Nataka sasa nikasome Master Degree ili niweze kuingia cheo cha Principal 2 & 1

wankuru nyankuru

JF-Expert Member
Feb 11, 2019
491
763
Wakuu habarini za majukumu? Ndio muda muafaka wa Mimi kuanza kusoma master degree ili niweze kuingia cheo Cha principal 2 . Nimechukua maamuzi haya baada ya kukamilisha ndoto zangu nilizopanga kwamba zikitimia ndio ntaenda kusoma. Ndoto hizo ni pamoja na;-

1. Kuajiriwa;
2. Kuoa na kuzaa watoto;
3. Kujenga nyumba ya kifahari yenye paving, garden, fensi, CCTV camera,
4. Gari yangu na wife
5. Watoto kwenda shule.
6. Kununua viwanja Mikoa ya Pwani, Dodoma, singida na Arusha.

Ndoto hizo zote zimetia.

Ndoto ambayo Bado ni kuendelea Kununua mifugo huko kijijini ili hata nikistafu niende kutunza mifugo yangu nikichoka narudi mjini kula Bata.

Nikiwa kazini nimejitathimini nikajikuta Nina uwezo mkubwa sana wa kufanya kazi Kwa weledi wa juu Hali inayopelekea wenzangu kuniaminia.

Mwanzoni niliona sina haja ya kwenda kusoma master degree Kwa kuwa nilijiona Niko vizuri kichwani Kwa kutumia elimu ya ngazi ya degree niliyopata chuo Kikuu.

Lakini Kuna muda wenzangu wakaanza kuniambia kuwa siwezi kupanda cheo Cha principal 2 na 1 bila elimu ya master degree jambo ambalo nimeanza kuchukua maamuzi ya kuliweka kwenye mpango wa mwakani ili niweze kwenda kusoma.

Mimi kitaluma nimesomea maswala ya uchumi, Sasa mnanishauri nikasomee course gani ngazi ya master? Na kwanini hiyo course?, Gharama zake zikoje? Tija yake ikoje bila kujali lengo la kupandishwa cheo..
 
Kwa Sasa kautafute ufalme wa Mungu, maana vyote hivyo Kuna siku utakufa utaviacha havitakuwa na msaada Tena kwako! Mtafute Yesu siku ukiondoka duniania uingie mbinguni mpedwa. Vinginevyo itaenda motoni milele pamoja na elimu yako hiyo haitakuokoa siku ile
Sasa unataka niwe kama wale wa msitu wa shakahola na pasta mackinzie?. Maarifa tuliyopewa ni Kwa ajili ya Nini?

Mbona mwamposa na gwajima Wana kisomo Cha juu lakini wanamhuhubiri huyo Yesu?
 
Wankuru N
Wakuu habarini za majukumu? Ndio muda muafaka wa Mimi kuanza kusoma master degree ili niweze kuingia cheo Cha principal 2 . Nimechukua maamuzi haya baada ya kukamilisha ndoto zangu nilizopanga kwamba zikitimia ndio ntaenda kusoma. Ndoto hizo ni pamoja na;-

1. Kuajiriwa;
2. Kuoa na kuzaa watoto;
3. Kujenga nyumba ya kifahari yenye paving, garden, fensi, CCTV camera,
4. Gari yangu na wife
5. Watoto kwenda shule.
6. Kununua viwanja Mikoa ya Pwani, Dodoma, singida na Arusha.

Ndoto hizo zote zimetia.

Ndoto ambayo Bado ni kuendelea Kununua mifugo huko kijijini ili hata nikistafu niende kutunza mifugo yangu nikichoka narudi mjini kula Bata.

Nikiwa kazini nimejitathimini nikajikuta Nina uwezo mkubwa sana wa kufanya kazi Kwa weledi wa juu Hali inayopelekea wenzangu kuniaminia.

Mwanzoni niliona sina haja ya kwenda kusoma master degree Kwa kuwa nilijiona Niko vizuri kichwani Kwa kutumia elimu ya ngazi ya degree niliyopata chuo Kikuu.

Lakini Kuna muda wenzangu wakaanza kuniambia kuwa siwezi kupanda cheo Cha principal 2 na 1 bila elimu ya master degree jambo ambalo nimeanza kuchukua maamuzi ya kuliweka kwenye mpango wa mwakani ili niweze kwenda kusoma.

Mimi kitaluma nimesomea maswala ya uchumi, Sasa mnanishauri nikasomee course gani ngazi ya master? Na kwanini hiyo course?, Gharama zake zikoje? Tija yake ikoje bila kujali lengo la kupandishwa cheo..
Wankuru mwanaume utaajiriwa mpaka lini?????? Umeniangusha kwa ndoto ya kuajiriwa.Je siku ajira ikiisha au ukisoma na usipopata cheo itakuaje???Anyway mimi siamini katika kuajiriwa mkuu naamini wanaume tumeumbwa tujiajiri
 
...
Screenshot_2023-06-23-07-27-32-287_com.quoord.jamiiforums.activity.jpg
 
Back
Top Bottom