kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,425
- 7,212
Rais wa Ufaransa mkewe ni kikongwe wa umri wa kumzaa yeye. Alikuwa mwalimu wake chuo kikuu.
Huyo huyo Rais wa Ufaransa juzi hapa kamteua kijana shoga kuwa Waziri Mkuu wa nchi yake kisha huyo shoga kamteua mume wake yaani basha wake kuwa Waziri wa Mambo ya nje wa nchi hiyo.
Hivi ni vituko vya kutosha hata kwa hao wazungu wenyewe. Somo gani linatumwa kwa watoto na kwa walimwengu kwa ujumla.
Kwamba ushoga sasa liwe si jambo la kujificha wala chukizo kwa Mungu na binadamu. La kujiuliza nani kawafunga mdomo watu hadi vinaundwa vikosi kazi kwa siri na nchi za Magharibi kukuza ushoga.
Yaani kijana wako lijali kwa hila na black mail anageuzwa shoga?
Mwaka jana niliwahi kuona clip ya video Waziri mmoja wa Canada akitangaza kwenye mkutano yeye ni shoga na mumewe kamuonyesha alikuwa hapo kwenye mkutano.
Kwanza mkutano ulikuwa hauna uhusiano wowote na mada ya ushoga.
Huku Tanzania tumeshajua kuhusu mitandao ya kueneza ushoga ikiletwa na wazungu.
Haya ni mambo walimwengu tuvalie kibwebwe kupinga maana huko magharibi binadamu wamezidiwa nguvu na waovu lakini kwa hakika hawapendi ubinadamu kudhihakiwa kiasi hicho. Tuwakamate wahusika wenyewe maana serikali zinaogopa wazungu.
Huyo huyo Rais wa Ufaransa juzi hapa kamteua kijana shoga kuwa Waziri Mkuu wa nchi yake kisha huyo shoga kamteua mume wake yaani basha wake kuwa Waziri wa Mambo ya nje wa nchi hiyo.
Hivi ni vituko vya kutosha hata kwa hao wazungu wenyewe. Somo gani linatumwa kwa watoto na kwa walimwengu kwa ujumla.
Kwamba ushoga sasa liwe si jambo la kujificha wala chukizo kwa Mungu na binadamu. La kujiuliza nani kawafunga mdomo watu hadi vinaundwa vikosi kazi kwa siri na nchi za Magharibi kukuza ushoga.
Yaani kijana wako lijali kwa hila na black mail anageuzwa shoga?
Mwaka jana niliwahi kuona clip ya video Waziri mmoja wa Canada akitangaza kwenye mkutano yeye ni shoga na mumewe kamuonyesha alikuwa hapo kwenye mkutano.
Kwanza mkutano ulikuwa hauna uhusiano wowote na mada ya ushoga.
Huku Tanzania tumeshajua kuhusu mitandao ya kueneza ushoga ikiletwa na wazungu.
Haya ni mambo walimwengu tuvalie kibwebwe kupinga maana huko magharibi binadamu wamezidiwa nguvu na waovu lakini kwa hakika hawapendi ubinadamu kudhihakiwa kiasi hicho. Tuwakamate wahusika wenyewe maana serikali zinaogopa wazungu.