Hili ni jaribio jingine kwa System/state au Kitengo!

Hili ni jaribio jingine kwa System/state au Kitengo!

mtoa mada, unaleta story za kijiweni, za wahuni kujadiliwa na wenye akili, huwezi pata mawazo
 
Mkuu ni muda sijaona post yako hilo ndilo nilikuwa namaanisha hayo mengine ya system si mjuzi sana

Ila ambacho nataka kujua hiyo system ni nini katika lugha ya kawaida ma kazi zakeni ni zipi? ili sisi watu wa pale msoga barabara ya jakaya waelewe.
system huwa haieleweki milele na milele Amina...ni jumapili ya matawi leo.
 
Mimi ni muunini wa kinachoitwa SYSTEM AU STATE AU KITENGO.

Ninaamini nchi hii kama zilivyo nyingine nyingi zina MFUMO AU SYSTEM na kazi yake ni moja tu kulinda maslahi ya nchi dhidi ya majaribio ovu kutoka ndani na nje ya mipaka yetu.

Ni 'system' pekee ndio inatufanya tuishi kwa amani hata kama ni kidogo!


System hailali wala kusinzia!

System inaachia uhuru wa kutosha sana mpaka pale ulevi wa uhuru unapoanza ndipo system inaingilia kati !

Sitaki kuongelea mengi pengine siyajui sana!

Naamini ni kazi ya kawaida kabisa ya System kuendelea kujilinda na kulinda values za kitanzania ili kuifanya Tanzania iendelee kuitwa Tanzania!

Hakuna aliye juu ya system awe masikini,kilema au tajiri au gaidi.ni system pekee ndio Alpha na Omega!

Mwaka 1992,1995,2010,2013 na labda miaka ya nyuma zaidi nikiwa mdogo SYSTEM ilipitia majaribio makubwa kadhaa na ikayashinda na sasa ni jaribio jingine tena ndani ya mwaka huu 2015.

Kwa hekima ya kipekee naamini system itashinda kiurahisi kuliko kila mmoja wetu anavyotarajia kwa kuwa ili-anticipate na hivyo imejipanga vilivyo.

KILA LA KHERI KWA SYSTEM KATIKA KUENDELEZA MAJUKUMU YAKE!

[HASHTAG]#Heshimakwakitengo[/HASHTAG]
Mkuu si kwamba napinga ulichoandika,mimi binafsi natambua uwepo wa system,lakini naamini umeandika opinions zako na si zote ni facts,mimi pamoja na kutambua uwepo wa sysytem kama wewe tofauti ya mimi na wewe ni kwamba mimi naamini amani inaletwa na Mungu kwanza.Mungu akiondoa amani sehemu, hata system ikifanya chochote haiwezi,kama ambavyo system inafanya kazi zake pasipo kuonekana.Mungu alianza zamani yeye haonekani ila kazi zake zinaonekana.Nataka nikusahihishe kidogo usinogewe sana mpaka ukamsahau Mung.Jiulize,kama system ndiyo zinazotupatia amani ,vipi Misri machafuko yalitokea,kama ni system zinaleta amani vipi September 11 ilitokea.Kwa hiyo pamoja na kuwepo kwa system ,Mungu ndiye anayezipatia nchi amani kwanza,unadhani Syria hawana system au yao ni ovyo yetu ni nzuri lakini vipi mbona wameingia kwenye matatizo.There is something bigger than system,simanishi naiponda system lakini nataka ujue kuna system iliyoko juu ya hizo system unazozisema wewe nayo ni system ya Mungu.
Naikubali system na na appreciate kila inachofanya ,najua watu wanafanya kazi kazi usiku na mchana kwa ajiri yetu na muda mwingine kuhatarisha maisha yao lakini sometime kwa ujinga tunawasema vibaya.
Issue nyingine mimi najua mwanzo na mwisho(Alpha and Omega) ni Mungu tu ,kwa hiyo system si mwanzo na si mwisho,unaelewa maana ya kitu kuwa mwanzo na mwisho?Mpe nafasi na sifa Mungu kwanza ,yeye ambaye hata hao walio kwenye system wanamshukuru wanapotoka hai,maeneo ambayo walitakiwa kufa,yeye ambaye taifa linamwomba atujalie amani pamoja na uovu tunaotenda ni kwa rehema zake tu hata sasa Tanzania ipo.
System iliyo juu ya system zote za dunia hiyo ndiyo mwanzo na mwisho,hizi zingine zina limitation.
Msinielewe vibaya,nimeona system imepewa nafasi ya kwanza kabla ya Mungu that is all.
Hata uingereza wana system lakini watu wanauliwa,why not in Tanzania?There are people while you are asleep they pray for those in the system and for the peace of this country,those people we ignore most of the time,they have contributed much to the peace of this country.
Tusiwadhalau watu walio katika vyombo vya usalama,wanafanya kazi kubwa sana.
 
