Setuba Noel
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 426
- 210
Kabisa, mpare wa Same. Alipomaliza la saba enzi hizo hatukuwa na shule za kata, mwenzake 1 tu akachaguliwa kuingia sekondari katika shule yake, wengine wote hola. Akaenda Tanga kujaribu bahati yake akafanikiwa, hata form 4 alifaulu vizuri. Kama yuko huku JF nitafurahi akini-pm tukawasiliana tena baada ya miaka mingi. Majina ya kusomea ni jambo la kawaida enzi zile. Siku hizi kuna "soko huria" na shule za kata, unaambiwa kama hutaki Kayumba sepa zako kwenye academies za akina St Chambo na St Gift.Kwi kwii Mwenyekiti wa UKWATA anaitwa HUSSEIN RAMADHANI ALLY!