Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

Unaenda kukusanya watu amabao hawana mpango na kilimo na kuwafundisha kilimo
Kosa lilianzia hapa.
Kilimo hakihitaji watu wengi. Hizo hela wangewekeza kwa watu wachache wawekeze kwenye plantations. Hao chawa wengebakia kuwa wafanyakazi tu. Sasa wafanyakazi ndio wanapewa hela za kulimia mwisho wamekula mtaji wamekimbia mashamba.
 
Zile sinema za magufuli na TANZANIA YA VIWANDA......Ila CCM sijui wanatuonaje aisee!!!
20240522_093705.jpg
 
Kulikuwa kuna huyu kunguni mwandamizi Chawa-Variable aka ChoiceVariable alikua anapigia debe huo utapeli wa mabilioni ya walipa kodi.

Pengine aje atueleze , je Bashe alimsitishia posho ndio maana akakaa kimya maana ile BBT kwa akili ya kawaida tu mtu kama anafikiri vizuri lazima angeona ni utapeli tangu mwanzo.

Wewe kunguni hebu njoo utupe majibu ChoiceVariable The Sunk Cost Fallacy @The Sunk Cost Fallacy 2
 
Back
Top Bottom