Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 9,323
- 15,005
Ila mkuu wewe ni mbaguzi sana , huwa nasoma mada zako unapinga uislamu mno na hapa tena , ukipewa uongozi wa juu unaweza chinja usioendana nao kabisa 🤔
siyo kweli, labda ni misunderstanding tu, watu wengi hawaupendi ukweli na wanukwepa, kama wewe nimekuuliza maswali ya msigi lkn haunijibu unaishia kuita ''ubaguzi'' lkn unakataa kujibu kwa nini unaona ni sawa labda wewe kukataliwa na wengine lkn siyo sawa kwako kujiweka mbele kwanza? kwa nini wengine wakukatae kwao halafu wewe uwakubali kwako? maswali kama hayo siyo ubaguzi bali ni mwanzo wa kujitambua ...