HIV inanitesa

HIV inanitesa

HIV/kansa/kisukari ni conditions zinazoshabihiana sana.ushauri wangu hudhuria kiliniki mara kwa mara utapata ushauri mzuri wa kukufanya uishi kwa amani.
 
Kwanza nakupongeza xana kwa ujasiri wako wa kujitunza mpaka leo pia ...kufunga kwao umesadia wengi hata wale waliokataa tamaa watakuwa wamefarijika xana .
 
Kuna kaka alinyang'anywa mke kisa HIV+ alikuja hapa jamvini,
mwingine anatafuta mume mwenye HIV+ hapa hapa jamvini,
Na huyu dada amejitokeza kuwa ni HIV+ kumbe tuko wengi japo hatujapima afya zetu.
NAOMBA MODS WAUWEKE HUU UZI UWE WA KUDUMU.
 
Habari zenu wana jamvi.
Naombeni maoni yenu /michango yenu.
Mie ni Mdada wa miaka 30 nima MBA ya UDSM na nimebahatika nimeajiriwa hapa DSM mitaa ya post mpya.Pia nina ishi na Virus visababishavo ukimwi (HIV)

Naisha maisha ya kawaida kabisa nimejenga na nina kiusafiri cha kunifikisha popote napotaka kwenda.Vile vile ni Mrembo nimeumbika haswaa maji ya kunde umbo la kibantu haswaa hakuna mwanaume akutane na mie asigeuke mara mbili mbili kuniangalia.

Niliishi maisha ya kawaida tu hapo awali adi mwaka 2008 mwishoni nilipata mchumba kwenda kupima mie nikangundulika nimeathirika wapendwa.kweli ilikuwa hali ngumu sana kwa upande wangu.Nikakaa kimya adi leo sijawambia mtu ndo naweka wazi hapa Jamii leo hii.Namshukuru Mungu nina afya njema sana sina hapa uwezi kujua hata ukiambiwa uwezi kukubali.

Shida ni hii hapa Unyanyapaa kwa baadhi ya jamaa zetu katika jamii zinazotuzunguka umekuwa mkubwa sana.
Hali hii uwa inanipelekea kutaka kuambuka kwa makusudi wanaume wanaojigonga kwangu.Na wakati mwingine mie kama binadamu uwa najikuta kwenye mahusiano kama mjuavyo mara ya kwanza mtatumia kinga ya pili njema inataka kavu hapo ndo uwa napatwa na ngazi mwili mzima.

Jamani napenda kutoa wito kwa waathirika mwenzangu hapa Jamii forum tujiunge walau tufanye ka network ketu ili tuangalie namna ya kupambamba na Maradhi+Unyanyapaa na kukumbusha jamii UKIMWI upo nna pia hauchagui.Maana sie wagonjwa ndo tunajukumu la kuwalinda hawa wanao tunyanyapaa.

Tukichukulia Hasira unyanyapaa nawaaambia waTanzania wengi watapoteza maisha yao kwa HIV.
Na ninajutia sana Kwa kuwaambukiza wengine kwa taama zao za kimwili.
Asante
HIV+

i;a hapa mkuu ushaharibu tayari daaah!!!!
sasa nao kama hawajijui si ndo wataumia wengi....!!!!
 
pole sana mamii! kuwa na HVI sio mwisho wa kuishi mwaya zidi Kumwomba mungu kwa iman nae atakuwa faraja kubwa katika maisha yako usikate tamaa mpendwa!
 
Inabidi tuunde kikundi chetu sie waathirika wa HIV+ humu Jamii Forums ili kuweza kutambuana na pia kupambana na changamoto mbalimbali zinazotukabili kuhusu unyanyapaa kutoka kwa baadhi ya watu hasa wanawake wenzetu.
 
Pole sana dada yangu, unyanyapaa ktk jamii kweli upo, lkn kama umeamua kuwakinga wengine kwa maambukizi honera sana kwa hilo, nakushauri ukiwa ktk mahusiano umjengee mwenza wako mazingira ya no condom no sex, aking'ang'ania kavu basi mueleze ukweli. Mungu akubariki dada yangu.

Akatae kumpa papuchi bila kinga, asimwambie kuwa ni hiv+
 
Habari zenu wana jamvi.
Naombeni maoni yenu /michango yenu.
Mie ni Mdada wa miaka 30 nima MBA ya UDSM na nimebahatika nimeajiriwa hapa DSM mitaa ya post mpya.Pia nina ishi na Virus visababishavo ukimwi (HIV)

Naisha maisha ya kawaida kabisa nimejenga na nina kiusafiri cha kunifikisha popote napotaka kwenda.Vile vile ni Mrembo nimeumbika haswaa maji ya kunde umbo la kibantu haswaa hakuna mwanaume akutane na mie asigeuke mara mbili mbili kuniangalia.