System yetu ipo kwa ajili ya kulinda watu Fulani na chama Cha Mauaji si kulinda Taifa.

System inatakiwa ijitathmini kama ifanyavyo ndiyo sahihi.
Chadema iniamini Acacia badala ya Kitengo
 
Mimi ni muunini wa kinachoitwa SYSTEM AU STATE AU KITENGO.

Ninaamini nchi hii kama zilivyo nyingine nyingi zina MFUMO AU SYSTEM na kazi yake ni moja tu kulinda maslahi ya nchi dhidi ya majaribio ovu kutoka ndani na nje ya mipaka yetu.

Ni 'system' pekee ndio inatufanya tuishi kwa amani hata kama ni kidogo!


System hailali wala kusinzia!

System inaachia uhuru wa kutosha sana mpaka pale ulevi wa uhuru unapoanza ndipo system inaingilia kati !

Sitaki kuongelea mengi pengine siyajui sana!

Naamini ni kazi ya kawaida kabisa ya System kuendelea kujilinda na kulinda values za kitanzania ili kuifanya Tanzania iendelee kuitwa Tanzania!

Hakuna aliye juu ya system awe masikini,kilema au tajiri au gaidi.ni system pekee ndio Alpha na Omega!

Mwaka 1992,1995,2010,2013 na labda miaka ya nyuma zaidi nikiwa mdogo SYSTEM ilipitia majaribio makubwa kadhaa na ikayashinda na sasa ni jaribio jingine tena ndani ya mwaka huu 2015.

Kwa hekima ya kipekee naamini system itashinda kiurahisi kuliko kila mmoja wetu anavyotarajia kwa kuwa ili-anticipate na hivyo imejipanga vilivyo.

KILA LA KHERI KWA SYSTEM KATIKA KUENDELEZA MAJUKUMU YAKE!

[HASHTAG]#Heshimakwakitengo[/HASHTAG]

Unaongelea operating system?
 
Pongezi kwa TISS kwa kazi ya muda mrefu na iliyotukuka!
 
hii nchi kweli ya ajabu na ina watu wenye fikra za ajabu.
kwa hiyo kwenu nyie sisitimu kufanya kazi ni kulinda maslahi ya chama kimoja na mafisadi?
vyama vingine havichangii kodi ya kuendesha hivyo vitengo?

kwani akishinda mtu wa chama kingine imani itapotea au hawataweza kulinda hiyo amani?
ndio maana wananchi tunawachukia na ole wenu ccm tukishaitoa madarakani, mtarudi vijijini kulima viazi.

yaani badala ya kulinda amani ya nchi na mipaka yake wako busy kulinda wezi!!!
ndio maana nchi ina wahamiaji haramu wengi na wengine wamepewa vitambulisho vya kura na passport za tz.

Tatizo la kurecruit watu wenye IQ ndogo na kuwapa kazi nzito.
wanawaza matumbo yao tu
We ndio kilaza kila kitu siasa sahau hizi hoja zenu za kisiasa kwenye system nazani hadi bungen mlijaribu kuwabeep ila system sio wa ivyo akili zenu wanasiasa mnachowaza
 
Pongezi kwa System...pongezi kwa [HASHTAG]#Mruma[/HASHTAG]
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Pongezi kwa System...pongezi kwa [HASHTAG]#Mruma[/HASHTAG]
 
Kama wewe ni mfuatiliaji wa mambo utaweza kunielew vilivyo
 
Mkuu mimi naifahamu system yetu vizuri tu.

Mwaka 1995 kwenye kampeni ya uchaguzi wa uraisi, chama cha NCCR mageuzi ambacho ndicho kilikuwa chenye nguvu kubwa, kilikuwa na mzee Lyatonga, pembeni kulikuwa na Mabere Marando na pia kulikuwa na Masumbuko Lamwai, hawa wote waliunda NCCR wakitokea kwenye system.

Nafahamu system ilicheza michezo hii tokea mfumo wa vyama vingi uanzishwe, lakini sasa system imeamua kubadilika kuendana na wakati.
Habari za muda mrefu mkuu!
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Back
Top Bottom