CORAL
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 2,827
- 1,858
Ni utovu wa nidhamu na ukwepaji majukumu ya kifamilia kwa mwanamke kutelekeza mume na kukimbilia kwa watoto kuishi huko miezi. Maandiko kwa wakristo hayaruhusu kabisa.kwani wanalala naye chumbani? au anaona anammalizia vyakula? kama mimi ni mme wako upo na mimi faragha chumbani kwangu tunajadili yetu na pengine tunamjadili hata bimkubwa mwenyewe na kupanga yetu, tukitoka asubuhi tunamkuta sebuleni au jikoni, tunamwaga vizuri hao kazini, hadi jioni, kuna shida gani?.....anakuibia nini, upendo? kwani chumbani kwenu mnalada watatu? wewe, mama mkwe na mmeo?