Hili la January Makamba ni hatari zaidi

The Boss

Kipaumbele cha tano ni amani, umoja na usalama wa mali na maisha ya Watanzania. Amani na umoja wa nchi yetu ni tunu na urithi tulioachiwa na waasisi wa nchi yetu. Marais wote waliopita wamefanya kazi kubwa ya kuzilinda tunu hizi. Serikali yangu haitakubali urithi huu upotee.

Tutafanya jitihada zote ili kujenga maridhiano mapya na upendo miongoni mwa makundi mbalimbali katika jamii yetu. Nitawahusisha viongozi wa dini zote katika hili. Nitaanzisha Jukwaa la Rais na Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Jumuiya ya Wakristo Tanzania (CCT) na Baraza la Waislam Tanzania (BAKWATA) litakalokutana kila miezi miwili kujadili na kupanga mikakati ya kuendeleza amani, umoja, upendo na maadili ya jamii.
 
Last edited by a moderator:
The Boss

Dini ibaki kuwa ni jambo la mtu binafsi na viongozi wa dini waachwe huko huko kwenye mimbari za dini zao
Unajua mnachekesha sana kuwasoma wakati mwingine. Nirahisi sana kumuona January Makamba amekosea kusema hivyo wakati kila mkutano niliwahi kuhudhuria wa vyama au sherehe za Kitanzania lazima muanze na Asalaam Aleikum - Asifiwe bwana Yesu Kristo, sasa kama mliona kuna makosa ya matumizi ya dini kwa nini hamkuanza na salaam zenu wenyewe mkaweka maneno jingine badala yake?.

Kumbukeni jamani sisi sote tuna dini zetu ambazo ndio mwongozo wa maisha yetu na hakuna kitu kibaya kama serikali ikipoteza mila na desturi za wale inaowaongoza kwa visingizio vya 'Separation of Church and State" kwa sababu wenzetu walifanya hivyo kwa sababu maalum wakipinga sheria moja tu ya Blasphemy ilowanyima Uhuru wa kutoa maoni. Sisi hatuwezi kuepuka Custom law maana ni sehemu ya jamii yetu na hakuna kitu kizuri kama kuwakutanisha viongozi wa Dini inapohitajika.

Hivi tunavyozungumza hufanyika vikao na mara nyingi vimetoa suluhu ya mambo mengi yalokuwa yakichukuliwa kama chuki baina ya imani zetu jambo ambalo lingeweza kabisa kuleta madhara makubwa kama lingepuuzwa. Isipokuwa nakubaliana na wewe sana tu pale serikali inapowaruhusu viongozi wa dini kutoa mwelekezo kwa kisiasa kwa serikali, kinachotakiwa ni wao kupewa maelekezo na serikali wao ni kama Polisi wetu wana serve na ku protect kwa kufundisha mema na kuonya mabaya.. kazi yao sio kutunga sheria bali wanawajibika kufuata sheria.

Dini haiwezi kubakia kama imani ya mtu binafsi ikiwa sisi wenyewe tunatambulishana juu ya Waislaam/Wakristu kama kwamba ni wafuasi wa ama society fulani. And for that needs to be controlled maana Wayahudi wameweza kudai nchi ni yao kwa kutumia dini na ikahalalishwa dunai nzima na sasa tumeona ISIS wakianza kudai nchi... ni mwanzo wa marudio ya kuhalalisha dini kumiliki nchi - Tujihadhari.[/QUOTE]
ni kweli kabisa dini zimeshakuwa sehemu ya utamaduni wetu na kamwe hatuwezi kuepuka hilo, zaid ni kusaidiana na kushirikiana na taasisi mbalimbali za kidini ili tuweze kudumisha na kuboresha aman yetu
 
The Boss

Dini ibaki kuwa ni jambo la mtu binafsi na viongozi wa dini waachwe huko huko kwenye mimbari za dini zao
Unajua mnachekesha sana kuwasoma wakati mwingine. Nirahisi sana kumuona January Makamba amekosea kusema hivyo wakati kila mkutano niliwahi kuhudhuria wa vyama au sherehe za Kitanzania lazima muanze na Asalaam Aleikum - Asifiwe bwana Yesu Kristo, sasa kama mliona kuna makosa ya matumizi ya dini kwa nini hamkuanza na salaam zenu wenyewe mkaweka maneno jingine badala yake?.

