ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
pole sana dada yangu. usijihukumu wewe mwenyewe wala kujinyanyapaa hivyo unayo nafasi ingine ambayo itaweza kukubadilisha maisha yako unayoishi sasa na kuwa mwingine, mtegemee Mungu kuwa mtu wa maombi na jua kuwa Mungu
unapomuendea yeye anasikia kwani sikio lake si zito wala asiweze kusikia na kutenda jambo jipya kwako
Kinachotakiwa kwako ni kumwamini na kumtegemea na kumpa maisha yako afanyike mtawala moyoni mwako soma
warumi 10:9 vile vile mwite yeye anayeponya atakuponya na utakuwa mzima usiwe na hofu wala mashaka kwa
M,ungu yote yanawezekana anaponya magonjwa yote yawe ya kufisha, kawaida yeye ni mponyaji kwani ulituma neno
lake la uponyaji na kukuponya pale utakapomwamini na kukubali na kumruhusu awe Bwana na Mwokozi wako utapata uponyaji
unapomuendea yeye anasikia kwani sikio lake si zito wala asiweze kusikia na kutenda jambo jipya kwako
Kinachotakiwa kwako ni kumwamini na kumtegemea na kumpa maisha yako afanyike mtawala moyoni mwako soma
warumi 10:9 vile vile mwite yeye anayeponya atakuponya na utakuwa mzima usiwe na hofu wala mashaka kwa
M,ungu yote yanawezekana anaponya magonjwa yote yawe ya kufisha, kawaida yeye ni mponyaji kwani ulituma neno
lake la uponyaji na kukuponya pale utakapomwamini na kukubali na kumruhusu awe Bwana na Mwokozi wako utapata uponyaji