KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 199
Lameck mkumbo madelu nawaomba wana jf tuwetunatumia hili jina alilopewa na wazazi wake. ule upuuzi wake wa kitoto wa kusema katumiwa meseji ni visasi vya kitoto tulikuwa tunalipiziana kipindi tunabaka panzi na kuchimba udongo kule bondeni msimbazi. eti kwa sababu mnyika kasema ye ni mwizi wa epa na yeye anasema eti kamtumia msg za vitisho shame on this stupidity.