Kumbukeni jamani sisi sote tuna dini zetu ambazo ndio mwongozo wa maisha yetu na hakuna kitu kibaya kama serikali ikipoteza mila na desturi za wale inaowaongoza kwa visingizio vya 'Separation of Church and State" kwa sababu wenzetu walifanya hivyo kwa sababu maalum wakipinga sheria moja tu ya Blasphemy ilowanyima Uhuru wa kutoa maoni. Sisi hatuwezi kuepuka Custom law maana ni sehemu ya jamii yetu na hakuna kitu kizuri kama kuwakutanisha viongozi wa Dini inapohitajika.

Hivi tunavyozungumza hufanyika vikao na mara nyingi vimetoa suluhu ya mambo mengi yalokuwa yakichukuliwa kama chuki baina ya imani zetu jambo ambalo lingeweza kabisa kuleta madhara makubwa kama lingepuuzwa. Isipokuwa nakubaliana na wewe sana tu pale serikali inapowaruhusu viongozi wa dini kutoa mwelekezo kwa kisiasa kwa serikali, kinachotakiwa ni wao kupewa maelekezo na serikali wao ni kama Polisi wetu wana serve na ku protect kwa kufundisha mema na kuonya mabaya.. kazi yao sio kutunga sheria bali wanawajibika kufuata sheria.

Dini haiwezi kubakia kama imani ya mtu binafsi ikiwa sisi wenyewe tunatambulishana juu ya Waislaam/Wakristu kama kwamba ni wafuasi wa ama society fulani. And for that needs to be controlled maana Wayahudi wameweza kudai nchi ni yao kwa kutumia dini na ikahalalishwa dunai nzima na sasa tumeona ISIS wakianza kudai nchi... ni mwanzo wa marudio ya kuhalalisha dini kumiliki nchi - Tujihadhari.[/QUOTE]
ni kweli kabisa dini zimeshakuwa sehemu ya utamaduni wetu na kamwe hatuwezi kuepuka hilo, zaid ni kusaidiana na kushirikiana na taasisi mbalimbali za kidini ili tuweze kudumisha na kuboresha aman yetu
 
MASSANGE kuna mtu alikuwa anachukua fedha za ruhusa kumuona Rais??
Nauliza tuu, Jf inafunuaga chini ya carpert!!Heko Jf!!
 
Last edited by a moderator:
The Boss haitakiwi sheria ili hilo liwepo mimi nadhani inahitajika miiko ya uongozi ili kuliweka hili sawa. Serikali na dini havitakiwi kuwa pamoja hapo Tutakaribisha machafuko zaid
 
The Boss haitakiwi sheria ili hilo liwepo mimi nadhani inahitajika miiko ya uongozi ili kuliweka hili sawa. Serikali na dini havitakiwi kuwa pamoja hapo Tutakaribisha machafuko zaid

Tatizo ni mifumo ya dini na wala sio waumini..
 
Umeshaambiwa hata mtihani wa fomu foo alikwapua pepa.
Rais gani hajui hata katiba yake inasemaje kuhusu dini.
Laiti Nyerere (R.I.P Mwalimu) angekuwepo akaona uozo unaoendelea.
 
nchi hii haijawa na tatizo la udini kufikia hatua ya viongozi wa kidini na serikali wawe wanakutana kila baada ya mwezi
 
Umeshaambiwa hata mtihani wa fomu foo alikwapua pepa.
Rais gani hajui hata katiba yake inasemaje kuhusu dini.
Laiti Nyerere (R.I.P Mwalimu) angekuwepo akaona uozo unaoendelea.

Yani mimi nilisikia ataanzisha vitu vingi mara baraza la uchumi la taifa mara baraza la amani mara chombo cha biashara vitu lukuki hayo ma vikao posho zitatumika tu bila tija.
 
Uko sahihi the Boss, ingawa niliwahi kupendekeza yawepo mazungumzo ya pamoja ya viongozi wa dini kulipotokea kutokuelewana baina ya dini. Hili lilifanyaka na lilisaidia kupunguza mihemuko iliyokuwa imeshika kasi.
 
Umeshaambiwa hata mtihani wa fomu foo alikwapua pepa.
Rais gani hajui hata katiba yake inasemaje kuhusu dini.
Laiti Nyerere (R.I.P Mwalimu) angekuwepo akaona uozo unaoendelea.

Lakini mbona huwa tunaambiwa jamaa ni kichwa sana.

Sasa kama ni kichwa kwa nini mtihani wa fom foo akwapue:becky:?
 
