Akawaelimishe kwanza watu anaowafahamu yaani, majirani zake, marafiki zake wa karibu na watu anaofanya nao kazi halafu ndio aje hapa kuelimisha watu asiowafahamu.Mtu huwezi kumuelimisha mtu kwa kuwa wazi kwenye issue ngumu kama HIV wakati umeshindwa kujitambulisha kwa jina lako kamili ili jamii inayokuzunguka ikiwemo jf wakujue!
Kweli kabisa,,,tunaanziaga gizani taratibu atajitokeza wazi mpe muda.