Hivi hii ni sawaa?

Hivi hii ni sawaa?

Siwachukii, kama anakuja kukaa kwa amani hakuna tatizo. Shida ni hizo figisu figisu zao. Alafu mtu ana kwake na kamuacha mumewe muda wote huo kweli!!!

Mimi na wewe tuna utofauti kumbe eeh. Wewe unaruhusu akae.
Sasa hizo figisu si majaliwa shemeji.

Suala kwanini aje akae tena kwa muda mrefu hivyo? Kama kusalimia 1 week inatosha. Kama sherehe matibabu na mambo mengine sawa. Ila eti aje akae tuuu
 
Mimi na wewe tuna utofauti kumbe eeh. Wewe unaruhusu akae.
Sasa hizo figisu si majaliwa shemeji.

Suala kwanini aje akae tena kwa muda mrefu hivyo? Kama kusalimia 1 week inatosha. Kama sherehe matibabu na mambo mengine sawa. Ila eti aje akae tuuu
Unajua linapokuja suala la wazazi huwa tunakuwa na ile blind eye, kuwa they are always right. Kwahiyo hata akikosea mtu anaogopa kumwambia. Kama mzazi yeye ni mtu mzima na anapaswa atumie busara, sasa 6months uko kwa mwanao na umemuacha mumeo kwako, tena kama haitoshi unaleta tena figisu figisu!! Hapana kwakweli kila jambo lapendeza kuwa na kiasi.
 
Unajua linapokuja suala la wazazi huwa tunakuwa na ile blind eye, kuwa they are always right. Kwahiyo hata akikosea mtu anaogopa kumwambia. Kama mzazi yeye ni mtu mzima na anapaswa atumie busara, sasa 6months uko kwa mwanao na umemuacha mumeo kwako, tena kama haitoshi unaleta tena figisu figisu!! Hapana kwakweli kila jambo lapendeza kuwa na kiasi.
Hivi shemeji unajua unapoenda kwa mtu kwanza lazima useme umeenda kufanya nini eeeh. Sasa huyo wa kukaa 6 month atasema ameenda kufanya nii?
 
hata mwaka anaweza kukaa
Kwan n kwa mwanae wa kumzaa

tatzo wanawake nyie hampendi kuish na ndugu wa
Mume hata mama mzaaa chema tu mnaona kero

Huyo bint afungashe firago
Arud kwao akiona ameshindwa hajui tu kama
Mmejazana kama siafu

Ni kweli kabisa, wengi wao hawapendi kuishi na ndugu wa mume. Loud and Clear.
 
Pole zake kuna baadhi ya wakwe ni kero kwani hawataki ntoto wao agawe mapenzi kwa watu wengine mkewe akiwemo ila kuna baadhi yao sio wabaya na wanahitaji msaada tu...

Tunavumiliaga yana nwisho hayo.....
 
Hivi shemeji unajua unapoenda kwa mtu kwanza lazima useme umeenda kufanya nini eeeh. Sasa huyo wa kukaa 6 month atasema ameenda kufanya nii?
Ndio wanasema kaenda kwa mwanae aliembeba tumboni miezi tisa, kwahiyo ana haki ya kukaa atakavyo bila sababu yoyote.
 
Mama ni mama siyo hakuna pingamizi... Ila mmh wazazi au mzazi kukaa kwa mwanawe wa kiume kwa muda wote huo... Yani mama mkwe...

Kaaazii kweli kweli... Kazi ipo... Maelewano yatakuwa sifuri..

Inahitaji uvumilivu na busara ya hali ya juu...


Cc: mahondaw
 
Mmh. Hapana si Sawa. Tena kaacha mumewe alikotoka?? hapana kabisa. At least angekaa kwa muda mfupi anarudi kwake then anakuja tena hivo. Na hii tabia ya kujifanya anaendesha nyumba ya mtu Kama ya kwake sio njema kabisa Yaani Hata kMa ni mama,si alishamlea mtoto wake basi amuache alelewe na walimwengu pia..Ili ajifunze mengi
 
Kitu ambacho am certain ni kwamba rafiki wa Dinazarde hajaeleza mapungufu yake, kila binadamu ana mapungufu kama yeye anasemwa kwa ndugu basi ajichunguze.
 
