Hivi inawezekanaje mtu huna kazi bado unasoma Master's Degree?

Achana na mathematicians, twende na degree zingine ambazo ni common. Kwanini mtu atoe hela ndefu kujisomesha masters, wakati hana ajira? Sio matumizi mabaya ya hela?
Kuna mwingine anatarget mbeleni. Kuna muda mtu wa masters atahitajika tu no matter what. Sasa we unafikiri kwa Nini waheshimiwa wanapambana wapate udokta na wakati pesa wanazo na nyazifa wanazo
 
Kuna mwingine anatarget mbeleni. Kuna muda mtu wa masters atahitajika tu no matter what. Sasa we unafikiri kwa Nini waheshimiwa wanapambana wapate udokta na wakati pesa wanazo na nyazifa wanazo. Mfano mtu kama Nikki wa Pili, kilichombeba mpaka akapata ukuu wa wilaya ni masters yake pia nasikia alikuwa anafanya phd. Na ndo maana hata mziki kaukimbia pamoja na kelele alizopiga eti hataki kazi
 
Kuna mwingine anatarget mbeleni. Kuna muda mtu wa masters atahitajika tu no matter what. Sasa we unafikiri kwa Nini waheshimiwa wanapambana wapate udokta na wakati pesa wanazo na nyazifa wanazo
Hao unaoona wanapambania udokta au kuongeza elimu wakati hela wanazo, sababu ni kutaka hela zaidi. Ukiwa kwenze ajira, kadiri unavyoongeza elimu, ndio hela inaongezeka. Sasa jobless anatumia gharama kuongeza elimu ambayo hajui kama itamtoa au la.
 
Hao unaoona wanapambania udokta au kuongeza elimu wakati hela wanazo, sababu ni kutaka hela zaidi. Ukiwa kwenze ajira, kadiri unavyoongeza elimu, ndio hela inaongezeka. Sasa jobless anatumia gharama kuongeza elimu ambayo hajui kama itamtoa au la.
Hiyo ndo maana ya maisha hayatabiriki unaweza toboa au usitoboe.
 
Wakuu habari za Jumapili,

Niseme, mwaka huu 2023 nimehitimu Shahada ya Umahiri ama Master's Degree kwenye fani ya uchawi na ushirikina chuo kikuu.

Kwenye kuisoma hiyo fani, kilichonishangaza sana na bado nazidi kushangaa ni kuona vijana wakisoma Shahada za Umahiri huku hawana kazi.

Najiuliza, kwa hapa Tanzania kazi zinazotangazwa zinazotaka mtu awe mahiri ni kazi ambazo lazima uwe na uzoefu usiopungua miaka 8 na kuendelea na mara nyingi kama sio zote hua ni managerial positions.

Sasa kama Shahada ya awali haijakupa kazi, haijakusaidia kupata kazi, unawezaje kwenda kusoma Shahada nyingine ya juu zaidi huku huna kazi?

Kwa mtazamo wangu, wazazi wanapoteza pesa nyingi sana kusomesha watoto wao Master's Degree ambazo wangezitumia kuwafungulia miradi ya ujasiliamali na wakapata pesa.

Leo kukuta kijana yuko mtaani na anaendesha bodaboda na ana Master's Degree ni kitu cha kawaida, unajiuliza hiyo pesa ya Master's Degree zaidi ya 10m na 2+years za kusoma, angeanza kua bodaboda si angekua mbali sana, kwanza angekua na bodaboda 5 ambazo zinamuingizia wastani wa 1.2m kwa mwezi, miaka 2 angekua na 25m+ na bado bodaboda zake ziko pale pale.

Juzi nimeenda na girlfriend wangu mahala kwa tailor, nikakuta tailor katika mazungumzo anasema ana Master's Degree ya Accountancy halafu ni fundi nguo, yeye mwenyewe anajilaumu kusoma Master's Degree bora angeaza ushonaji mapema angekuwa mbali.

Master's Degree bongo zinasomwa kwa kujifurahisha?
Lengo la elimu linatakaiwa kuwa ni kuelimika, si kupata kazi wala hela.

Kama unataka hela anza biashara hata baada ya form four.

Tatizo huko kwetu bado tunalimbuka, tunafanya elimu kama ngazi ya kupitia ili kupata kazi, na kazi kama ngazi ya kupitia kupata pesa.
 
Wakuu habari za Jumapili,

Niseme, mwaka huu 2023 nimehitimu Shahada ya Umahiri ama Master's Degree kwenye fani ya uchawi na ushirikina chuo kikuu.

Kwenye kuisoma hiyo fani, kilichonishangaza sana na bado nazidi kushangaa ni kuona vijana wakisoma Shahada za Umahiri huku hawana kazi.

Najiuliza, kwa hapa Tanzania kazi zinazotangazwa zinazotaka mtu awe mahiri ni kazi ambazo lazima uwe na uzoefu usiopungua miaka 8 na kuendelea na mara nyingi kama sio zote hua ni managerial positions.

