Hili ni jaribio jingine kwa System/state au Kitengo!

Hili ni jaribio jingine kwa System/state au Kitengo!

Wote tunaamini katika system, lakini ni system iliyopo kwa ajili ya kulinda maslahi ya taifa. Hapa kwetu system imekuwa ya kulinda maslahi ya chama kimoja, imekuwa kama kitengo cha chama. Ccm na kundi lake dogo la mafisadi wanaitumia system kulinda maslahi yao binafsi na wakati mwingine dhidi ya maslahi ya taifa. Hapo ndipo legitimacy ya system yetu inapokosa maana yake.
System yetu inachangamoto kubwa ya kujinasua kutoka kwenye makucha ya ccm, otherwise inakosa maana halisi ya uwepo wake.
 
System is a group of things working together eg in computer we have monitor ,keyboard,cpu,and mouse.when lowasa goes to ukawa it like to remove cpu in computer can computer continue to work!!!

If is only CPU removed its can be easily replaced with new CPU and will function similar to the removed one.

As the other devices you have mentioned they can all be replaced without a problem.

Computer system also comprises main elements including operating system
and software. These are real elements and they are valuable and they are expensive in shops than devices.

If you want to change the computer system, update it or you take out operating system or software or upgrade them, and if you fail to do so you have to discard them.

If someone comes in and grab or remove the operating system and software from your computer system and takes them away, then you are finished.
 
Kwa hiyo unataka wale wazee wa kulinda ufisadi wachakachue kura kama walivyofanya 2010 this time patachimbika
 
Niliwahi kuwaza kitu kama hiki, kwa nchi kubwa kama hi I nadhani kuna watu wanafikiri kwa niaba ya wenzao. Lakini pia naona ndio sababu ukawa kutafuta mgombea kutoka huko huko kwenye kitengo. Wacha tuone hi I movie itaishaje sijui stering atakufa?
 
Hata mfumo wa kutoa kinyesi kwenye choo kupeleka kwenye chamber ni system... Kwa msitutishie Simba wa kuchora MTANYOOKA TU
 
Hautaamini macho yako mwaka huu, kama vp kacheki muvi ya IRIS..........hata watu wa SYSTEM TUMECHOKA KUTUMIKIA WACHACHE NA NDO MAANA VITUO VYA POLISI VINAVAMIWA WAKATI TAARIFA WATU WA SYSTEM WALIZIPATA MAPEMA.........ITS ENOUGH
 
System ni namba flani hivi isiyogawanyika kwa mbili na kwa ..kwa wale wanamahesabu wanajua..mfano ni 1,3,5,7,11,13 n.k

YOU ARE EITHER WITH THE SYSTEM OR NONE

SYSTEM ni kama ndoa ya au ubatizo wa kikatoliki

Theories at work, hata ndoa ni za watu wawili lakini kuna cheating za kutosha tu.

Kwenye system yeyote kuna watu wengi na kwenye watu wengi kuna mawazo na mapenzi tofauti, hapo ndipo kwenye shida
 
hapa kwakweli umewaza kama "federal agent jack bauer"!!! kumng'oa kucha ulimboka ilikua kama ile jack bauer alivolazimika kumtia risasi ryan chappelle,, kumkata mamvi ilikua pia kama jack bauer alivolazimika kumtia mbaroni charles logan day 5 huku ni rais wa nchi!! hii yote ni katika kuhakikisha system inatimiza yale ambayo ipo kwajili ya kuyafanya kuhakikisha tunaendelea kuitwa watanzaniano,,,

naona mnajifariji tu. zile ni muvi tu za kimarekani.
bongo ni bongo na hao sisitimu wana njaa kama nini??
ndio maana wanakimbizana na vitu vya kijinga na kuacha vyenye maslahi kwa taifa.
 
Wafuatao ndio watu wa system :

Watu wa system wana akili nyingi
Watu wa system hawanunuliki
Wanajali maslah ya nchi sio ya din zao
Wanajali maslah ya nchi sio maslah ya na makabila yao
Wanajali maslah ya nchi si ya kanda watokako au watokako wake zao
Wanaangalia maslah mapana zaid ya nchi
Hawana mihemko wanapofanya kazi zao
Wanakuwa na taarifa nyingi hata za siri sana za watu wanaotaka kuchukua madaraka ya kuongoza nchi zao - kwahiyo wakati sisi raia wa kawaida tukihemka kumshangilia mtu wao wanakuwa wanajua kuwa hafai
Ni watu wasio endekeza ubinafsi bali maslah na mustakabali wa nchi ndio inakuwa suala kubwa
 
Msitutishe.. Tumeamua huu ni mwaka wa mabadiliko

Wasitutishe safari hii tumechafukwa 2015 sio miaka Ya nyuma eti system!! Hata iwe Madiluu system, sewage system, music system vyoote tunavunja tumechafukwa erooo
 
Akili ndogo hiyo,system ni kiungo kidogo ktk jumuiya,sasa jumuiya ikisema na kuamua system ni kidudu.


Mmmmh, unajua kweli ukisemacho?

The world is run by one million evil men, ten million stupid men, and a hundred million cowards. The evil men are the power–the rich men, and the politicians, and the fanatics of religion–whose decisions rule the world, and set it on its course of greed and destruction.
 
Jackbauer

Haujaandika la maana zaid ya kutuonyesha kuwa unajua
Oktober sio mbali
 
Last edited by a moderator:
Sijakuelewa hata kidogo. Unazungumzia system gani? maana kila chama kina system na nchi pia ina system. Be specific what type of political system are you talking about? na siyo kweli kwamba system hailali. hata mfumo wa umeme Tanzania ni system lakini kila wakati unakatika katika, hata binadamu ana system mbalimbali mwilini mwake lakini kunawakati system za mwili zote hufa na binadamu hufariki. Komputa pia zina system ila kunawakati zinaliwa na virusi hadi zinakufa. Elewa pia kwenye system kuna hawkers hivyo huwezi kujua ni kwakiwango gani system yako imekuwa hawked ndiyo maana unaona watu wanaiba hela bank kwa ku hawk system. Hivyo usijidanganye sana kabla hujafa hujaumbika.
 
Wafuatao ndio watu wa system :

Watu wa system wana akili nyingi
Watu wa system hawanunuliki
Wanajali maslah ya nchi sio ya din zao
Wanajali maslah ya nchi sio maslah ya na makabila yao
Wanajali maslah ya nchi si ya kanda watokako au watokako wake zao
Wanaangalia maslah mapana zaid ya nchi
Hawana mihemko wanapofanya kazi zao
Wanakuwa na taarifa nyingi hata za siri sana za watu wanaotaka kuchukua madaraka ya kuongoza nchi zao - kwahiyo wakati sisi raia wa kawaida tukihemka kumshangilia mtu wao wanakuwa wanajua kuwa hafai
Ni watu wasio endekeza ubinafsi bali maslah na mustakabali wa nchi ndio inakuwa suala kubwa

I doubt,system hii unayoongelea ilikuwa enzi za Mwalimu,sasa hivi wanajali maslahi,hakuna cha UTAIFA wala UZALENDO!!!!!!!!!!!!

Wangekuwa wazalendo hata kwa kidogo tu wizi wa raslimali za umma akina Escrow account zingekuwa ndoto za mchana tu.
 
Back
Top Bottom