Hili ni jaribio jingine kwa System/state au Kitengo!

Hili ni jaribio jingine kwa System/state au Kitengo!

Ndio maana tunafail sehemu nyingine but ninaamini kunawatu wanapambana kubafilisha hiyo mzimu coz hivi vizazi hakuna anayejua hayo matambiko na yanazidi kuitesa nchi kuna haja ya kuyakataa kila mtu kwa dini yake.

Dini yetu ni matambiko, mizimu yetu ndiyo inatulinda, huko kwenye dini mnafanya sarakasi tu. Kwa taarifa yako Tanganyika ndio nchi salama kwenye UKANDA WA MAZIWA MAKUU, shukrani kwa matambiko unayoyananga.
Ndio maana swali la mwisho huwa, '...umeaga kwenu?'
 
mshana jr!!!!! mbona kama sijaelewa!!!! Lowassa pamoja na kuwa na kinu cha kuzalisha hela alishindwa kuwa honga hawa system
 
Last edited by a moderator:
Napita tu
 

Attachments

  • 1449168131627.jpg
    1449168131627.jpg
    26.2 KB · Views: 247
The end justifies the means.

Mwisho ulifika... mleta mada akawa yupo sahihi dhidi ya wapinga mada.....

Hoja nyingine zije kwa ajili ya ichangiaji na upembuzi
 
Hata mfumo wa kutoa kinyesi kwenye choo kupeleka kwenye chamber ni system... Kwa msitutishie Simba wa kuchora MTANYOOKA TU
Dhihaka kwenye mambo muhimu haitakiwi!
 
Haya kumekucha magambani...wanomba msaada wa sistimu sijui kitengo! hao nao ni watanzania... wana ndugu zao wanaopata shida kutokana mfumo kandamizi wa CCM nao sistimu wanataka ukombozi...wamechoka kutumiwa kama toilet paper.
Asisahau hiyo sisitimu ndo ilikuwepo pia kwenye uchaguzi wa MEYA WA JIJI sisitimu ilifanya yake mwisho wa siku sisitimu ikakwama kwa sisisitimu ya UKAWA[emoji35] [emoji35]
 
Tunamsahau sana Mungu. Hakuna system wala kitengo inayoweza kukuvusha salama.
 
Waliponaswa wale watu waliounda tume pori ya uchaguzi ndipo nilipojua kumbe system ipo kazini. Enzi zile tukiwa watoto wadogo tulikuwa tukimuona kichaa anaokota makopo, tunadanganyana eti ni mpelelezi!. Alikuwepo kichaa mmoja alikuwa anaitwa "mapisto" alikuwa analala maeneo ya fukwe ya posta ya zamani lakini mchana kutwa alikuwa anashinda pale karibu na Aga Khan Hospital, alikuwa anaongea kingereza kile cha Malkia, basi akili zetu za kitoto zikawa zinatudanganyana kwamba na yeye ni mtu wa system.

Mfumo upo kazini kwa faida yetu sisi sote, na kwa sasa upo kisayansi zaidi. Amani na utulivu ni vitu vyenye kutunzwa kwa gharama kubwa, kwani vinapopotea kuvirudisha huwa ni kasheshe. Long live system.
 
kilikuwa kipindi kigumu sana kuwahi kutokea katika kazi nyingi zilizofanywa na kitengo lakini mwisho wa Siku bado kitengo kilifanikiwa kulizima hili
 
System wamefanya kazi kubwa sana wanastahili pongezi.Nafikiri ni Muda wa kumsaidia JPM kusafisha uozo ili kujenga uchumi.Najua kama JPM hata badilika basi 2020 kitengo hakitakuwa na kazi kubwa ya kutuvusha salama.Viva idara tuko pamoja.
 
Back
Top Bottom