Hili ni jaribio jingine kwa System/state au Kitengo!

Hili ni jaribio jingine kwa System/state au Kitengo!

Pumbavu kabisa mwaka huu yanewafika shingoni sasa mmeanza kujipa moyo, walah mwaka huu mtanyooka tu, usicheke na nguvu ya Ummma
 
apso mzee wa mtandao wape sumu mwakyembe na mwandosya, aliyafanya akiwa bado anakivuri cha dora sasa ni mweupe ajaribu tena aone,

Sio kweli, apson ametoka kwenye system na mkapa, na haya yametokea juzi akiwa mstaafu anahusikaje? Acha kudandia mambo usiyoyajua utakuja dandia..
 
Jackbauer

systerm alivyowavurunga kwa kuweka vipandikizi ndani yao na kuwafanya waonekane kama hawana akili na ni idara ya hovyo kuriko apo awali,mwaka huu watoa majibu yao kwa adui wao,
 
Last edited by a moderator:
Miaka zaidi ya hamsini ya Uhuru, waweza kutujuza faida ya hiyo system kwa mtanzania??

Usitegemee system itakuletea ugali mezani ..hiyo sio kazi yake lakini system itakuhakikishia ugali safi upo iwapo utautafuta na kuuhitaji!!
 
Anamaanisha kitengo cha maadili au cha uenezi

Kama anamaanisha kitengo cha maadili ndani ya CCM hio pia si sawa kwani system ipo kwa ajili ya maslahi ya taifa.

Kama ni kitengo cha uenezi basi pia hipo si sawa kwani hapo anamzungumzia Nape Nnauye.

System inajengwa na wadau kutoka pande zote na si usalama wa tafa pake yao.

Ila hii topic ni pana sana ukitaka kufahamu system zinajengwa vipi,system ina majukumu si tu ya usalama wa viongozi lakini inaangalia usalama na maslahi ya taifa kwenye miundo mbinu, mifumo ya fedha, mifumo ya kodi na kila kitu.

Lakini niliposema system ina nyufa nimemaanisha kwamba imeshindwa kwenye masuala ya Richmond, Meremeta, EPA, Escrow na mambo mengine mengi tu.

Yaani nikikupa mfano barani Ulaya system yao pia inaangalia system ingine ya fedha barani humo na ikionekana kuna nchi kama Greece zinataka kuivuruga wanawasiliana na system ingine ya IMF ambayo ni baba lao kwenye masuala ya fedha.

System inahitaji repair.
 
Kama anamaanisha kitengo cha maadili ndani ya CCM hio pia si sawa kwani system ipo kwa ajili ya laslahi ya taifa.

Kama ni kitengo cha uenezi basi pia hipo si sawa kwani hapo anamzungumzia Nape Nnauye.

System inajengwa na wadau kutoka pande zote nna si usalama wa tafa pake yao.

Ila hii topic ni pana sana ukitaka kufahamu system zinajenngwa vipi,system ina majukumu si tu ya usalama wa viongozi lakini inaangalia usalama na maslahi ya taifa kwenye miundo mbinu, mifumo ya fedha, mifumo ya kodi na kila kitu.

Lakini niliposema system ina nyufa nimemaanisha kwamba imeshindwa kwenye masuala ya Richmond, Meremeta, EPA, Escrow na mambo mengine mengi tu.

Yaani nikikupa mfano barani Ulaya system yao pia inaangalia system ingine ya fedha barani humo na ikionekana kuna nchi kama Greece zinataka kuivuruga wanawasiliana na system ingine ya IMF ambayo ni baba lao kwenye masuala ya fedha.

System inahitaji repair.

System haihitaji repair mkuu...kwani haya ya EPA,Richmond na Escrow yalikuja vipi na kuondoka vipi na kurudi vipi na yataondoka vipi??

Ndio maana ninaamini itatuvusha!
 
System haihitaji repair mkuu...kwani haya ya EPA,Richmond na Escrow yalikuja vipi na kuondoka vipi na kurudi vipi na yataondoka vipi??

Ndio maana ninaamini itatuvusha!

Mkuu mimi naifahamu system yetu vizuri tu.

Mwaka 1995 kwenye kampeni ya uchaguzi wa uraisi, chama cha NCCR mageuzi ambacho ndicho kilikuwa chenye nguvu kubwa, kilikuwa na mzee Lyatonga, pembeni kulikuwa na Mabere Marando na pia kulikuwa na Masumbuko Lamwai, hawa wote waliunda NCCR wakitokea kwenye system.

Nafahamu system ilicheza michezo hii tokea mfumo wa vyama vingi uanzishwe, lakini sasa system imeamua kubadilika kuendana na wakati.
 
Mkuu mimi naifahamu system yetu vizuri tu.

Mwaka 1995 kwenye kampeni ya uchaguzi wa uraisi, chama cha NCCR mageuzi ambacho ndicho kilikuwa chenye nguvu kubwa, kilikuwa na mzee Lyatonga, pembeni kulikuwa na Mabere Marando na pia kulikuwa na Masumbuko Lamwai, hawa wote waliunda NCCR wakitokea kwenye system.

Nafahamu system ilicheza michezo hii tokea mfumo wa vyama vingi uanzishwe, lakini sasa system imeamua kubadilika kuendana na wakati.

System itaenda na wakati lakini kamwe haitaachana na misingi yake.
System inaandaa na kamwe haiandaliwi mtu au kitu au tukio!
 
Nini maana ya System? Nafikiri hauelewi maana ya System. Kwa akili yangu ndogo system ni watu na watu ni system. Kama iliwezekana kipindi hicho ni kwa kuwa system ilikuwa pamoja na maamuzi yalikuwa ya pamoja tofauti na leo ambapo watu wachache wanataka kuhodhi hiyo unayohiita system. Na kwa bahati mbaya wakiwa wanapingana na wanaoijua sana hiyo system. Mfano, Kingunge alipoongea kule Dodoma kuna watu ambao ni kama vitukuu kwake walijaribu kusema mzee kachoka na akapumzike lakini Wanasahau kuwa huyu mzee ni miongoni mwa mihimili ya system yenyewe.
 
System itaenda na wakati lakini kamwe haitaachana na misingi yake.
System inaandaa na kamwe haiandaliwi mtu au kitu au tukio!

Mkuu, Labda nikuulize masuali mawili ya msingi.

Ni ipi misingi khasa ya system ye Tanzania nitajie japo michache tu ukiondoa jukumu la kulinda maslahi ya taifa na wananchi wake?

Nani ana jukumu la kuiunda system, kuiandaa na kuifanyia matengenezo.

Ukinijibu haya masuali basi ntafahamu wewe waijua system khasa.
 
post ya aibu sana. nyie ndiyo huingia maofisi ya watu na kuanza"unajua mimi ni nani"
 
Mkuu, Labda nikuulize masuali mawili ya msingi.

Ni ipi misingi khasa ya system ye Tanzania nitajie japo michache tu ukiondoa jukumu la kulinda maslahi ya taifa na wananchi wake?

Nani ana jukumu la kuiunda system, kuiandaa na kuifanyia matengenezo.

Ukinijibu haya masuali basi ntafahamu wewe waijua system khasa.

Mimi siijui system mkubwa !lakini naamini system ipo tu!wewe unamjua Mungu? Nani alimuumba Mungu?
 
Back
Top Bottom