Tindo
Platinum Member
- Sep 28, 2011
- 69,455
- 122,738
Uko sahihi, hata juzi nimeweka kichwa changu Kijiji fulani wakaja kuchota maji.Unakuwaga kichwa maji!
Uko sahihi, hata juzi nimeweka kichwa changu Kijiji fulani wakaja kuchota maji.Unakuwaga kichwa maji!
Hawa ni wa kwenda nao hivi hivi!!Uko sahihi, hata juzi nimeweka kichwa changu Kijiji fulani wakaja kuchota maji.
The Sunk Coast Fallacy 2 sasahivi ni ChoiceVariable 😂😂Nadhani ni yule sunk cost fallacy sijui sa hivi anatumia ID gani, na mi nishawahi kukesha nae hapa 😅
Wanatakiwa kuelewa wakosoaji hawana nia mbaya, Tunaonea huruma kodi zetu tu.
Aisee!!Imepigwa pesa pale na bado inapigwa !vimechimbwa visima vya kutosha na zimenunuliwa ma mashine za kutosha ,watu wamepiga sana hela!!
Wapi??? Yamenunuliwa mashine za umwagiliaji za bei kubwa sana tena 10% ndo watu wamekula sana.Aisee!!
Halafu watu wa maeneo husika wanaruhusiwa kutumia hivyo visima?
Inasikitisha sana!!Wapi??? Yamenunuliwa mashine za umwagiliaji za bei kubwa sana tena 10% ndo watu wamekula sana.
Najua mengi sana Kuhusu huo mradi itoshe kusema :
Tume ya Umwagiliaji ,wakala wa mbegu,wizara ya kilimo!kuna watu wamepiga pesa za hatari.
Achans na BBtT kuna miradi ya umwagiliaji inafanyika kila mkoa,wipe muda wako tu ,fuatilia ile figure inayotajwa ni sawasawa na kinachofanyika,hutaamini macho yako.
Kuna mtumishi anakwambia amepiga hela mpaka anasema ana uwezo kwa sasa wa kununua private jet.
Ayo madili yako nje nje ,halafu unaambiwa serikali inafanya kazi!
Kazi ipi?
Tuliambiwa hela ni za rais au umesahau ?Hela zetu?