Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,549
- 4,764
Huyo ni muhaya?
mkishashiba na mavitambi yenu mnajijambia tu mnakua motivational speakers.Wakuu habari za Jumapili,
Niseme, mwaka huu 2023 nimehitimu Shahada ya Umahiri ama Master's Degree kwenye fani ya uchawi na ushirikina chuo kikuu.
Kwenye kuisoma hiyo fani, kilichonishangaza sana na bado nazidi kushangaa ni kuona vijana wakisoma Shahada za Umahiri huku hawana kazi.
Najiuliza, kwa hapa Tanzania kazi zinazotangazwa zinazotaka mtu awe mahiri ni kazi ambazo lazima uwe na uzoefu usiopungua miaka 8 na kuendelea na mara nyingi kama sio zote hua ni managerial positions.
Sasa kama Shahada ya awali haijakupa kazi, haijakusaidia kupata kazi, unawezaje kwenda kusoma Shahada nyingine ya juu zaidi huku huna kazi?
Kwa mtazamo wangu, wazazi wanapoteza pesa nyingi sana kusomesha watoto wao Master's Degree ambazo wangezitumia kuwafungulia miradi ya ujasiliamali na wakapata pesa.
Leo kukuta kijana yuko mtaani na anaendesha bodaboda na ana Master's Degree ni kitu cha kawaida, unajiuliza hiyo pesa ya Master's Degree zaidi ya 10m na 2+years za kusoma, angeanza kua bodaboda si angekua mbali sana, kwanza angekua na bodaboda 5 ambazo zinamuingizia wastani wa 1.2m kwa mwezi, miaka 2 angekua na 25m+ na bado bodaboda zake ziko pale pale.
Juzi nimeenda na girlfriend wangu mahala kwa tailor, nikakuta tailor katika mazungumzo anasema ana Master's Degree ya Accountancy halafu ni fundi nguo, yeye mwenyewe anajilaumu kusoma Master's Degree bora angeaza ushonaji mapema angekuwa mbali.
Master's Degree bongo zinasomwa kwa kujifurahisha?
We waache wambeze mtoa mada.Kama kuna kosa tunalifanya ni kuendelea kuidharau elimu. Someni kama kuna fursa ya kufanya hivyo...ili hata msipoajiliwa muweze kuweka ubora kwenye shughuli zingine mnazozifanya.
Tumekuwa tukidharau kazi za mikono kuwa ni za watu wasio na elimu lakini ukweli ni kwamba ajira nyingi zitapungua hivyo tegemeeni kazi za suluba kuwa kimbilio la wasomi wengi.
Sijui mnautazamaje ujio wa robots and AI technology nyie wasomi.
Wakuu habari za Jumapili,
Niseme, mwaka huu 2023 nimehitimu Shahada ya Umahiri ama Master's Degree kwenye fani ya uchawi na ushirikina chuo kikuu.
Kwenye kuisoma hiyo fani, kilichonishangaza sana na bado nazidi kushangaa ni kuona vijana wakisoma Shahada za Umahiri huku hawana kazi.
Najiuliza, kwa hapa Tanzania kazi zinazotangazwa zinazotaka mtu awe mahiri ni kazi ambazo lazima uwe na uzoefu usiopungua miaka 8 na kuendelea na mara nyingi kama sio zote hua ni managerial positions.
Sasa kama Shahada ya awali haijakupa kazi, haijakusaidia kupata kazi, unawezaje kwenda kusoma Shahada nyingine ya juu zaidi huku huna kazi?
Kwa mtazamo wangu, wazazi wanapoteza pesa nyingi sana kusomesha watoto wao Master's Degree ambazo wangezitumia kuwafungulia miradi ya ujasiliamali na wakapata pesa.
Leo kukuta kijana yuko mtaani na anaendesha bodaboda na ana Master's Degree ni kitu cha kawaida, unajiuliza hiyo pesa ya Master's Degree zaidi ya 10m na 2+years za kusoma, angeanza kua bodaboda si angekua mbali sana, kwanza angekua na bodaboda 5 ambazo zinamuingizia wastani wa 1.2m kwa mwezi, miaka 2 angekua na 25m+ na bado bodaboda zake ziko pale pale.
Juzi nimeenda na girlfriend wangu mahala kwa tailor, nikakuta tailor katika mazungumzo anasema ana Master's Degree ya Accountancy halafu ni fundi nguo, yeye mwenyewe anajilaumu kusoma Master's Degree bora angeaza ushonaji mapema angekuwa mbali.
Master's Degree bongo zinasomwa kwa kujifurahisha?
Wewe mbona umesomea uchawi?Leo ukitaka kujielimisha chochote hapa Duniani kiko mtandaoni, sasa hawa wanaosema kuelimika ni kwenda kusoma master's degree ndio siwaelewi.
Well spokenUnajua hakuna mtu mwenye uhakika kwamba akifanya nini atafanikiwa. Kila mtu anajaribu. Kuna watu drs la saba wana mafanikio kuna drs la saba ni mafukara wa kutupwa. Kuna mtu masters ndo imempa +advantage akapata kazi nzuri kuna mtu diploma ndo imempa kazi nzuri.
Jamani. KILA MTU APAMBANE KWA LILE AMBALO ANAONA LINAWEZA KUMPA MAISHA ANAYOYATAKA, TUSIWE WACHAWI KUKAA NA KUTAFUTA WANAOKOSEA MAISHA TUWAITE WAJINGA. MAISHA HAYANA NJIA YA UHAKIKA YA MAFANIKIO.
