Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 3,772
- 4,913
Kama tunavusoma historia ya Nyerere na wenzake kutafuta Uhuru na kuingia madarakani bila umwagikaji wa damu ,
Ndivyo watoto wetu watasoma historia ya Mama Samia kuingia madarakani kukiwepo umwagikaji wa damu,
Wataenda mbali zaidi na kujiuliza baada ya hapo alichukua hutua gani baada ya mababu zetu kufa mamia ??
Majibu yatakua labda aliamua kujiuzulu au aliamua kuendelea kuongoza Hadi pale mababu zetu walipomashinikiza Kwa maandamano mazito Hadi akaachia nafasi
Wataendelea kujiuliza na watu gani waliokubali kuunda Baraza lake la Mawaziri wataambiwa ni kina Oscar wakiongozwa na Kawawa wa wakati huo
Na je wabunge gani walikubali kula posho na marupu rupu ya hiyo serikali ?
Na je Babu jeshi nalo lilifanya Nini ?
Mwisho mjukukuu atakugeukia na kukuambia na wewe babu ulichukua hatua gani Ili kudai taifa lenye haki Kwa wote ?
Ni mengi yatabaki kwenye historia ya nchi tuendelee kuandika
Ndivyo watoto wetu watasoma historia ya Mama Samia kuingia madarakani kukiwepo umwagikaji wa damu,
Wataenda mbali zaidi na kujiuliza baada ya hapo alichukua hutua gani baada ya mababu zetu kufa mamia ??
Majibu yatakua labda aliamua kujiuzulu au aliamua kuendelea kuongoza Hadi pale mababu zetu walipomashinikiza Kwa maandamano mazito Hadi akaachia nafasi
Wataendelea kujiuliza na watu gani waliokubali kuunda Baraza lake la Mawaziri wataambiwa ni kina Oscar wakiongozwa na Kawawa wa wakati huo
Na je wabunge gani walikubali kula posho na marupu rupu ya hiyo serikali ?
Na je Babu jeshi nalo lilifanya Nini ?
Mwisho mjukukuu atakugeukia na kukuambia na wewe babu ulichukua hatua gani Ili kudai taifa lenye haki Kwa wote ?
Ni mengi yatabaki kwenye historia ya nchi tuendelee kuandika