Hili ni jaribio jingine kwa System/state au Kitengo!

Hili ni jaribio jingine kwa System/state au Kitengo!

Kama nimekusoma vizuri, basi SYSTEM haita fanya makosa ya kupora haki na matakwa ya wananchi maana amani itapotea na nchi itakuwa haitawaliki tena. Huu ni ujumbe muhimu sana kwa watawala wetu ili wajiandae vema kisaikolojia, ama wachukue maamuzi sahihi ya kukaa upande wa wananchi mapema.

Wananchi gani unaowasema mkuu,,, au hiyo oyaoya ndio inayokufanya uone wale ni wananchi wote wa tanzania??
 
mkuu jackbauer funguka zaidi nimependa hiyo mada lakini bado sijaifahamu
 
Endelea kuamini system YAKO, sisi wengine NI waumi wa nguvu ya umma. Peoples Power
 
Wananchi gani unaowasema mkuu,,, au hiyo oyaoya ndio inayokufanya uone wale ni wananchi wote wa tanzania??

Wananchi wote wenye akili timamu, kwani wale unaowachukia siyo watanzania? Jitahidi kujibu hoja, usilete personal feelings. Otherwise anzisha thread yako mpya.
 
System imeshashinda kitambo mkuu au bado ujaipata hiyo nyeti? humu ndani watoto wengi hakuna wanachoelewa
 
"Mwnyekiti wa chama cha
CHADEMA Freeman Mbowe
amesema kuna vijana watatu
wametoka jeshini wataalamu
wa mambo ya Kompyuta
wamenda Tume ya Taifa
Uchaguzi kushughulika na
BVR na wakiwa pale
hawajitambulishi kama
wanajeshi".
Mbowe amesema ushahidi
upo na kama Mwamunyange
akibisha atamuekekeza kambi
wanaotoka, wameanza kazi
tarehe ngapi na majina yao
na wapo NEC kwa kazi ipi.
Amesema jaji Lubuva naye
ajitokeze asema vijana hao
wako ofisini kwake kwa
malengo yapi..
Mbowe aliyasema hayo
alipokuwa kwenye mkutano
wa kutambulisha mgombea
urais kwa tiketi ya CHADEMA
Edward Lowasa jana kwenye
uwanja wa furahisha
ulioudhuriwa na umati
mkubwa sana wa watu.
Chanzo: Tanzania Daima
 
Mwisho wa system October. ..kila mtu ataweka bank statement mezani aonyeshe mali alizonazo kapata vp
 
Naona System imefanikiwa kutuvusha salama.

Asiyeamini na ajaribu kuichezea.
 
Back
Top Bottom