HIV inanitesa

HIV inanitesa

Huyo HIV+ namfahamu, ni dada mmoja maarufu sana hapa jf kwa sasa anatumia ID nyingine.
 
Last edited by a moderator:
Naamini ni bora kuwa na mpz unayejua ana HIV kwa sababu am fa wote utatumia condom hata ikipasuka fasta utachomoa na utajikinga na mambo mengi sana kuliko kufanya na usiyejua kama ana HIV au Hana unaweza shawishika kutotumia condom
 
pole dada na hongera kwa kuikubali hali uliyonayo. Kama ukihitaji mtu wa kuongea nae kubadilishana mawazo niko hapa private me jisikie huru . Ni wangapi humu wameshacheki afya zao? Kama bado fanya maamuzi ya busara ukapime uweze kutimiza malengo yako.
 
Unajua wakati naanzana na wewe sikujitambua kama nimeathirika....ila baada ya kuandamwa na homa zisizoisha pamoja na upele mwilini ndipo nilipopata wazo la kwenda kucheck afya yangu, hapo ndipo majibu yalipokuja kuwa nimeathirika.
Ila nakushauri nawe ukapime afya ili ujue kama umeathirika au la.

Ntakuja basi hapo kino-CLAN tuchonge zaidi.
 
Amin usiamin HIV doesnt coz AIDS to your body but your life stlye and your perception abt HIV after knowing that you are HIV+ .Ningumu sana kuelewa hii kitu undani wake unless utaamua kusearch the truth about HI Virus.Ila kwa kuanza tu jaribu kutafuta uzi huu unaitwa Dr Robert charles gallo:The man who created AIDS .Nadhani upo jukwaa la intellegence.Then nikipata time ntakuja na more info about HI Virus
 
I admire your courage and trust me we are together in this one,holla at me via PM incase you need my help my dear sister
All I can say for now POLE SANA na PIGA Moyo konde
 
Kumbe siku nyingine unamtambua Mungu?!!Kweli Mungu ni mkubwa jamani.

Kumtaja mungu katika kadhia ya kiutamaduni kutambuliwe kama kumtaja mungu katika kadhia ya kiutamaduni.

Ukichukulia kila kitu literallly utaambiwa "moyo wangu umekufia" ukalia msiba bure.

Mimi nanukuu mpaka mistari ya misahafu.

Hilo halinifanyi kuwa muumini.
 
Kumtaja mungu katika kadhia ya kiutamaduni kutambuliwe kama kumtaja mungu katika kadhia ya kiutamaduni.

Ukichukulia kila kitu literallly utaambiwa "moyo wangu umekufia" ukalia msiba bure.

Mimi nanukuu mpaka mistari ya misahafu.

Hilo halinifanyi kuwa muumini.

Matatizo yako hayajaisha bado? Ipo siku utajitambua na kuamini Mungu
 
Matatizo yako hayajaisha bado? Ipo siku utajitambua na kuamini Mungu

Ujinga ni tatizo.

Kuamini kisichothibitishika ni tatizo.

Kutoamini kisichothibitishika kamwe hakuwezi kuwa tatizo.

I am not about to hijack another thread.
 
Mkuu kosa sana kwa kauli hii,soma vzuri ujumbe wake,au unaugonvi nae,yuko hapa kutuelimisha,vitu vingine angalia mkuu unapo comment

Akawaelimishe kwanza watu anaowafahamu yaani, majirani zake, marafiki zake wa karibu na watu anaofanya nao kazi halafu ndio aje hapa kuelimisha watu asiowafahamu.Mtu huwezi kumuelimisha mtu kwa kuwa wazi kwenye issue ngumu kama HIV wakati umeshindwa kujitambulisha kwa jina lako kamili ili jamii inayokuzunguka ikiwemo jf wakujue!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom