chamaclotus
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 982
- 1,977
Kuna mwingine anatarget mbeleni. Kuna muda mtu wa masters atahitajika tu no matter what. Sasa we unafikiri kwa Nini waheshimiwa wanapambana wapate udokta na wakati pesa wanazo na nyazifa wanazoAchana na mathematicians, twende na degree zingine ambazo ni common. Kwanini mtu atoe hela ndefu kujisomesha masters, wakati hana ajira? Sio matumizi mabaya ya hela?