A'level amesoma Mazengo high school EGM 1998_2000. Alikuwa kipanga ile mbaya Tena usiongelee hesabu alikuwa anajiweza sana huyu jamaa. Ni pure intellectual tukiweka pembeni unafiki. Sema ukiwa siasani madongo utarushiwa tu.
Alikuwa Katibu was serikali ya wanafunzi pale Mazengo.
Kwa suala LA majina na ukabila sijui sana. Jamaa kapiga shule mwenyewe kama no kununua jina labda alirudia primary.
Nashauri tu wanaotaka kumfanyia utafiti wajiulize Mara mbilimbili wanatafuta jina au elimu yake?
Kama alitumia jina LA mwingine akasoma elimu iko kwa nano?
Basi kama atapatikana na hatia viongozi wengi wataachia ngazi. Wengi wamerudia hasa primary.
Kuna mwaziri wamerudia Mara saba.