Mamako akihitaji kuja kukaa kwako anahitaji kueleza sababu?
Bahati nzuri my mom used to give out the reason, na alikuwa hakai hivyo bila sababu. Alikuwa na msemo wake fulani ambao ulibaki kuwa funzo kwangu daima. She knew her limits.
 
Mama hapewi talaka aise.Hizo mnazoita ndoa huwa zina mwisho wake ila mama nimwanzo mwisho.muacheni mama ale maisha maana kama ambavyo ilikua haki mtoto kukaa kwa mama ndo ilivyo haki mama kukaa kwa mtoto.Na kumbuka mama na mtoto ni ndugu wa damu ila wewe mke ni rafik tu.Na mara nyingi wanaoleta visa ni wake wenyewe na mama kamwe hawez kuvumilia kuona kuna kinyangarika kinampelekesha kijana wake,sasa hapo ndo wake utasikia ooh mama mkwe wangu mara hivi mara vile.Mimi my wife mtihani wake wa kwanza ilikua kukaa na mama yangu maana mama yangu ndie mwanamke wangu wa kwanza na milele.Angeshindwa hapo bye bye.


Uko sawa mkuu...
Kama mama bado ana nguvu na ana mume wake arudi kwake akakae na mumewe misaada yote wapewe wakiwa kwao labda kama ni ugonjwa aje na atunzwe vizuri kama mama.

Pia huwezi fungal ndoa na mama yako wala Dada yako MPE Mke heshima anayostaili na asivuke mipaka

Kubali kwamba mama alikulea kweli lakini umeweka sahihi ya kuishi na mwanamke mwingine mpaka pale kifo kitakapowatenganisha..

Kubali kuwa hakuna anayemzidi thamani mwenzie wore wako sawa. Wape mipaka yao........
 
Yaani Mama wa Kijana tena mume unaweza kumfananisha na mtu yeyote tu kwenda kwa mtu?
Mkuu rogie hata leo nikienda kwetu siulizwi nimeenda kufanya nini ila kimawasiliano lazima mgeni nitambulishe ugeni wangu.

Kwa mama yako akija anaweka mabegi tu kwako bila kusema alichokuja kufanya? Kimawasiliano wakati wa salamu lazima aseme tu na hiyo ni formula iliyopo kichwani kwa kila binadamu. Huwezi kwenda kwa mtu bila kusema ulichoenda kufuata Aidha salamu matibabu elimu nk.
 
Yaani Mama wa Kijana tena mume unaweza kumfananisha na mtu yeyote tu kwenda kwa mtu?
Mkuu rogie hata leo nikienda kwetu siulizwi nimeenda kufanya nini ila kimawasiliano lazima mgeni nitambulishe ugeni wangu.

Kwa mama yako akija anaweka mabegi tu kwako bila kusema alichokuja kufanya? Kimawasiliano wakati wa salamu lazima aseme tu na hiyo ni formula iliyopo kichwani kwa kila binadamu. Huwezi kwenda kwa mtu bila kusema ulichoenda kufuata Aidha salamu matibabu elimu nk.
 
Mmh. Hapana si Sawa. Tena kaacha mumewe alikotoka?? hapana kabisa. At least angekaa kwa muda mfupi anarudi kwake then anakuja tena hivo. Na hii tabia ya kujifanya anaendesha nyumba ya mtu Kama ya kwake sio njema kabisa Yaani Hata kMa ni mama,si alishamlea mtoto wake basi amuache alelewe na walimwengu pia..Ili ajifunze mengi
Hili wengi hawalioni, wamekazania upande mmoja tu.
 
Back
Top Bottom