Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

Imepigwa pesa pale na bado inapigwa !vimechimbwa visima vya kutosha na zimenunuliwa ma mashine za kutosha ,watu wamepiga sana hela!!
 
Aisee!!

Halafu watu wa maeneo husika wanaruhusiwa kutumia hivyo visima?
Wapi??? Yamenunuliwa mashine za umwagiliaji za bei kubwa sana tena 10% ndo watu wamekula sana.

Najua mengi sana Kuhusu huo mradi itoshe kusema :
Tume ya Umwagiliaji ,wakala wa mbegu,wizara ya kilimo!kuna watu wamepiga pesa za hatari.

Achans na BBtT kuna miradi ya umwagiliaji inafanyika kila mkoa,wipe muda wako tu ,fuatilia ile figure inayotajwa ni sawasawa na kinachofanyika,hutaamini macho yako.

Kuna mtumishi anakwambia amepiga hela mpaka anasema ana uwezo kwa sasa wa kununua private jet.

Ayo madili yako nje nje ,halafu unaambiwa serikali inafanya kazi!

Kazi ipi?
 
Wapi??? Yamenunuliwa mashine za umwagiliaji za bei kubwa sana tena 10% ndo watu wamekula sana.

Najua mengi sana Kuhusu huo mradi itoshe kusema :
Tume ya Umwagiliaji ,wakala wa mbegu,wizara ya kilimo!kuna watu wamepiga pesa za hatari.

Achans na BBtT kuna miradi ya umwagiliaji inafanyika kila mkoa,wipe muda wako tu ,fuatilia ile figure inayotajwa ni sawasawa na kinachofanyika,hutaamini macho yako.

Kuna mtumishi anakwambia amepiga hela mpaka anasema ana uwezo kwa sasa wa kununua private jet.

Ayo madili yako nje nje ,halafu unaambiwa serikali inafanya kazi!

Kazi ipi?
Inasikitisha sana!!
 
Back
Top Bottom