mbona huu sasa ni upumbavu wa hali juu..watu mnatakiwa mjadili hooja sio mtu au jina la mtu au sio..mbona majina mengi tuu ya kibantu yanaingiliana haijalishi wewe msukuma,mnyiramba,msambaa au mpare....na makabila bongo kuna wasukuma wengi tu wamehamia singida,tabora,morogoro na kagera....wamasai pia cku hizi wapo kila mkoa.....huu ni ujinga uliopitiliza kuongea eti jina la kabila hili imekuwaje liko kule....mbona kuna akina banda malawi na zambia na hata zimbabwe...kwa hio people jadilini hoja sio mtu au jina la mtu pheeeewwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwww.
Sioni tatizo, kwanza anastahili pongezi kwa bidii ya kutafuta elimu. Pili, haikuwa initiation yake binafsi bali ya wazazi wake ambao walitamani mtoto wao asome ( hapo wa kulaumu ni wazazi, na si Mh Mwigulu mwenyewe) na Mwigulu akatatii matakwa ya wazazi.
Mwisho, enzi hizo kuchaguliwa she la serikali ilikuwa muhimu maana ndio zilikuwa bora na wengi miaka ya nyuma walifanya hivyo.
Awe lameck awe mwigulu ni mwiba mkali sana ndani ya bunge cdm mpo kwa kazi ambayo ccm imempa ndani ya bunge bado ajaanza hzo ni rasharasha tu...cdm get ready
Awe lameck awe mwigulu ni mwiba mkali sana ndani ya bunge cdm mpo kwa kazi ambayo ccm imempa ndani ya bunge bado ajaanza hzo ni rasharasha tu...cdm get ready
Awe lameck awe mwigulu ni mwiba mkali sana ndani ya bunge cdm mpo kwa kazi ambayo ccm imempa ndani ya bunge bado ajaanza hzo ni rasharasha tu...cdm get ready
Lameck Mkumbo Madelu ni jina halisi la mh Mwigulu Nchemba.
Akiwa anasoma shule ya msingi Makunda kata ya Kyengege tarafa ya Kinampanda wilaya ya Iramba mkoa wa Singida, Mh Lameck Mkumbo Madelu alifeli mtihani wa taifa darasa la saba, baada ya kufeli huko akawa anatafuta njia ya kurudia.
Kwa bahati nzuri kulikuwa na darasa la kata la kata ya Kyengege lililokuwa linajumuisha shule za Makunda, Mgundu na Kyengege yenyewe. Kutokana na kuwepo darasa hilo la kata ikawa kuna nafasi kwani mwanafunzi Mwigulu Nchemba (msukuma) alikuwa ameacha shule akiwa darasa la sita kwani mwinuko wa kielimu kwa wasukuma ulikuwa chini sana wakati huo. Ndipo Mwl Malumbi alipoweza kumuuzia jina la Mwigulu Nchemba bwana Lameck Mkumbo Madelu.
Baada ya kurudia masomo bwana Lameck alifaulu kwa kutumia jina la Mwigulu Nchemba lakini baadae akiwa Secondari aliliongeza likawa Mwigulu Lameck Nchemba
Source: Admission books
1. Makunda Primary School
2. Darasa la kata Kyengege
3. Ilboru secondary
4. Wakazi wa Makunda
Lameck Mkumbo Madelu ni jina halisi la mh Mwigulu Nchemba.
.......Kwa bahati nzuri kulikuwa na darasa la kata la kata ya Kyengege lililokuwa linajumuisha shule za Makunda, Mgundu na Kyengege yenyewe. Kutokana na kuwepo darasa hilo la kata ikawa kuna nafasi kwani mwanafunzi Mwigulu Nchemba (msukuma) alikuwa ameacha shule akiwa darasa la sita kwani mwinuko wa kielimu kwa wasukuma ulikuwa chini sana wakati huo. Ndipo Mwl Malumbi alipoweza kumuuzia jina la Mwigulu Nchemba bwana Lameck Mkumbo Madelu.
Baada ya kurudia masomo bwana Lameck alifaulu kwa kutumia jina la Mwigulu Nchemba lakini baadae akiwa Secondari aliliongeza likawa Mwigulu Lameck Nchemba
Source: Admission books
1. Makunda Primary School
2. Darasa la kata Kyengege
3. Ilboru secondary
4. Wakazi wa Makunda
Nyie mapopo wa Chaga development manifesto imekosa hoja? Mbona Mnyika alipata one ya 7 then form six akalamba za uso na kusoma evening clas pale udsm..aha aha aha
Ndio maana wahalifu hukimbilia CCM, ni hifadhi ya waovu wa kila aina na ndio sababu taifa limejikuta hapa tulipo. Kama wewe ni mwizi tafuta hifadhi CCM, kama wewe ni tapeli tafuta hifadhi CCM na kama wewe ni kibaka tafuta hifadhi CCM. Watu kama Mwigulu Nchemba aka Lameck Mkumbo Madelu hawana usalama nje ya CCM...huko anaweza kutamba, kutukana na hata kuua bila hatua yoyote kuchukuliwa. Kama hizi za sasa ni rasha rasha tu basi tutegemee makubwa kwa sababu kichaa kapewa rungu lakini akae akijua kuwa ukombozi unagonga hodi...mwaka 2015 hauko mbali!
Nyie mapopo wa Chaga development manifesto imekosa hoja? Mbona Mnyika alipata one ya 7 then form six akalamba za uso na kusoma evening clas pale udsm..aha aha aha
mbona huu sasa ni upumbavu wa hali juu..watu mnatakiwa mjadili hooja sio mtu au jina la mtu au sio..mbona majina mengi tuu ya kibantu yanaingiliana haijalishi wewe msukuma,mnyiramba,msambaa au mpare....na makabila bongo kuna wasukuma wengi tu wamehamia singida,tabora,morogoro na kagera....wamasai pia cku hizi wapo kila mkoa.....huu ni ujinga uliopitiliza kuongea eti jina la kabila hili imekuwaje liko kule....mbona kuna akina banda malawi na zambia na hata zimbabwe...kwa hio people jadilini hoja sio mtu au jina la mtu pheeeewwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwww.
Lameck Mkumbo Madelu ni jina halisi la mh Mwigulu Nchemba.
Akiwa anasoma shule ya msingi Makunda kata ya Kyengege tarafa ya Kinampanda wilaya ya Iramba mkoa wa Singida, Mh Lameck Mkumbo Madelu alifeli mtihani wa taifa darasa la saba, baada ya kufeli huko akawa anatafuta njia ya kurudia.
Kwa bahati nzuri kulikuwa na darasa la kata la kata ya Kyengege lililokuwa linajumuisha shule za Makunda, Mgundu na Kyengege yenyewe. Kutokana na kuwepo darasa hilo la kata ikawa kuna nafasi kwani mwanafunzi Mwigulu Nchemba (msukuma) alikuwa ameacha shule akiwa darasa la sita kwani mwinuko wa kielimu kwa wasukuma ulikuwa chini sana wakati huo. Ndipo Mwl Malumbi alipoweza kumuuzia jina la Mwigulu Nchemba bwana Lameck Mkumbo Madelu.
Baada ya kurudia masomo bwana Lameck alifaulu kwa kutumia jina la Mwigulu Nchemba lakini baadae akiwa Secondari aliliongeza likawa Mwigulu Lameck Nchemba
Source: Admission books
1. Makunda Primary School
2. Darasa la kata Kyengege
3. Ilboru secondary
4. Wakazi wa Makunda