianze kufanya shopping ya pamba. Sikuyajua haya. Lol! Kweli JF ni darasa tosha!
 
Hapo chacha. Ukiolewa na fundi kazi unayo! Hahaha! Ngoja nianze kufanya shopping ya pamba. Sikuyajua haya. Lol! Kweli JF ni darasa tosha!

Au kama mumeo ni bwana shamba au engineer, kazi yake hairuhusu kuvaa tai! Halafu kuna watalaam wa miamba, wanaitwa Geologists, hawa kazi zao mara nyingi ni migodini na maporini kuwenye. Hayo mavazi hayawafai kabisa!
 
Hahaha! Binamu hapo kwenye bold umegonga ikulu. Ila hapo kwenye red napo bana inategemea kichwa na kichwa au n'tu na n'tu!

Nimekupta binamu. Ukiwa na kichwa chenye mabonge kunyoa upara ni noma! Ila kusuka ''twende kilioni'' hakujalishi sana kichwa cha mtu.
 
Asante ZD,
Nakuunga mkono 98% kuwa inategemeana na ulikozaliwa/toka.Ninasema hivi kwa sababu, chukulia wale walaji wa ndizi kwa mfano.Miaka ya zamani ilikuwa ni aibu kubwa kula ugali maana waliona ugali ni chakula cha kimasikini! Siku hizi imani hizi hazipo tena.Unakuta ugali unaliwa na makabila yote.Kadhalika kwa baadhi ya makabila yasiyolima mpunga, wali uliliwa kama chakula cha sikukuu! Siku hizi wali ni chakula maarufu kila mahali na kwa makabila yote bila kujali wanalima mpunga au kuna sherehe .
Hii ni dharau ya mwaka! Ugali chakula cha kimaskini? Toka lini? Ninavyojua ugali umeanza kuliwa miaka kibao huko nyuma. Mahandi yanalimwa sehemu nyingi nchini na ndio hutoa ugali.

Kuna aina kadhaa za ugali na hii inategemea na maandalizi yake mara baada ya mahindi kuvunwa. Kuna unga wa ugali ambao unatokana na mahindi yaliyokobolewa na kuna unga wa ugali unaotokana na mahindi yaliyosagwa bila ya kukobolewa maarufu kama Sembe.

Dhana ya ugali kuonekana kama chakula cha chini, ilitokana na ukame mkubwa wa miaka ya sabini, ambapo nchi ilipewa msaada mkubwa wa unga wa njano toka Marekani, na baadae ugali huo ukawa maarufu kama Yanga. Na ni dhana tu, haikuwai hata siku moja katika historia ya nchi hii kuwa ugali ni chakula cha maskini.

Wengi tokea zamani walipendelea kula ugali kama chakula cha mchana, na jioni kubadilisha aina ya mlo. Mikoa mingine wanapenda kula ugali asubuhi, huku baadhi ya mikoa wakipenda kula ugali wakati wa jioni. Hii inatoka na desturi zao na mazingira yao hali kadhalika majukumu yao.
 
Bado tuko kwenye unadhifu na umaridadi....
mbona sijasikia kuhusu usafi wa maeneo kama vyooni?... na vipi je kuhusu matandiko, mataulo nk.
Kuna mtu alikuwa ananunua taulo, akaonyeshwa taulo nyeupe..wacha akatae anataka taulo za brown, dark green etc ati kwa vile hazionyeshi uchafu! Sasa mtu anataka atumie taulo mara/siku ngapi?
Ukiacha taulo, mashuka nayo...... unakuta mtu analalia shuka hadi akilisimamisha linasimama kwa uchafu!......
Nini maoni ya akina kaka/baba na dada/mama kwenye hili??
 
Bado tuko kwenye unadhifu na umaridadi....
mbona sijasikia kuhusu usafi wa maeneo kama vyooni?... na vipi je kuhusu matandiko, mataulo nk.
Kuna mtu alikuwa ananunua taulo, akaonyeshwa taulo nyeupe..wacha akatae anataka taulo za brown, dark green etc ati kwa vile hazionyeshi uchafu! Sasa mtu anataka atumie taulo mara/siku ngapi?
Ukiacha taulo, mashuka nayo...... unakuta mtu analalia shuka hadi akilisimamisha linasimama kwa uchafu!......
Nini maoni ya akina kaka/baba na dada/mama kwenye hili??

Hahaha! Leo binamu umepania. Mi nasubiria utakapoulizia usafi wa soksi za miguuni,nasisitiza, za miguuni ndio ntachangia. Manake hapo ndipo penye shughuli kubwa. Lol!
 
Bado tuko kwenye unadhifu na umaridadi....
mbona sijasikia kuhusu usafi wa maeneo kama vyooni?... na vipi je kuhusu matandiko, mataulo nk.
Kuna mtu alikuwa ananunua taulo, akaonyeshwa taulo nyeupe..wacha akatae anataka taulo za brown, dark green etc ati kwa vile hazionyeshi uchafu! Sasa mtu anataka atumie taulo mara/siku ngapi?
Ukiacha taulo, mashuka nayo...... unakuta mtu analalia shuka hadi akilisimamisha linasimama kwa uchafu!......
Nini maoni ya akina kaka/baba na dada/mama kwenye hili??


kuhusu taulo hata mie kweli mataulo yangu ninayotumia nyumbani ni cream, leupe napenda liwe la safari... mashuka inategemea hapo, naweza kuweka leo na kubadili leo, otherwic haipiti cku 3 bila kubadili.....
 
Hahaha! Leo binamu umepania. Mi nasubiria utakapoulizia usafi wa soksi za miguuni,nasisitiza, za miguuni ndio ntachangia. Manake hapo ndipo penye shughuli kubwa. Lol!

Binamu mpaka kieleweke leo lol.Tutapekenyua kila kitu hapa! Tuko kwenye taulo na shuka sasa...
tabia ya kufunga taulo kiunoni kisha kutoka na kuanza kuzunguka zunguka...akina kaka mnasemaje?
 
kuhusu taulo hata mie kweli mataulo yangu ninayotumia nyumbani ni cream, leupe napenda liwe la safari... mashuka inategemea hapo, naweza kuweka leo na kubadili leo, otherwic haipiti cku 3 bila kubadili.....

Hahaha! Mi wife akisafiri huwa napata kizungumkuti cha ufuaji wa taulo na mashuka. Anaweza kurudi akakuta shuka aliloliacha ndio hilohilo na neti jinsi alivyoiacha ndivyo vilevile. Huwa napenyaga kama kapanya kuingia kwa bed. Kwa kuwa wife anaujua ugonjwa wangu, hawezi kukaa mbali na mimi zaidi ya wiki moja. Itakuwa dizasta!
 
Hahaha! Mi wife akisafiri huwa napata kizungumkuti cha ufuaji wa taulo na mashuka. Anaweza kurudi akakuta shuka aliloliacha ndio hilohilo na neti jinsi alivyoiacha ndivyo vilevile. Huwa napenyaga kama kapanya kuingia kwa bed. Kwa kuwa wife anaujua ugonjwa wangu, hawezi kukaa mbali na mimi zaidi ya wiki moja. Itakuwa dizasta!
Kweli kaka na waume zetu mna mambo! Mko tegemezi sana kwenye usafi na unadhifu ehh?
 
Back
Top Bottom