Ndio maana wahalifu hukimbilia CCM, ni hifadhi ya waovu wa kila aina na ndio sababu taifa limejikuta hapa tulipo. Kama wewe ni mwizi tafuta hifadhi CCM, kama wewe ni tapeli tafuta hifadhi CCM na kama wewe ni kibaka tafuta hifadhi CCM. Watu kama Mwigulu Nchemba aka Lameck Mkumbo Madelu hawana usalama nje ya CCM...huko anaweza kutamba, kutukana na hata kuua bila hatua yoyote kuchukuliwa. Kama hizi za sasa ni rasha rasha tu basi tutegemee makubwa kwa sababu kichaa kapewa rungu lakini akae akijua kuwa ukombozi unagonga hodi...mwaka 2015 hauko mbali!Awe lameck awe mwigulu ni mwiba mkali sana ndani ya bunge cdm mpo kwa kazi ambayo ccm imempa ndani ya bunge bado ajaanza hzo ni rasharasha tu...cdm get ready
Mkuu sio Kama pindo la gunia kweli!!P.w.i. ukiliona linavotoa domo limejaa minyama ya domo shape ya kichwa kama taahira vile.
Mwenye jina atakuwa aliishauwawa kupoteza ushahidi. Kwa jinsi huyu jamaa alivyoua watu watatu kwa kipindi kifupi tu kwa kisingizio cha siasa hawezi kumbakiza mtu mwenye siri zake nzito kama huyo. Lazima kamuuaMi nilidhani ni msukuma pure maana mwigulu ni juu na Nchemba au Nchembi ni Mkataji kumbe mwizi wa majina ya watu. ni sawa na kumkuta mnyakyusa anaitwa SWAI, KIMARO, TARIMO, MAKUNDI MLAY NA MENGINEYO itakuwa ni ajabu sana tunamuomba Mwenye jina mwenyewe ajitokeze hadharani
Mwenye jina atakuwa aliishauwawa kupoteza ushahidi. Kwa jinsi huyu jamaa alivyoua watu watatu kwa kipindi kifupi tu kwa kisingizio cha siasa hawezi kumbakiza mtu mwenye siri zake nzito kama huyo. Lazima kamuua