Sasa kama Shahada ya awali haijakupa kazi, haijakusaidia kupata kazi, unawezaje kwenda kusoma Shahada nyingine ya juu zaidi huku huna kazi?

Kwa mtazamo wangu, wazazi wanapoteza pesa nyingi sana kusomesha watoto wao Master's Degree ambazo wangezitumia kuwafungulia miradi ya ujasiliamali na wakapata pesa.

Leo kukuta kijana yuko mtaani na anaendesha bodaboda na ana Master's Degree ni kitu cha kawaida, unajiuliza hiyo pesa ya Master's Degree zaidi ya 10m na 2+years za kusoma, angeanza kua bodaboda si angekua mbali sana, kwanza angekua na bodaboda 5 ambazo zinamuingizia wastani wa 1.2m kwa mwezi, miaka 2 angekua na 25m+ na bado bodaboda zake ziko pale pale.

Juzi nimeenda na girlfriend wangu mahala kwa tailor, nikakuta tailor katika mazungumzo anasema ana Master's Degree ya Accountancy halafu ni fundi nguo, yeye mwenyewe anajilaumu kusoma Master's Degree bora angeaza ushonaji mapema angekuwa mbali.

Master's Degree bongo zinasomwa kwa kujifurahisha?
Kusoma masters vigezo vyake hutegemea na chuo. Lakini katika vigezo vyote vyuoni nilivyowahi kupitia hakuna hata kigezo kinachoonyesha kuwa tunapokea wenye kazi au waliofanyia kazi degree zao. Zaidi ni kuwa lazima uwe na degree na kwanza..G.P.A kwa baadhi ya course. Uwezo wa kulipa ada.
 
Kuna mwingine anatarget mbeleni. Kuna muda mtu wa masters atahitajika tu no matter what. Sasa we unafikiri kwa Nini waheshimiwa wanapambana wapate udokta na wakati pesa wanazo na nyazifa wanazo
Muelewe mtoa mada anaongelea mtu ambaye ni jobless sio hao wenye wazifa . Pata kazi Kwanza ndo uendelee na mambo mengine .
 
Wakuu habari za Jumapili,

Niseme, mwaka huu 2023 nimehitimu Shahada ya Umahiri ama Master's Degree kwenye fani ya uchawi na ushirikina chuo kikuu.

Kwenye kuisoma hiyo fani, kilichonishangaza sana na bado nazidi kushangaa ni kuona vijana wakisoma Shahada za Umahiri huku hawana kazi.

Najiuliza, kwa hapa Tanzania kazi zinazotangazwa zinazotaka mtu awe mahiri ni kazi ambazo lazima uwe na uzoefu usiopungua miaka 8 na kuendelea na mara nyingi kama sio zote hua ni managerial positions.

Sasa kama Shahada ya awali haijakupa kazi, haijakusaidia kupata kazi, unawezaje kwenda kusoma Shahada nyingine ya juu zaidi huku huna kazi?

Kwa mtazamo wangu, wazazi wanapoteza pesa nyingi sana kusomesha watoto wao Master's Degree ambazo wangezitumia kuwafungulia miradi ya ujasiliamali na wakapata pesa.

Leo kukuta kijana yuko mtaani na anaendesha bodaboda na ana Master's Degree ni kitu cha kawaida, unajiuliza hiyo pesa ya Master's Degree zaidi ya 10m na 2+years za kusoma, angeanza kua bodaboda si angekua mbali sana, kwanza angekua na bodaboda 5 ambazo zinamuingizia wastani wa 1.2m kwa mwezi, miaka 2 angekua na 25m+ na bado bodaboda zake ziko pale pale.

Juzi nimeenda na girlfriend wangu mahala kwa tailor, nikakuta tailor katika mazungumzo anasema ana Master's Degree ya Accountancy halafu ni fundi nguo, yeye mwenyewe anajilaumu kusoma Master's Degree bora angeaza ushonaji mapema angekuwa mbali.

Master's Degree bongo zinasomwa kwa kujifurahisha?
Uzi mzuri, ngoja nivute kiti kabisa.
 
Mtu hana kazi halafu anasoma MBA Corporate Management 😂. Sasa hiyo corporate atakayokuja ku.manage ni ipi?

Ama mtu yuko halmashauri halafu anasoma Corporate Management.

Corporates ni kama Vodacom, Airtel, NMB, CRDB, google, Facebook nk.
Amekwambia plan zake Ni kustaafia halmashauri?
 
We fala tu watu wanasoma kuelimika sio kuajiriwa
Duuh! mkuu,wewe ni mmoja wa watu wachache sana,mnaoweza kusoma hadi level ya Masters degree,ili kuelimika tu na siyo kuajiriwa.
Mimi nikuchane tu laivu,siwezi kusoma kwa level hiyo au zaidi ili nielimike tu,yaani eti nielimike nije niendeshe bodaboda,kwani siwezi kuendesha bodaboda nikiwa na elimu ya msingi?
Au wewe ni mwanasiasa mfu?
 
Back
Top Bottom