Hao ndio wale wakikaa bar, kidogo tu utasikia Mimi mtu wa system.
Mkuu napenda sana ujadili hoja hii bila jazba wala kuwa skewed kwa upande wa kisiasa!
Labda niseme kifupi tu...System haina maslahi juu ya chama flani bali Taifa!ndio kazi yake na ndio hukumu yake!
System itaitete accm kwa sababu flani!
System itaikuza Nccr kwa sababu flani
System itaibomoa Nccr kwa sababu flani
System itaiporomosha ccm na kuikuza chadema kwa sababu flani.
System itaendelea na kazi yake kwa sababu flani.
malengo ya system ni yale yale tu kuilinda Tanzania.
Yaani system ni kama Mungu...ataleta mafuriko kwa masikini wa kilosa na kuleta tsunami asia na kuipa baraka vatican!
Mwisho wa siku SYSTEM hutuvusha na sifa huchukua watu flani flani hivi!
System lazima ipate lawama tu kwani ndio kazi yake lakini mwisho wa siku system lazima ibakie kuwa system !
Confusing but thats the way it should be!
hii nchi kweli ya ajabu na ina watu wenye fikra za ajabu.
kwa hiyo kwenu nyie sisitimu kufanya kazi ni kulinda maslahi ya chama kimoja na mafisadi?
vyama vingine havichangii kodi ya kuendesha hivyo vitengo?
kwani akishinda mtu wa chama kingine imani itapotea au hawataweza kulinda hiyo amani?
ndio maana wananchi tunawachukia na ole wenu ccm tukishaitoa madarakani, mtarudi vijijini kulima viazi.
yaani badala ya kulinda amani ya nchi na mipaka yake wako busy kulinda wezi!!!
ndio maana nchi ina wahamiaji haramu wengi na wengine wamepewa vitambulisho vya kura na passport za tz.
Tatizo la kurecruit watu wenye IQ ndogo na kuwapa kazi nzito.
wanawaza matumbo yao tu
Mkuu napenda sana ujadili hoja hii bila jazba wala kuwa skewed kwa upande wa kisiasa!
Labda niseme kifupi tu...System haina maslahi juu ya chama flani bali Taifa!ndio kazi yake na ndio hukumu yake!
System itaitete accm kwa sababu flani!
System itaikuza Nccr kwa sababu flani
System itaibomoa Nccr kwa sababu flani
System itaiporomosha ccm na kuikuza chadema kwa sababu flani.
System itaendelea na kazi yake kwa sababu flani.
malengo ya system ni yale yale tu kuilinda Tanzania.
Yaani system ni kama Mungu...ataleta mafuriko kwa masikini wa kilosa na kuleta tsunami asia na kuipa baraka vatican!
Mwisho wa siku SYSTEM hutuvusha na sifa huchukua watu flani flani hivi!
System lazima ipate lawama tu kwani ndio kazi yake lakini mwisho wa siku system lazima ibakie kuwa system !
Confusing but thats the way it should be!
Kula tano kiongozi, hoja imeungwa mkono!Mkuu ni kweli unavyosema kwamba system ipo kwa ajili ya kulinda maslai ya taifa na si chama tawala.
Lakini wewe upi hapo London na umeona jinsi system ilivyowaachia chama cha Labour kwa miaka kumi na unafahamu labour walichofanya?, jibu lake pekua pekua utafahamu.
Ila kwa kifupi chama cha Labour kimetumia miaka 10 ya utawala wake kuvuruga uchumi na ustawi wa jamii ya waingereza kwa ujumla, jambo ambalo halijawahi kutokea katika historia ya nchi hiyo.
Sasa system ikakaa chini na kutafuta suluhisho na ndio ukaona chama cha wahafidhina au conservative wanaandaliwa kwa wingi wa nyenzo na vigezo kutoa hoja bungeni mpaka kwa wapiga kura, mwishowe umeona wananchi wakawachagua conservative.
Wanachofanya sasa conservative nchini humo kinaonekana na kinaeleweka.
System katika taifa inajengwa na watu wote wateule na inakuwa imara zaidi hasa pale hata waandishi wa habari wanahusishwa kupanua mawazo ya wapiga kura kupitia magazetiu, redio, televisheni na internet.
System ya Tanzania ina nyufa nyingi na zinahitaji kuzibwa, na yakifanyika hayo utaona hakuna wizi kwenye mabenki tena kwa kutumia silaha, askari polisi kuuliwa hovyohovyo kwenye vituo vyao vya polisi na hata kutoshughulika na kung'oa watu meno kwa makoleo.
Lakini cha msingi zaidi kwa sasa ni kwamba hiohio system unayoiaminia nayo inataka mabadiliko.
Hiyo system sio kitu kwa jeshi. Wazee wakiamua wanawakalisha hicho kitengo sijui nini wanapoteana. Sasa master spy apson yuko upande wa pili tuone sasa hiyo chess
Kuna system iliyokuwa imara kama ya KANU? Acha kutisha watanzania we 'Jackbauer' kwanza kwa kuongea hivyo hujalitendea haki hilo jina, kabisa kabisa!