Historia ya jina la Mwigulu Nchemba

Status
Not open for further replies.
mbona huu sasa ni upumbavu wa hali juu..watu mnatakiwa mjadili hooja sio mtu au jina la mtu au sio..mbona majina mengi tuu ya kibantu yanaingiliana haijalishi wewe msukuma,mnyiramba,msambaa au mpare....na makabila bongo kuna wasukuma wengi tu wamehamia singida,tabora,morogoro na kagera....wamasai pia cku hizi wapo kila mkoa.....huu ni ujinga uliopitiliza kuongea eti jina la kabila hili imekuwaje liko kule....mbona kuna akina banda malawi na zambia na hata zimbabwe...kwa hio people jadilini hoja sio mtu au jina la mtu pheeeewwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwww.

wewe ndo mpumbavu, hapa tunajadili issue, issue ya Ufisadi wa Elimu......na Mwigulu ni kama Case Study, na wewe ni gumu kuelewa coz hapa hatuzungumzii kufafanana kwa majina, we tok abt mtu kuiba jina na kusafiria nyota ya mtu.nukta
 
Sioni tatizo, kwanza anastahili pongezi kwa bidii ya kutafuta elimu. Pili, haikuwa initiation yake binafsi bali ya wazazi wake ambao walitamani mtoto wao asome ( hapo wa kulaumu ni wazazi, na si Mh Mwigulu mwenyewe) na Mwigulu akatatii matakwa ya wazazi.
Mwisho, enzi hizo kuchaguliwa she la serikali ilikuwa muhimu maana ndio zilikuwa bora na wengi miaka ya nyuma walifanya hivyo.

Nafikiri hii yote ni sababu ya umaskini tu wa wazazi enzi hizo, sidhani mzazi mwenye uwezo wa kupeleka mwanae shule kwa wakati ule angependa mwanae arudie shule tena abadili na jina. Kibaya ni kwamba Lameck baada ya kupata elimu hiyo ya hisani badala ya kuwatumikia watanganyika kwa moyo na kurudisha fadhila kwa mamilioni ya watanganyika ambao wanastahili huduma yake kama mbunge anajiingiza kwenye mambo ya kihuni. Sasa anaanza kufuata nyanyo za akina Gen. Salim Saleh (born Caleb Akandwanaho)
 
Awe lameck awe mwigulu ni mwiba mkali sana ndani ya bunge cdm mpo kwa kazi ambayo ccm imempa ndani ya bunge bado ajaanza hzo ni rasharasha tu...cdm get ready

Mambo ya tigo hayo! Chezea punga wewe???
 
Awe lameck awe mwigulu ni mwiba mkali sana ndani ya bunge cdm mpo kwa kazi ambayo ccm imempa ndani ya bunge bado ajaanza hzo ni rasharasha tu...cdm get ready

Mkuu usiaahau kuwa hilo ni kosa la jinai. Kuiba jina la mtu mwingine na kughushi nafasi ya kurudia shule achilia mbali kutumia jina la mtu mwingine ni kinyume na sheria. Nakumbuka waliokuwa wakirudia (repeaters) walikuwa wakichukuliwa hatua. Hilo si jambo la kujivunia sana.
 
Awe lameck awe mwigulu ni mwiba mkali sana ndani ya bunge cdm mpo kwa kazi ambayo ccm imempa ndani ya bunge bado ajaanza hzo ni rasharasha tu...cdm get ready

Mweupe huyo muulize ilikuwaje Arumeru Mashariki? Na wewe jiulize pia. Vipi mjadala na Zomba ni wakipofu na kiziwi au "inteligensia" na mauaji mengine ya wanaharakati?
 
Lameck Mkumbo Madelu ni jina halisi la mh Mwigulu Nchemba.

Akiwa anasoma shule ya msingi Makunda kata ya Kyengege tarafa ya Kinampanda wilaya ya Iramba mkoa wa Singida, Mh Lameck Mkumbo Madelu alifeli mtihani wa taifa darasa la saba, baada ya kufeli huko akawa anatafuta njia ya kurudia.

Kwa bahati nzuri kulikuwa na darasa la kata la kata ya Kyengege lililokuwa linajumuisha shule za Makunda, Mgundu na Kyengege yenyewe. Kutokana na kuwepo darasa hilo la kata ikawa kuna nafasi kwani mwanafunzi Mwigulu Nchemba (msukuma) alikuwa ameacha shule akiwa darasa la sita kwani mwinuko wa kielimu kwa wasukuma ulikuwa chini sana wakati huo. Ndipo Mwl Malumbi alipoweza kumuuzia jina la Mwigulu Nchemba bwana Lameck Mkumbo Madelu.

Baada ya kurudia masomo bwana Lameck alifaulu kwa kutumia jina la Mwigulu Nchemba lakini baadae akiwa Secondari aliliongeza likawa Mwigulu Lameck Nchemba

Source: Admission books
1. Makunda Primary School
2. Darasa la kata Kyengege
3. Ilboru secondary
4. Wakazi wa Makunda

Naomba utewekee na nimwaka gani kafanya hivyo tumkamalie hadi tuzae naye,
 
Lameck Mkumbo Madelu ni jina halisi la mh Mwigulu Nchemba.

