Historia ya jina la Mwigulu Nchemba

Status
Not open for further replies.
Sioni tatizo, kwanza anastahili pongezi kwa bidii ya kutafuta elimu. Pili, haikuwa initiation yake binafsi bali ya wazazi wake ambao walitamani mtoto wao asome ( hapo wa kulaumu ni wazazi, na si Mh Mwigulu mwenyewe) na Mwigulu akatatii matakwa ya wazazi.
Mwisho, enzi hizo kuchaguliwa she la serikali ilikuwa muhimu maana ndio zilikuwa bora na wengi miaka ya nyuma walifanya hivyo.
 
Nyie mapopo wa Chaga development manifesto imekosa hoja? Mbona Mnyika alipata one ya 7 then form six akalamba za uso na kusoma evening clas pale udsm..aha aha aha

We choko wa chama cha mabwepande hapa tunamzungumzia ripita lameck mkumbo madelu aliyejipatia jina la unga mwigulu nchemba.
John Mnyika hajakariri madarasa kama huyu mchumi daraja zero!
 
Lameck Mkumbo Madelu ni jina halisi la mh Mwigulu Nchemba.

Akiwa anasoma shule ya msingi Makunda kata ya Kyengege tarafa ya Kinampanda wilaya ya Iramba mkoa wa Singida, Mh Lameck Mkumbo Madelu alifeli mtihani wa taifa darasa la saba, baada ya kufeli huko akawa anatafuta njia ya kurudia.

Kwa bahati nzuri kulikuwa na darasa la kata la kata ya Kyengege lililokuwa linajumuisha shule za Makunda, Mgundu na Kyengege yenyewe. Kutokana na kuwepo darasa hilo la kata ikawa kuna nafasi kwani mwanafunzi Mwigulu Nchemba (msukuma) alikuwa ameacha shule akiwa darasa la sita kwani mwinuko wa kielimu kwa wasukuma ulikuwa chini sana wakati huo. Ndipo Mwl Malumbi alipoweza kumuuzia jina la Mwigulu Nchemba bwana Lameck Mkumbo Madelu.

Baada ya kurudia masomo bwana Lameck alifaulu kwa kutumia jina la Mwigulu Nchemba lakini baadae akiwa Secondari aliliongeza likawa Mwigulu Lameck Nchemba

Source: Admission books
1. Makunda Primary School
2. Darasa la kata Kyengege
3. Ilboru secondary
4. Wakazi wa Makunda

Ni kweli mkuu jina hilo ni la kisukuma pamoja na kwamba linaonekana kuchakachuliwa. Wasukuma hatuna mw, tuna nw`. Hivyo yeye ni Ng`wigulu Nchemba
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Duuh! nadomo lote lile kumbe ni liripiti (lilirudia ili lifaulu) ha ha eti musomi wa uchumi daraja A ha ha ha! sasa tunamtafuta huyo mwigulu mwenyewe mpaka tumpate halafu tunakupeleka mahakamani ! mwizi mkubwa we!
 
Kweli ccm ni chama cha machakachuzi na mijizi kwa kila kitu! yani wanaiba mpaka jina!! dah! dah! dah! Hii lazima tupate mrejesho wake manake jamaa nafikiri kasimama kumbe kaanguka! chezea cdm wewe! ni pipozz powa! kama alifikiri anapambana na Mnyika sasa ajue kuwa alaikuwa anapambana na pipozzz pawa
 
daaaaaah, CDM wabaya sana aisee, mkimuamulia mtu mnamuamulia kweli.....mi naona kila CDM ni auditor, maana hizo documented evidence hakuna reviewer anayeweza kuchomoa, labda Anne Makinda pekee............Mnyika chukua hizo data ni muhimu sana


hapo chacha
 
Lameck Mkumbo Madelu.....Mkumbo Kitila... Ndugu moja! Nami nashangaa Nchemba Mwigulu Mnyiramba?! Leteni data aibike zaidi!! Huyu DOGO alete majibu. Ndoo maana anapapatika Dkt Kitila kuingia Iramba?