Don't generalized,specifyShida inakuja efficiency ya kazi kwa wasomi ni ndogo pia.
Hapo unakosea ndugu unasema elimu yakufaulu mitihani sio,ngoja nikuulize swali dogo,tu je umewahi tembelea hospitals Kwa shida yoyote yakiafya? ukatibiwa na ukapona? Au ndugu yako? Sasa wale waliokutibu walisoma hizo elimu unazo zizarau za kufaulu mitihani.inawezekana wewe hauna kichwa Cha kubeba material,waache wenzio wasome.Kwa elimu gani hiihii ya hapa !! Wanasomaga kufaulu mitihani hapo unaelimikia wapi Yani!
Mtoa mada ana hoja
Hapo unakosea ndugu unasema elimu yakufaulu mitihani sio,ngoja nikuulize swali dogo,tu je umewahi tembelea hospitals Kwa shida yoyote yakiafya? ukatibiwa na ukapona? Au ndugu yako? Sasa wale waliokutibu walisoma hizo elimu unazo zizarau za kufaulu mitihani.inawezekana wewe hauna kichwa Cha kubeba material,waache wenzio wasome.
Kwa maisha yetu haya ya kiafrika?!! Haupo serious kwenye mambo ya msingi!! Huyo prof. Mwenyewe wa kiafrika akipigwa chini kazini analia, kwani akili yake ni kwenye kuajiriwa sembuse master's holder?We fala tu watu wanasoma kuelimika sio kuajiriwa
Wakuu habari za Jumapili,
Niseme, mwaka huu 2023 nimehitimu Shahada ya Umahiri ama Master's Degree kwenye fani ya uchawi na ushirikina chuo kikuu.
Kwenye kuisoma hiyo fani, kilichonishangaza sana na bado nazidi kushangaa ni kuona vijana wakisoma Shahada za Umahiri huku hawana kazi.
Najiuliza, kwa hapa Tanzania kazi zinazotangazwa zinazotaka mtu awe mahiri ni kazi ambazo lazima uwe na uzoefu usiopungua miaka 8 na kuendelea na mara nyingi kama sio zote hua ni managerial positions.
Sasa kama Shahada ya awali haijakupa kazi, haijakusaidia kupata kazi, unawezaje kwenda kusoma Shahada nyingine ya juu zaidi huku huna kazi?
Kwa mtazamo wangu, wazazi wanapoteza pesa nyingi sana kusomesha watoto wao Master's Degree ambazo wangezitumia kuwafungulia miradi ya ujasiliamali na wakapata pesa.
Leo kukuta kijana yuko mtaani na anaendesha bodaboda na ana Master's Degree ni kitu cha kawaida, unajiuliza hiyo pesa ya Master's Degree zaidi ya 10m na 2+years za kusoma, angeanza kua bodaboda si angekua mbali sana, kwanza angekua na bodaboda 5 ambazo zinamuingizia wastani wa 1.2m kwa mwezi, miaka 2 angekua na 25m+ na bado bodaboda zake ziko pale pale.
Juzi nimeenda na girlfriend wangu mahala kwa tailor, nikakuta tailor katika mazungumzo anasema ana Master's Degree ya Accountancy halafu ni fundi nguo, yeye mwenyewe anajilaumu kusoma Master's Degree bora angeaza ushonaji mapema angekuwa mbali.
Master's Degree bongo zinasomwa kwa kujifurahisha?
Wewe unaye msahihisha ndio umekosea, Master degree ni Shahada ya Umahiri. Shahada ya uzamili ni shahada nyingine unayosoma baada ya Shahada ya kwanza. Mfano mtu mwenye degree ya sheria akasome degree ya Sayansi ya siasaShahada ya umahiri❌
Shahada ya uzamili✔
Kapitie upya nondo zako then urudi tena. Ukishindwa unaweza kugoogle pia.Wewe unaye msahihisha ndio umekosea, Master degree ni Shahada ya Umahiri. Shahada ya uzamili ni shahada nyingine unayosoma baada ya Shahada ya kwanza. Mfano mtu mwenye degree ya sheria akasome degree ya Sayansi ya siasa
Shahada za uzamili yani postgraduate degree ina jumuisha Postgraduate diploma (stashahada ya Uzamili, Master degree (Shahada ya Umahiri) na PhD (shahada ya Uzamivu)
Wewe unayemsahihisha ndio umekosea, Master degree ni Shahada ya Umahiri. Shahada ya uzamili ni shahada nyingine unayosoma baada ya Shahada ya kwanza. Mfano mtu mwenye degree ya sheria akasome degree ya Sayansi ya siasaShahada ya umahiri❌
Shahada ya uzamili✔
Wewe ndio uje na ushahidi kuonesha mimi sitegemei maarifa ya kugoogle kila kitu. Master degree ni Shahada ya Umahiri ndio kiswahili sanifu.Kapitie upya nondo zako then urudi tena. Ukishindwa unaweza kugoogle pia.
Asante🙏
Sawa mtaalamWewe unayemsahihisha ndio umekosea, Master degree ni Shahada ya Umahiri. Shahada ya uzamili ni shahada nyingine unayosoma baada ya Shahada ya kwanza. Mfano mtu mwenye degree ya sheria akasome degree ya Sayansi ya siasa
Shahada za uzamili ni postgraduates ambazo ina jumuisha bachelor
Wewe ndio uje na ushahidi kuonesha mimi sitegemei maarifa ya kugoogle kila kitu. Master degree ni Shahada ya Umahiri ndio kiswahili sanifu.