.......Kwa bahati nzuri kulikuwa na darasa la kata la kata ya Kyengege lililokuwa linajumuisha shule za Makunda, Mgundu na Kyengege yenyewe. Kutokana na kuwepo darasa hilo la kata ikawa kuna nafasi kwani mwanafunzi Mwigulu Nchemba (msukuma) alikuwa ameacha shule akiwa darasa la sita kwani mwinuko wa kielimu kwa wasukuma ulikuwa chini sana wakati huo. Ndipo Mwl Malumbi alipoweza kumuuzia jina la Mwigulu Nchemba bwana Lameck Mkumbo Madelu.

Baada ya kurudia masomo bwana Lameck alifaulu kwa kutumia jina la Mwigulu Nchemba lakini baadae akiwa Secondari aliliongeza likawa Mwigulu Lameck Nchemba

Source: Admission books
1. Makunda Primary School
2. Darasa la kata Kyengege
3. Ilboru secondary
4. Wakazi wa Makunda

Samahani, mie ni wa siku hizi, hapo kwenye bold: darasa la kata ndio likoje?
 
Nilikua najiuliza sana mtu anaeongea ***** vile inakuaje, leo nmejua. Lameck Mkumbo hahahaaaaha
 
Nyie mapopo wa Chaga development manifesto imekosa hoja? Mbona Mnyika alipata one ya 7 then form six akalamba za uso na kusoma evening clas pale udsm..aha aha aha

umekuja mwenyewe bwana lameki tueleze ukweli sasa mwigulu umelitoa wapi ili jina jinga wewe..........
 
Wewe umenena like za kutosha zikufikie
Ndio maana wahalifu hukimbilia CCM, ni hifadhi ya waovu wa kila aina na ndio sababu taifa limejikuta hapa tulipo. Kama wewe ni mwizi tafuta hifadhi CCM, kama wewe ni tapeli tafuta hifadhi CCM na kama wewe ni kibaka tafuta hifadhi CCM. Watu kama Mwigulu Nchemba aka Lameck Mkumbo Madelu hawana usalama nje ya CCM...huko anaweza kutamba, kutukana na hata kuua bila hatua yoyote kuchukuliwa. Kama hizi za sasa ni rasha rasha tu basi tutegemee makubwa kwa sababu kichaa kapewa rungu lakini akae akijua kuwa ukombozi unagonga hodi...mwaka 2015 hauko mbali!
 
mbona huu sasa ni upumbavu wa hali juu..watu mnatakiwa mjadili hooja sio mtu au jina la mtu au sio..mbona majina mengi tuu ya kibantu yanaingiliana haijalishi wewe msukuma,mnyiramba,msambaa au mpare....na makabila bongo kuna wasukuma wengi tu wamehamia singida,tabora,morogoro na kagera....wamasai pia cku hizi wapo kila mkoa.....huu ni ujinga uliopitiliza kuongea eti jina la kabila hili imekuwaje liko kule....mbona kuna akina banda malawi na zambia na hata zimbabwe...kwa hio people jadilini hoja sio mtu au jina la mtu pheeeewwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwww.

We nae jinga kabisa ndo maana unajiita Mauza uza.
Hapa wenye akili zetu tunajadili hoja ya Lameck Madelu kutenda kosa la jinai kwa kuiba na kutumia jina lisilo lake la Mwigulu Nchemba.
Tuondolee hapa mauzauza yako.
 
Last edited by a moderator:
Lameck Mkumbo Madelu ni jina halisi la mh Mwigulu Nchemba.

Akiwa anasoma shule ya msingi Makunda kata ya Kyengege tarafa ya Kinampanda wilaya ya Iramba mkoa wa Singida, Mh Lameck Mkumbo Madelu alifeli mtihani wa taifa darasa la saba, baada ya kufeli huko akawa anatafuta njia ya kurudia.

Kwa bahati nzuri kulikuwa na darasa la kata la kata ya Kyengege lililokuwa linajumuisha shule za Makunda, Mgundu na Kyengege yenyewe. Kutokana na kuwepo darasa hilo la kata ikawa kuna nafasi kwani mwanafunzi Mwigulu Nchemba (msukuma) alikuwa ameacha shule akiwa darasa la sita kwani mwinuko wa kielimu kwa wasukuma ulikuwa chini sana wakati huo. Ndipo Mwl Malumbi alipoweza kumuuzia jina la Mwigulu Nchemba bwana Lameck Mkumbo Madelu.

Baada ya kurudia masomo bwana Lameck alifaulu kwa kutumia jina la Mwigulu Nchemba lakini baadae akiwa Secondari aliliongeza likawa Mwigulu Lameck Nchemba

Source: Admission books
1. Makunda Primary School
2. Darasa la kata Kyengege
3. Ilboru secondary
4. Wakazi wa Makunda

Sikubaliani na mleta mada, amemdhalilisha kabisa Mheshimiwa Mbunge Mwigulu Mchemba. Amwombe radhi, maana hii kuna wabunge wa upinzani wakiipata wataichomeka kwenye kuchangia mada na hapo Lameck Mkumbo atakasirika kwamba amebambikiziwa jina na Mheshimiwa Mbunge Mnyika kwa vile alifanya mkutano jomboni kwake alienda kumchafua.
 
kama kuna kipindi wabongo wataanza kujisikia vibaya kufa bila kuua kiongozi mmoja wa CCM jukwaani basi ,ni hiki kinakaribia kufika.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom