Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

Ulianza vizuri kivipi... Ule mradi ulianza hovyo Sana kama miradi yote ya kimagumashi ilivyo.
naam post za kwanza za kukaribia mavuno zilivyopostiwa pale twita zilishambuliwa vibaya sana na wakulima nakumbuka walipost mpunga na alizeti, wadau walisema haiwezekani mtumie mashine na wataalamu alafu mimea iwe hivyo
 
😱😱😱😱 CCM ni laana. Na watanzania tumeshasahau. Project manager wakejuzi juzi alikuwa anajigamba kufanyia ng'ombe mazishi kama binadamu
Umesema ukweli kabisa! Fisiem ni laana kubwa sana. Project ngapi zimeanzishwa na zote zimekufa na watu wametajirika kishenzi. Kilimo kwanza Iko wapi? Upuuzi mtupu!
 
Back
Top Bottom