AhaaaaaaaaMbona yoseph anaish kwa mkwe wake mbinguni.
Amnaga akili uchoyo tu ndo umewaaandama
aaaaa.... Mkuu kwa mwanae YESU.. Sio mkwewe daaaaaah So funny
AhaaaaaaaaMbona yoseph anaish kwa mkwe wake mbinguni.
Amnaga akili uchoyo tu ndo umewaaandama
aaaaa.... Mkuu kwa mwanae YESU.. Sio mkwewe daaaaaah
Sasa unasubiri nn na mimi nahitaji mwenye sifa kama zakoSio mimi, kwanza mimi atakaenioa atapata bahati sana mim nikimpenda Mwanaume napenda na ndugu zake ndio fomula niliyonayo ,,,kwa upande wangu naweza kuishi na mama wa mme wangu na namlea tu vyemaa,ila haswaaa nikiwa nampenda huyo mme ,,,lazima nipende anachopenda mme wangu
Kwahiyo binti anamuonea huruma housegirl kuliko kumjali mama mkwe. Kwanza nini kazi ya house maidMfano huyi binti alijifungua mama mkwe ana nguvu kabisa bado alikuwa hamsaidiii chochote , binti wa kazi afanye kila kitu,adeki,apike,afue,kila kitu afanye mama mkwe hata kuogesha mjukuu hakuna,,hapo mama yake mzazi akashindwa kuja kwa sababu mama mkwe wa mwanae yupo,binti ikabidi akomae tu asaidizane sasa hivi anaumwa kiuno haswaa kwa ajili ya kufanya kazi kiuno hakijakomaa kwaajili ya kujifungua
Mama mkwe kukaa kwa mwinga wake miezi 6 ,,jamani wake zenu wengi hawapendi hili kuna mdada nimemtembelea analalamika anasema mama mkwe wake yupo pale kwake mwezi unaenda huu wa sita anasema hana raha ya ndoa kabisaa kwani mama mkwe anakuwa anamsema kwa ndugu yaan maneno hayaishi ,sasa nachojiuliza ni haki mama mkwe kuishi kwa wanae muda mrefu kiasi kile hata kama ni mama mzazi,halaf mama mkwe kaacha kwake na mmewe kamuacha tu peke yake
Yaan mama mkwe kageuza imekuwa kwake ,,,kwenye ndoa kuna mengi jamanii
Au ni haki labda pengine wake zenu wanakosea ,
Nawewe unakunywa nini?mlipe tu mangi ndio nakunywa soda hapa
Mama mkwe kukaa kwa mwinga wake miezi 6 ,,jamani wake zenu wengi hawapendi hili kuna mdada nimemtembelea analalamika anasema mama mkwe wake yupo pale kwake mwezi unaenda huu wa sita anasema hana raha ya ndoa kabisaa kwani mama mkwe anakuwa anamsema kwa ndugu yaan maneno hayaishi ,sasa nachojiuliza ni haki mama mkwe kuishi kwa wanae muda mrefu kiasi kile hata kama ni mama mzazi,halaf mama mkwe kaacha kwake na mmewe kamuacha tu peke yake
Yaan mama mkwe kageuza imekuwa kwake ,,,kwenye ndoa kuna mengi jamanii
Au ni haki labda pengine wake zenu wanakosea ,
Kwanini huwa hampendi kuishi na ndugu wa mume?Hopefuly yo a man, kwahiyo hili kulielewa kidogo itakuwa ngumu.
Pole yake mwambie agangamaleMfano huyi binti alijifungua mama mkwe ana nguvu kabisa bado alikuwa hamsaidiii chochote , binti wa kazi afanye kila kitu,adeki,apike,afue,kila kitu afanye mama mkwe hata kuogesha mjukuu hakuna,,hapo mama yake mzazi akashindwa kuja kwa sababu mama mkwe wa mwanae yupo,binti ikabidi akomae tu asaidizane sasa hivi anaumwa kiuno haswaa kwa ajili ya kufanya kazi kiuno hakijakomaa kwaajili ya kujifungua
Sasa yeye huyo lafiki yako mbona analalamika ,ndo ajue hata huyo mama alimwangaikia sana huyu wanae mwita Mme tena bila house girlMfano huyi binti alijifungua mama mkwe ana nguvu kabisa bado alikuwa hamsaidiii chochote , binti wa kazi afanye kila kitu,adeki,apike,afue,kila kitu afanye mama mkwe hata kuogesha mjukuu hakuna,,hapo mama yake mzazi akashindwa kuja kwa sababu mama mkwe wa mwanae yupo,binti ikabidi akomae tu asaidizane sasa hivi anaumwa kiuno haswaa kwa ajili ya kufanya kazi kiuno hakijakomaa kwaajili ya kujifungua
Wewe sindo tuliona bandiko humu ukimsifia Mme wako natabia zake zilivyo nzuri pamoja na ndugu zakeSio mimi, kwanza mimi atakaenioa atapata bahati sana mim nikimpenda Mwanaume napenda na ndugu zake ndio fomula niliyonayo ,,,kwa upande wangu naweza kuishi na mama wa mme wangu na namlea tu vyemaa,ila haswaaa nikiwa nampenda huyo mme ,,,lazima nipende anachopenda mme wangu
Sambona unadai atakaekuoa kapata wakati ushaolewa pia kwanini usimshauli nahuyo lafiki yako nayeye akatulia akaacha kumchukia mzaa chema wake kumbuka ukipenda boga penda na ua lakeMim naweza kukabiliana navyo,,ila wengine hawawezii wakiona kitu kidogo wananunaa,,,ila tu sisi wanawake tuna manenoo
Ungewauliza wakwe kwanini huwa wanaleta figisu figisu kwenye ndoa za watoto wao ndio ungeelewa.Kwanini huwa hampendi kuishi na ndugu wa mume?