Rogie
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 7,600
- 6,721
Mama mkwe kukaa kwa mwinga wake miezi 6 ,,jamani wake zenu wengi hawapendi hili kuna mdada nimemtembelea analalamika anasema mama mkwe wake yupo pale kwake mwezi unaenda huu wa sita anasema hana raha ya ndoa kabisaa kwani mama mkwe anakuwa anamsema kwa ndugu yaan maneno hayaishi ,sasa nachojiuliza ni haki mama mkwe kuishi kwa wanae muda mrefu kiasi kile hata kama ni mama mzazi,halaf mama mkwe kaacha kwake na mmewe kamuacha tu peke yake
Yaan mama mkwe kageuza imekuwa kwake ,,,kwenye ndoa kuna mengi jamanii
Au ni haki labda pengine wake zenu wanakosea ,
Ndio ni sawa
, hivi unawezaje kuacha kumpa amani na furaha mzazi ambaye amehangaika sana kufika hapo ulipo? Yaani kweli ukae umsikilize mwanamke ambaye mmekutana ukubwani tena pengine ulivyokwenda kumtongoza aliangalia kwanza future yako ndio akakubali! Vipi kuhusu huyu mzazi ambaye alikuwa radhi apigwe baridi usiku ili mtoto awe salama!
