Hili ni jaribio jingine kwa System/state au Kitengo!

Hili ni jaribio jingine kwa System/state au Kitengo!

Mimi ni muunini wa kinachoitwa SYSTEM AU STATE AU KITENGO.

Ninaamini nchi hii kama zilivyo nyingine nyingi zina MFUMO AU SYSTEM na kazi yake ni moja tu kulinda maslahi ya nchi dhidi ya majaribio ovu kutoka ndani na nje ya mipaka yetu.

Ni 'system' pekee ndio inatufanya tuishi kwa amani hata kama ni kidogo!


System hailali wala kusinzia!

System inaachia uhuru wa kutosha sana mpaka pale ulevi wa uhuru unapoanza ndipo system inaingilia kati !

Sitaki kuongelea mengi pengine siyajui sana!

Naamini ni kazi ya kawaida kabisa ya System kuendelea kujilinda na kulinda values za kitanzania ili kuifanya Tanzania iendelee kuitwa Tanzania!

Hakuna aliye juu ya system awe masikini,kilema au tajiri au gaidi.ni system pekee ndio Alpha na Omega!

Mwaka 1992,1995,2010,2013 na labda miaka ya nyuma zaidi nikiwa mdogo SYSTEM ilipitia majaribio makubwa kadhaa na ikayashinda na sasa ni jaribio jingine tena ndani ya mwaka huu 2015.

Kwa hekima ya kipekee naamini system itashinda kiurahisi kuliko kila mmoja wetu anavyotarajia kwa kuwa ili-anticipate na hivyo imejipanga vilivyo.

KILA LA KHERI KWA SYSTEM KATIKA KUENDELEZA MAJUKUMU YAKE!

#Heshimakwakitengo
Haya ni mawazo ya kijinga sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna tofauti kati ya system na deep state? Kipi kina nguvu kati ya hivyo viwili?
 
Mkuu napenda sana ujadili hoja hii bila jazba wala kuwa skewed kwa upande wa kisiasa!

Labda niseme kifupi tu...System haina maslahi juu ya chama flani bali Taifa!ndio kazi yake na ndio hukumu yake!

System itaitete accm kwa sababu flani!

System itaikuza Nccr kwa sababu flani

System itaibomoa Nccr kwa sababu flani

System itaiporomosha ccm na kuikuza chadema kwa sababu flani.

System itaendelea na kazi yake kwa sababu flani.

malengo ya system ni yale yale tu kuilinda Tanzania.

Yaani system ni kama Mungu...ataleta mafuriko kwa masikini wa kilosa na kuleta tsunami asia na kuipa baraka vatican!

Mwisho wa siku SYSTEM hutuvusha na sifa huchukua watu flani flani hivi!

System lazima ipate lawama tu kwani ndio kazi yake lakini mwisho wa siku system lazima ibakie kuwa system !

Confusing but thats the way it should be!
Amina. Tanzania kwanza mengine baadaye
 
Mkuu napenda sana ujadili hoja hii bila jazba wala kuwa skewed kwa upande wa kisiasa!

Labda niseme kifupi tu...System haina maslahi juu ya chama flani bali Taifa!ndio kazi yake na ndio hukumu yake!

System itaitete accm kwa sababu flani!

System itaikuza Nccr kwa sababu flani

System itaibomoa Nccr kwa sababu flani

System itaiporomosha ccm na kuikuza chadema kwa sababu flani.

System itaendelea na kazi yake kwa sababu flani.

malengo ya system ni yale yale tu kuilinda Tanzania.

Yaani system ni kama Mungu...ataleta mafuriko kwa masikini wa kilosa na kuleta tsunami asia na kuipa baraka vatican!

Mwisho wa siku SYSTEM hutuvusha na sifa huchukua watu flani flani hivi!

System lazima ipate lawama tu kwani ndio kazi yake lakini mwisho wa siku system lazima ibakie kuwa system !

Confusing but thats the way it should be!
Muombe Mungu msamaha.system ya Tz ni trash
 
Mkuu napenda sana ujadili hoja hii bila jazba wala kuwa skewed kwa upande wa kisiasa!

Labda niseme kifupi tu...System haina maslahi juu ya chama flani bali Taifa!ndio kazi yake na ndio hukumu yake!

System itaitete accm kwa sababu flani!

System itaikuza Nccr kwa sababu flani

System itaibomoa Nccr kwa sababu flani

System itaiporomosha ccm na kuikuza chadema kwa sababu flani.

System itaendelea na kazi yake kwa sababu flani.

malengo ya system ni yale yale tu kuilinda Tanzania.

Yaani system ni kama Mungu...ataleta mafuriko kwa masikini wa kilosa na kuleta tsunami asia na kuipa baraka vatican!

Mwisho wa siku SYSTEM hutuvusha na sifa huchukua watu flani flani hivi!

System lazima ipate lawama tu kwani ndio kazi yake lakini mwisho wa siku system lazima ibakie kuwa system !

Confusing but thats the way it should be!
N.B
 
Back
Top Bottom