Nimependa haka kautafiti!! kametulia
 
yawezekana kweli maana Mwigulu Nchemba majina yote napatikana kwa kabila la wasukuma.Mwigulu=mbinguni, Nchemba =kata
 
kumbe ndomana anakana tuhuma zake nyingi kwa sababu sio jina lake........kuanzia sasa tutumie jina lake halisi ili iwe vigumu kwake kukwepa kesi
 
Sioni tatizo, kwanza anastahili pongezi kwa bidii ya kutafuta elimu. Pili, haikuwa initiation yake binafsi bali ya wazazi wake ambao walitamani mtoto wao asome ( hapo wa kulaumu ni wazazi, na si Mh Mwigulu mwenyewe) na Mwigulu akatatii matakwa ya wazazi.
Mwisho, enzi hizo kuchaguliwa she la serikali ilikuwa muhimu maana ndio zilikuwa bora na wengi miaka ya nyuma walifanya hivyo.
Tatizo ni kuwa na kiongozi anayeishi uongo.Kama alitambua elimu ni muhimu angefaulu alipoketi kwenye mtihani kwa jina lake. kwa udanganyifu wa kiasi hiki si ajabu aliendelea kudesa na kufaulu kwa mbinu. Nilikua najiuliza Mtu anayeongea ujinga na kufanya unafiki wa kuvaa skafu ya bendera aliwezaje kuwa "first class" student? Sasa nimejua "he is a skimmer" with intelligence way below the academic credentials he is boosting with.
 
mbona huu sasa ni upumbavu wa hali juu..watu mnatakiwa mjadili hooja sio mtu au jina la mtu au sio..mbona majina mengi tuu ya kibantu yanaingiliana haijalishi wewe msukuma,mnyiramba,msambaa au mpare....na makabila bongo kuna wasukuma wengi tu wamehamia singida,tabora,morogoro na kagera....wamasai pia cku hizi wapo kila mkoa.....huu ni ujinga uliopitiliza kuongea eti jina la kabila hili imekuwaje liko kule....mbona kuna akina banda malawi na zambia na hata zimbabwe...kwa hio people jadilini hoja sio mtu au jina la mtu pheeeewwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwww.
 
Lameck Mkumbo Madelu ni jina halisi la mh Mwigulu Nchemba.

Akiwa anasoma shule ya msingi Makunda kata ya Kyengege tarafa ya Kinampanda wilaya ya Iramba mkoa wa Singida, Mh Lameck Mkumbo Madelu alifeli mtihani wa taifa darasa la saba, baada ya kufeli huko akawa anatafuta njia ya kurudia.

Kwa bahati nzuri kulikuwa na darasa la kata la kata ya Kyengege lililokuwa linajumuisha shule za Makunda, Mgundu na Kyengege yenyewe. Kutokana na kuwepo darasa hilo la kata ikawa kuna nafasi kwani mwanafunzi Mwigulu Nchemba (msukuma) alikuwa ameacha shule akiwa darasa la sita kwani mwinuko wa kielimu kwa wasukuma ulikuwa chini sana wakati huo. Ndipo Mwl Malumbi alipoweza kumuuzia jina la Mwigulu Nchemba bwana Lameck Mkumbo Madelu.

Baada ya kurudia masomo bwana Lameck alifaulu kwa kutumia jina la Mwigulu Nchemba lakini baadae akiwa Secondari aliliongeza likawa Mwigulu Lameck Nchemba

Source: Admission books
1. Makunda Primary School
2. Darasa la kata Kyengege
3. Ilboru secondary
4. Wakazi wa Makunda

mashekhe wanasema hata kufaulu kwake huko mbeleni anatumia nyota ya mtu, kwa nyota yake asingeweza kufaulu kamwe.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom