Ushirikina na mswahili ni kama mapacha tu.Ushirikina katika jamiii yetu Ni mkubwa Sana...hata Kama hufanyi Wala uabudu Mambo ya kishirikina...kuwa makini Sana na jamii...hata Kama Ni wasomi was PHD....
Unaweza fanya Jambo ukadhani Watu watachukulia POA...LAKINI ukashitumiwa uchawi Utashangaaaa....
Tena huko maofisini ambapo Watu wanadai wameelimika...ndo tahadhari inatakiwa.
Daaah! JF kiboko aiseee.Now kipepeo, breathe! Breathe Beaut IN, nasty OUT!
If you say so about kumtoa /kumu guide to success/finding some legs uyo jamaa... God made you his Angel okay... dont take too much credit ndo maana inakuuma jamani. If he decided to ditch you sweetheart just move on... fate will decide. Dont think to revenge okay?! Kwanza umebarikiwa unajiweza so why uanze kuwaza so rotten hivyo??? Be careful cause if you decide to resent/ revenge ukute na yeye kashajipanga to give you a taste of your own medicine apo ndo sisi tunaokupenda tunakua concerned sana coz it may move from bad to the worst.
You are brave, beautiful and blessed. Continue to be a blessing and make this world a better place to everyone dont wish to be a Jezebel/Satan to no one.
We loke you. Most important your kids and this current mchumba loves you. That should suffice. Why be bothered by this other dude you think is a bastard[emoji4]
Hujatueleza walitaka kumuua kivipi?Ngoja niweke habari vizuri;huyu budda tulizungumza kitambo hata mtoto hajafikisha miaka miwil,akasuggest nifungue akaunti ya mtoto kwaajili ya matumizi ya mtoto na hata ada.Nikafungua akaunti crdb kwa jina la mtoto,nikawa naweka hela na makubaliano ilikuwa naye awe anaweka ili mtoto asipungukiwe kwenye mahitaji yake.Toka nimefungua hiyo akaunti huu ni mwaka wa 4 hakuwahi kuweka hata senti 5,kila ukimkumbusha anasema ataweka Ila hakuwahi kuweka.
Ikawa sio ishu kwakuwa nami nilikuwa kazini na kipato napata nikawa namuhudumia mwanangu ile kizungu.Nikapata changamoto kazini nikadrop kiasi Fulani,nikaona sio kesi Basi ni muda wa budda naye kuchangia,akagoma kutoa ushirikiano.Napo nikaona nimpotezee nifanye yangu.
Sijakaa vizuri limekaa,ng'ombe hili na limke lake yanahangaika kuniulia mtoto,geez hata Kama ni wewe ndugu msomaji huwezi kaa kimya.Inauma mtu akuulie mtoto uliyembeba miezi 9 na kumgharamia mwenyewe,bila yeye kufanya lolote.Waishi maisha yao,wampotezee mwanangu,Ila kutaka kumdhuru siwezi kaa kimya Kama mama.
Mie naongelea elimu na ustawi wa mwanangu wanaleta story za mapenzi,Hana maajabu sekta hiyo.Daaah! JF kiboko aiseee.
Ngoja niweke habari vizuri;huyu budda tulizungumza kitambo hata mtoto hajafikisha miaka miwil,akasuggest nifungue akaunti ya mtoto kwaajili ya matumizi ya mtoto na hata ada.Nikafungua akaunti crdb kwa jina la mtoto,nikawa naweka hela na makubaliano ilikuwa naye awe anaweka ili mtoto asipungukiwe kwenye mahitaji yake.Toka nimefungua hiyo akaunti huu ni mwaka wa 4 hakuwahi kuweka hata senti 5,kila ukimkumbusha anasema ataweka Ila hakuwahi kuweka.
Ikawa sio ishu kwakuwa nami nilikuwa kazini na kipato napata nikawa namuhudumia mwanangu ile kizungu.Nikapata changamoto kazini nikadrop kiasi Fulani,nikaona sio kesi Basi ni muda wa budda naye kuchangia,akagoma kutoa ushirikiano.Napo nikaona nimpotezee nifanye yangu.
