Hivi hii ni sawaa?

Hivi hii ni sawaa?

Sio mimi, kwanza mimi atakaenioa atapata bahati sana mim nikimpenda Mwanaume napenda na ndugu zake ndio fomula niliyonayo ,,,kwa upande wangu naweza kuishi na mama wa mme wangu na namlea tu vyemaa,ila haswaaa nikiwa nampenda huyo mme ,,,lazima nipende anachopenda mme wangu
Sasa unasubiri nn na mimi nahitaji mwenye sifa kama zako
 
Mfano huyi binti alijifungua mama mkwe ana nguvu kabisa bado alikuwa hamsaidiii chochote , binti wa kazi afanye kila kitu,adeki,apike,afue,kila kitu afanye mama mkwe hata kuogesha mjukuu hakuna,,hapo mama yake mzazi akashindwa kuja kwa sababu mama mkwe wa mwanae yupo,binti ikabidi akomae tu asaidizane sasa hivi anaumwa kiuno haswaa kwa ajili ya kufanya kazi kiuno hakijakomaa kwaajili ya kujifungua
Kwahiyo binti anamuonea huruma housegirl kuliko kumjali mama mkwe. Kwanza nini kazi ya house maid
 
Mama mkwe kukaa kwa mwinga wake miezi 6 ,,jamani wake zenu wengi hawapendi hili kuna mdada nimemtembelea analalamika anasema mama mkwe wake yupo pale kwake mwezi unaenda huu wa sita anasema hana raha ya ndoa kabisaa kwani mama mkwe anakuwa anamsema kwa ndugu yaan maneno hayaishi ,sasa nachojiuliza ni haki mama mkwe kuishi kwa wanae muda mrefu kiasi kile hata kama ni mama mzazi,halaf mama mkwe kaacha kwake na mmewe kamuacha tu peke yake
Yaan mama mkwe kageuza imekuwa kwake ,,,kwenye ndoa kuna mengi jamanii

Au ni haki labda pengine wake zenu wanakosea ,


Wewe Dinazarde unaanza sasa, nina hamu sana na wewe....wikiendi hii, unapatikana wapi?
 
Muache akae ata miaka kumi...ana haki zote za kukaa kwa mwanae tena bila kusumbuliwa...yeye ndio mama
 
Kabeba mimba miezi 9, kambadirisha nepi, kamsomesha.

Kujaa kukaa miezi 6 tu mnaanza maneno.

Ndio maana wengine hawafikirii hata kuoa wazazi wao wale matunda yao kwanza.

Mama mkwe kukaa kwa mwinga wake miezi 6 ,,jamani wake zenu wengi hawapendi hili kuna mdada nimemtembelea analalamika anasema mama mkwe wake yupo pale kwake mwezi unaenda huu wa sita anasema hana raha ya ndoa kabisaa kwani mama mkwe anakuwa anamsema kwa ndugu yaan maneno hayaishi ,sasa nachojiuliza ni haki mama mkwe kuishi kwa wanae muda mrefu kiasi kile hata kama ni mama mzazi,halaf mama mkwe kaacha kwake na mmewe kamuacha tu peke yake
Yaan mama mkwe kageuza imekuwa kwake ,,,kwenye ndoa kuna mengi jamanii

Au ni haki labda pengine wake zenu wanakosea ,
 
Mfano huyi binti alijifungua mama mkwe ana nguvu kabisa bado alikuwa hamsaidiii chochote , binti wa kazi afanye kila kitu,adeki,apike,afue,kila kitu afanye mama mkwe hata kuogesha mjukuu hakuna,,hapo mama yake mzazi akashindwa kuja kwa sababu mama mkwe wa mwanae yupo,binti ikabidi akomae tu asaidizane sasa hivi anaumwa kiuno haswaa kwa ajili ya kufanya kazi kiuno hakijakomaa kwaajili ya kujifungua
Pole yake mwambie agangamale

Wenzie tulipumzika wiki 2 tu tukaingia mzigoni no housegirl ni msaidizi (wazazi.wote wa pande mbili watu wazima huwezi kuwapigisha deki) na tunadunda viuno vishanyooka


Ila hata kama mkwe hakumuhudumia sio sababu ya kununa
 
Ni haki maana ni mwanae,ni busara pia maana wamekubaliana lililomuweka hapo,ie mtu na mamake,hivyo wewe chukulia poa tu kama vile ungeolewa kijijini na yuko hapo ungefanyaje?au unataka aondoke umfanye nini mtoto wa mwenzio?
 
Mfano huyi binti alijifungua mama mkwe ana nguvu kabisa bado alikuwa hamsaidiii chochote , binti wa kazi afanye kila kitu,adeki,apike,afue,kila kitu afanye mama mkwe hata kuogesha mjukuu hakuna,,hapo mama yake mzazi akashindwa kuja kwa sababu mama mkwe wa mwanae yupo,binti ikabidi akomae tu asaidizane sasa hivi anaumwa kiuno haswaa kwa ajili ya kufanya kazi kiuno hakijakomaa kwaajili ya kujifungua
Sasa yeye huyo lafiki yako mbona analalamika ,ndo ajue hata huyo mama alimwangaikia sana huyu wanae mwita Mme tena bila house girl
 
Sio mimi, kwanza mimi atakaenioa atapata bahati sana mim nikimpenda Mwanaume napenda na ndugu zake ndio fomula niliyonayo ,,,kwa upande wangu naweza kuishi na mama wa mme wangu na namlea tu vyemaa,ila haswaaa nikiwa nampenda huyo mme ,,,lazima nipende anachopenda mme wangu
Wewe sindo tuliona bandiko humu ukimsifia Mme wako natabia zake zilivyo nzuri pamoja na ndugu zake
 
Wewe sindo tuliona bandiko humu ukimsifia Mme wako natabia zake zilivyo nzuri pamoja na ndugu zake
Mim naweza kukabiliana navyo,,ila wengine hawawezii wakiona kitu kidogo wananunaa,,,ila tu sisi wanawake tuna manenoo
 
Mim naweza kukabiliana navyo,,ila wengine hawawezii wakiona kitu kidogo wananunaa,,,ila tu sisi wanawake tuna manenoo
Sambona unadai atakaekuoa kapata wakati ushaolewa pia kwanini usimshauli nahuyo lafiki yako nayeye akatulia akaacha kumchukia mzaa chema wake kumbuka ukipenda boga penda na ua lake
 
Sambona unadai atakaekuoa kapata wakati ushaolewa pia kwanini usimshauli nahuyo lafiki yako nayeye akatulia akaacha kumchukia mzaa chema wake kumbuka ukipenda boga penda na ua lake
Sawa kaka halaf angalia matumizi L na R
 
Hivi akija mama yake huyo mwanamke akikaa mwezi pia atalalamika?

Hizi tabia za kibashite hizi inabidi zikomeshwe.

Wote ni wazazi inabidi tuwalee kwa Upendo na kuvumilia mapungufu Yao kwani hata wao walitumilia sana.
 
Back
Top Bottom