Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 9,333
- 15,033
Bashe ni mfanyabiashara kabla hajawa mbunge,mkuluma na mfugaji kabla ya ubunge,ni 'mtoto flani' wa rostam Aziz, rostam alipoinunua habari corporation Bashe ndiye alikua inchaji manyota
Akaja kuwa mbunge na waziri,hapo kishafanya sana biashara kenya,sudani kusini
So ng'ombe 5000 ni kidogo sana kwake, alikua na mchezo wa kununua ng'ombe dhaifu na kuwanenepesha kisha kuuza,muda sana
Ana ranch njia ya nzega-tabora,aliagiza ng'ombe 100 sauzi,sikatai kupiga lakini kudhani kapata pesa baada ya kukalia kiti wizarani si kweli
Huenda ana upigaji ndiyo maana kaachwa,au kaachwa kisa afya maana sukari ilisumbua sana juzi hapa akaenda sauzi
Mimi ni class mate wake,rafiki wa utotoni,I fiended one of his sisters
ni msomali pia ...