Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,158
- 48,414
- Thread starter
- #61
Safi!!!Ndio.
Safi!!!Ndio.
Huyu chawa ni tapeli kabisa alipandisha uzi kwamba Tanzania ina viwanda 28,000 nikamwambia hebu leta document yenye liat hiyo hadi leo sijawahi kupewa hiyo document.😆😀😄
Wanapenda sana matipo. Wakijisahau wanatumia ipi wanaponda mpaka mlango wa kuzimu unafunguka.
Hawa watu hulipwa kusema uongo. Ila kwenye zile nyingine ndiyo husema ukweliHuyu chawa ni tapeli kabisa alipandisha uzi kwamba Tanzania ina viwanda 28,000 nikamwambia hebu leta document yenye liat hiyo hadi leo sijawahi kupewa hiyo document.
Uchawa unatakiwa utambulike kama adui wa taifa.Hawa watu hulipwa kusema uongo. Ila kwenye zile nyingine ndiyo husema ukweli
Huyo jamaa ana pigo za Choicevariable wa leo!😁Nadhani ni yule sunk cost fallacy sijui sa hivi anatumia ID gani, na mi nishawahi kukesha nae hapa 😅
Wanatakiwa kuelewa wakosoaji hawana nia mbaya, Tunaonea huruma kodi zetu tu.
Bashe ni mfanyabiashara kabla hajawa mbunge,mkuluma na mfugaji kabla ya ubunge,ni 'mtoto flani' wa rostam Aziz, rostam alipoinunua habari corporation Bashe ndiye alikua inchaji manyotaKmmke, halafu pesa yote hiyo ni kodi za watz.
Ng'ombe mmoja wa maziwa kiasi gani zidisha mara 5,000 uone pesa hizo zilizochotwa na kufaidisha muhuni mmoja zingesaidia watz wangapi.
Hata wewe unaweza kuwa nalo,mimi naota kuwa nayoSaivi Bashe ana shamba kama kijiji huko Tabora
Sasa anajiita choice variableNadhani ni yule sunk cost fallacy sijui sa hivi anatumia ID gani, na mi nishawahi kukesha nae hapa 😅
Wanatakiwa kuelewa wakosoaji hawana nia mbaya, Tunaonea huruma kodi zetu tu.
Mada ni utuelezee BBT imeleta tija gani kwenye Kilimo cha Tanzania?Hata wewe unaweza kuwa nalo,mimi naota kuwa nayo
Hiyo inabidi uwatafute wahusika, yaani wasimamizi na wakulima wenyewe, tofauti na hapo utakua unapiga kelele tuMada ni utuelezee BBT imeleta tija gani kwenye Kilimo cha Tanzania?
Ungejitahidi umpate dada yake..Bashe ni mfanyabiashara kabla hajawa mbunge,mkuluma na mfugaji kabla ya ubunge,ni 'mtoto flani' wa rostam Aziz, rostam alipoinunua habari corporation Bashe ndiye alikua inchaji manyota
Akaja kuwa mbunge na waziri,hapo kishafanya sana biashara kenya,sudani kusini
So ng'ombe 5000 ni kidogo sana kwake, alikua na mchezo wa kununua ng'ombe dhaifu na kuwanenepesha kisha kuuza,muda sana
Ana ranch njia ya nzega-tabora,aliagiza ng'ombe 100 sauzi,sikatai kupiga lakini kudhani kapata pesa baada ya kukalia kiti wizarani si kweli
Huenda ana upigaji ndiyo maana kaachwa,au kaachwa kisa afya maana sukari ilisumbua sana juzi hapa akaenda sauzi
Mimi ni class mate wake,rafiki wa utotoni,I fiended one of his sisters
Jibu lako linapwaya!!Hiyo inabidi uwatafute wahusika, yaani wasimamizi na wakulima wenyewe, tofauti na hapo utakua unapiga kelele tu
Bashe analo jibuNani anaweza kutupa mrejesho kuwa ule mradi wa uwekezaji kwenye Kilimo Al maarufu kama "Build Better Tomorrow -BBT" matokeo yake yamekuwa chanya au hasi Kwa kiasi gani?
Shauri ya Mama kilaza kafungwa lemba kafungwa na akili, Mwendawazimu km ChoiceVariable alikeisha kumnadiWatetezi wake tuliwaambia miaka michache mbele tutakuja kuwakumbusha.
Billionea Bashe anachekea chooni!
Inaendelea vizuri kwa zile ambazo tayari zilishaanza,na mpya zinapokuja hazitangazwi kama ambavyo bashe alikuwa anafanyaNani anaweza kutupa mrejesho kuwa ule mradi wa uwekezaji kwenye Kilimo Al maarufu kama "Build Better Tomorrow -BBT" matokeo yake yamekuwa chanya au hasi Kwa kiasi gani?
Amina au?😅Ungejitahidi umpate dada yake..
Ni kweli, kabla ya siasa itakuwa alikuwa ana hela hiyo sio ishu ngeni kwa siasa za bongo, ni nadra mnoo, kupata nafasi ya ubunge ikiwa hujiwezi kiuchumi, nadra sana.
Ila katika utajiri alionao, nafadi yake ya kisiasa imempa pesa nyingi mnoo kwa namna moja ama nyingine