Hivi hii ni sawaa?

Hivi hii ni sawaa?

tatizo kubwa nnaloliona kwa bi wakubwa zetu wa kiafrika, hawataki kumchukulia yule mkamwana kama mtoto wake, huwa wanawachukulia kama wapinzani flani yaaan ful kumfatilia na kumkosoa hapo ndo inaleta ugumu kuishi pamoja....na katika hii case huyu mama ana mji wake na mume si arudi na kwake
 
tatizo kubwa nnaloliona kwa bi wakubwa zetu wa kiafrika, hawataki kumchukulia yule mkamwana kama mtoto wake, huwa wanawachukulia kama wapinzani flani yaaan ful kumfatilia na kumkosoa hapo ndo inaleta ugumu kuishi pamoja....na katika hii case huyu mama ana mji wake na mume si arudi na kwake
Kweli kabisa, sawa mkwe ataamua kumchukulia yeye kama mama, lakini je mama yuko tayari kumchukulia mkwewe kama mwanae? Hapo ndipo taabu inapoanzia.
 
Mama mkwe kukaa kwa mwinga wake miezi 6 ,,jamani wake zenu wengi hawapendi hili kuna mdada nimemtembelea analalamika anasema mama mkwe wake yupo pale kwake mwezi unaenda huu wa sita anasema hana raha ya ndoa kabisaa kwani mama mkwe anakuwa anamsema kwa ndugu yaan maneno hayaishi ,sasa nachojiuliza ni haki mama mkwe kuishi kwa wanae muda mrefu kiasi kile hata kama ni mama mzazi,halaf mama mkwe kaacha kwake na mmewe kamuacha tu peke yake
Yaan mama mkwe kageuza imekuwa kwake ,,,kwenye ndoa kuna mengi jamanii

Au ni haki labda pengine wake zenu wanakosea ,

ni haki mkwe wetu kuja kukaa kwetu. hata angeishi miaka yote kwetu sina shida ..maneno lazima yawepo ukiolewa ukiwa unasikiliza maneno ya kipuuzi hutaweza kuishi kwa furaha kwenye ndoa yako..kuna maneno mengine lazima uyapuuzie...maadam sio mume anang'onga ni mkwe ambae hulali nae kitanda kimoja unayachukulia kama ushuzi hayo maneno..na hao wanaokuja kukwambia hayo maneno ningewauliza walikuwa wanazungumza nin hadi wakaniongelea? ukiolewa sio wote watakupenda ..kuna wengine wamejaliwa kusema tuu..maneno hayaui ..watasema mchana usiku watalala na maisha yataenda...hakikisha kwenye ndoa yako unakuwa na furaha
 
Back
Top Bottom