Sijakaa vizuri limekaa,ng'ombe hili na limke lake yanahangaika kuniulia mtoto,geez hata Kama ni wewe ndugu msomaji huwezi kaa kimya.Inauma mtu akuulie mtoto uliyembeba miezi 9 na kumgharamia mwenyewe,bila yeye kufanya lolote.Waishi maisha yao,wampotezee mwanangu,Ila kutaka kumdhuru siwezi kaa kimya Kama mama.
No revenge is a must,jua hivyo,wameanza namaliza,hii Vita mshindi atajulikana kwa Vita ya dunia ilivyoishia pale Hiroshima kwa bomu la nyuklia,na dunia ikatulia.Walitaka kumdhuru vipi?
Up to then mtoto alikua anakaa na nani? Baba yake au wewe? If alikua kwako how they accessed the kid? Au mpo jirani as in you live here, they enjoy themselves just next door?
Walitaka kumuua/kumdhuru by which method au mistreat/torture/kiushirikina as your planned approach?
Hell hath no fur as a woman scorned. But please breathe. Dont think to open a can of worm coz mwenyewe ushasema wameshashtukia na wao wanapambana. Even if you are more specialized.., we here have begged you a million times sweetheart hear us out back down, retreat... revenge belongs to God.
Sasa unatuchosha. Jibu maswali tunayokuulizaNo revenge is a must,jua hivyo,wameanza namaliza,hii Vita mshindi atajulikana kwa Vita ya dunia ilivyoishia pale Hiroshima kwa bomu la nyuklia,na dunia ikatulia.
Hiyo nitaielezea Vita ikiisha,saivi tuko battle field.Hujatueleza walitaka kumuua kivipi?
Haya, nitarudi vita ikiisha unitag.Hiyo nitaielezea Vita ikiisha,saivi tuko battle field.
Kuna maswali mnauliza ambayo sipaswi kuyajibu saivi,mzee wangu mwingine yuko ngende mtwara,naye ashaanza kushughulika,ameuza ekari zangu mbili za urithi,nimemruhusu kushughulikia hiliSasa unatuchosha. Jibu maswali tunayokuuliza
wewe unagekuwa gil wangu, ningekuacha na kipigo kizito maana unaonekana una mdomo sana aiseeYani kila nikimzoom jamaa anavyotetemeka yeye na mama yake na mkewe naishia kutabasamu,hahahah,wanasema usianzishe vita usiyoimudu,hahahah ikishindwa katavi tunaingia ngende,hahahah,na katavi haijawahi shindwa🤣🤣
Haiji tokea bestIkitokea umeenda kwa mganga utasema? [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Siku zote x hanaga maajabu...akafie front hukoMie naongelea elimu na ustawi wa mwanangu wanaleta story za mapenzi,Hana maajabu sekta hiyo.
So ushafanya vitu tayariii...!?Yani kila nikimzoom jamaa anavyotetemeka yeye na mama yake na mkewe naishia kutabasamu,hahahah,wanasema usianzishe vita usiyoimudu,hahahah ikishindwa katavi tunaingia ngende,hahahah,na katavi haijawahi shindwa[emoji1787][emoji1787]
Unamzoom wapi?...huu Ulozi wako wakuona matokeo ukiwa mbali ukoje.. unatumia...kiooo gani mwenzetu..?Yani kila nikimzoom jamaa anavyotetemeka yeye na mama yake na mkewe naishia kutabasamu,hahahah,wanasema usianzishe vita usiyoimudu,hahahah ikishindwa katavi tunaingia ngende,hahahah,na katavi haijawahi shindwa[emoji1787][emoji1787]
[emoji25][emoji25][emoji25][emoji25].....Umasikini nauchukia SanaKuna maswali mnauliza ambayo sipaswi kuyajibu saivi,mzee wangu mwingine yuko ngende mtwara,naye ashaanza kushughulika,ameuza ekari zangu mbili za urithi,nimemruhusu kushughulikia hili
Loga Ni kuloge....maisha yakifala Sana hayaUshirikina na mswahili ni kama mapacha tu.
kama ni hivo sawa kabisa,mkomeshe akili imkae sawaHapana Sina mpango wa kuua[emoji120]na hayuko vizuri hivo,ntamrudisha nilikomkuta,ambapo nilikuwa namnunulia boxer,manake uwezo alikuwa hana.hayo ya saikolojia unajua wewe msomi[emoji28]
wewe unagekuwa gil wangu, ningekuacha na kipigo kizito maana unaonekana una mdomo sana aisee