Niliishi maisha ya kawaida tu hapo awali adi mwaka 2008 mwishoni nilipata mchumba kwenda kupima mie nikangundulika nimeathirika wapendwa.kweli ilikuwa hali ngumu sana kwa upande wangu.Nikakaa kimya adi leo sijawambia mtu ndo naweka wazi hapa Jamii leo hii.Namshukuru Mungu nina afya njema sana sina hapa uwezi kujua hata ukiambiwa uwezi kukubali.

Shida ni hii hapa Unyanyapaa kwa baadhi ya jamaa zetu katika jamii zinazotuzunguka umekuwa mkubwa sana.
Hali hii uwa inanipelekea kutaka kuambuka kwa makusudi wanaume wanaojigonga kwangu.Na wakati mwingine mie kama binadamu uwa najikuta kwenye mahusiano kama mjuavyo mara ya kwanza mtatumia kinga ya pili njema inataka kavu hapo ndo uwa napatwa na ngazi mwili mzima.

Jamani napenda kutoa wito kwa waathirika mwenzangu hapa Jamii forum tujiunge walau tufanye ka network ketu ili tuangalie namna ya kupambamba na Maradhi+Unyanyapaa na kukumbusha jamii UKIMWI upo nna pia hauchagui.Maana sie wagonjwa ndo tunajukumu la kuwalinda hawa wanao tunyanyapaa.

Tukichukulia Hasira unyanyapaa nawaaambia waTanzania wengi watapoteza maisha yao kwa HIV.
Na ninajutia sana Kwa kuwaambukiza wengine kwa taama zao za kimwili.
Asante
HIV+

Weka picha sisi tutajua!
 
Inabidi tuunde kikundi chetu sie waathirika wa HIV+ humu Jamii Forums ili kuweza kutambuana na pia kupambana na changamoto mbalimbali zinazotukabili kuhusu unyanyapaa kutoka kwa baadhi ya watu hasa wanawake wenzetu.
Mnaunda kikundi cha majina ya #HIV+ na #Madame-B?
 
Inabidi tuunde kikundi chetu sie waathirika wa HIV+ humu Jamii Forums ili kuweza kutambuana na pia kupambana na changamoto mbalimbali zinazotukabili kuhusu unyanyapaa kutoka kwa baadhi ya watu hasa wanawake wenzetu.

Duuu Mbona haukuniambia kama tayari umeniacha nile goti vukavuka.
 
Inabidi tuunde kikundi chetu sie waathirika wa HIV+ humu Jamii Forums ili kuweza kutambuana na pia kupambana na changamoto mbalimbali zinazotukabili kuhusu unyanyapaa kutoka kwa baadhi ya watu hasa wanawake wenzetu.

Duuuh.. upo siriaz?
 
Inabidi tuunde kikundi chetu sie waathirika wa HIV+ humu Jamii Forums ili kuweza kutambuana na pia kupambana na changamoto mbalimbali zinazotukabili kuhusu unyanyapaa kutoka kwa baadhi ya watu hasa wanawake wenzetu.

Mmmmhhhh wewe!!!
 
Duuu Mbona haukuniambia kama tayari umeniacha nile goti vukavuka.

Unajua wakati naanzana na wewe sikujitambua kama nimeathirika....ila baada ya kuandamwa na homa zisizoisha pamoja na upele mwilini ndipo nilipopata wazo la kwenda kucheck afya yangu, hapo ndipo majibu yalipokuja kuwa nimeathirika.
Ila nakushauri nawe ukapime afya ili ujue kama umeathirika au la.
 
Duuuh.. upo siriaz?

Niko serious matumbo.
Na kama kuna mtu alishawahi kuja pm kwa ajili ya kunitongoza na nikaamua kulala nae basi ajue nae amekwisha, maana humu nina Id zaidi ya 18 na karibia zote zilikuwa zinashinda jukwaa la Love connect.
Hivyo huwezi kujua kama nawe uko kwenye mkumbo wa kusubiri kuingia katika chama chetu au laaa!
 
Last edited by a moderator:
Mmmmhhhh wewe!!!

Dena Amsi....nafurahi kujitambua kama ninaishi na virusi visababishavyo UKIMWI...yaani H.I.V
Japo awali nilishindana na nafsi yangu katika kuukubali ukweli lakini, kadri muda unavyoendelea nikajikuta hali ile inabadilika na kuvaa uamini wa jambo.
Now naishi kwa matumaini na Mungu mkubwa nayashinda ya Dunia.
 
Last edited by a moderator:
Inabidi tuunde kikundi chetu sie waathirika wa HIV+ humu Jamii Forums ili kuweza kutambuana na pia kupambana na changamoto mbalimbali zinazotukabili kuhusu unyanyapaa kutoka kwa baadhi ya watu hasa wanawake wenzetu.

Wife, ina maana na wewe unao?!?!!??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom