tatizo kubwa nnaloliona kwa bi wakubwa zetu wa kiafrika, hawataki kumchukulia yule mkamwana kama mtoto wake, huwa wanawachukulia kama wapinzani flani yaaan ful kumfatilia na kumkosoa hapo ndo inaleta ugumu kuishi pamoja....na katika hii case huyu mama ana mji wake na mume si arudi na kwake