The Boss

Dini ibaki kuwa ni jambo la mtu binafsi na viongozi wa dini waachwe huko huko kwenye mimbari za dini zao
Unajua mnachekesha sana kuwasoma wakati mwingine. Nirahisi sana kumuona January Makamba amekosea kusema hivyo wakati kila mkutano niliwahi kuhudhuria wa vyama au sherehe za Kitanzania lazima muanze na Asalaam Aleikum - Asifiwe bwana Yesu Kristo, sasa kama mliona kuna makosa ya matumizi ya dini kwa nini hamkuanza na salaam zenu wenyewe mkaweka maneno jingine badala yake?.

Kumbukeni jamani sisi sote tuna dini zetu ambazo ndio mwongozo wa maisha yetu na hakuna kitu kibaya kama serikali ikipoteza mila na desturi za wale inaowaongoza kwa visingizio vya 'Separation of Church and State" kwa sababu wenzetu walifanya hivyo kwa sababu maalum wakipinga sheria moja tu ya Blasphemy ilowanyima Uhuru wa kutoa maoni. Sisi hatuwezi kuepuka Custom law maana ni sehemu ya jamii yetu na hakuna kitu kizuri kama kuwakutanisha viongozi wa Dini inapohitajika.

Hivi tunavyozungumza hufanyika vikao na mara nyingi vimetoa suluhu ya mambo mengi yalokuwa yakichukuliwa kama chuki baina ya imani zetu jambo ambalo lingeweza kabisa kuleta madhara makubwa kama lingepuuzwa. Isipokuwa nakubaliana na wewe sana tu pale serikali inapowaruhusu viongozi wa dini kutoa mwelekezo kwa kisiasa kwa serikali, kinachotakiwa ni wao kupewa maelekezo na serikali wao ni kama Polisi wetu wana serve na ku protect kwa kufundisha mema na kuonya mabaya.. kazi yao sio kutunga sheria bali wanawajibika kufuata sheria.

Dini haiwezi kubakia kama imani ya mtu binafsi ikiwa sisi wenyewe tunatambulishana juu ya Waislaam/Wakristu kama kwamba ni wafuasi wa ama society fulani. And for that needs to be controlled maana Wayahudi wameweza kudai nchi ni yao kwa kutumia dini na ikahalalishwa dunai nzima na sasa tumeona ISIS wakianza kudai nchi... ni mwanzo wa marudio ya kuhalalisha dini kumiliki nchi - Tujihadhari.[/QUOTE]

hata hizo salamu hazina maana hua ni mbwembwe tu! I kwann wasiseme habari zenu basi kazi iendelee
 
Last edited by a moderator:
Niseme kuwa katika wagombea wa CCM angalau January katoa 'picha' atakuwa Rais wa namna gani akiweza kufika.....wengine wengi hatujui misimamo yao ya mambo mengi.

Sasa leo katika hotuba yake ya kutangaza nia January kazungumzia 'ufa wa kidini'na kwa mawazo yake akipewa Urais basi ataunda 'baraza maalum la viongozi wa dini'eti kazi yao iwe kukutana kila baada ya miezi miwili na kujadili namna 'ya kutunza amani'na kuondoa huo mgawanyiko wa kidini.

Binafsi naona likifanyika hilo ndio nchi itaingia kwenye mgawanyiko mkubwa zaidi wa kidini umoja wa watanzania, amani upendo na mshikamano haupo sababu ya viongozi wa kidini.

Watanzania wengi wamechanganya dini kwenye familia zao na wanashirikiana vizuri tu kuanzisha Taasisi zitakazo wapa sauti viongozi wa kidini ndio itakuwa 'platform' ya wao ku manipulate 'their influences' na ku gain more voice za kuwagawa wananchi.

Kinachohitajika ni kuwaacha na kuwa na serikali ambayo haiwapi sauti yoyote ile kwenye masuala ya kitaiifa.....'Dini ibaki kuwa ni jambo la mtu binafsi' na viongozi wa dini waondolewe kwenye 'National Affairs' completely.

Tuache kabisa kushirikisha shughuli za kidini na za viongozi wa kitaifa...Sherehe zote za kidini zibaki kuwa za kidini na viongozi wa kitaifa hasa wa serikali.

Wasihusike na wala wasiende kwenda kuhutubbia masuala ya kitaifa ndani ya misikiti na makanisa.

Kama tuko serious na kutenganisha dini na siasa....basi tusiruhusu hizi idea za January kupewa nafasi.

Mawazo ya January kwa juu yanaonekana mazuri sana lakini kiukweli ni mawazo hatari sana sababu yatazidi kuwapa nguvu isiyo ya lazima viongozi wa kidini.

Watu kama Gwajima watajikuta wanapewa 'umuhimu wa kitaifa' usio na lazima kwa kupitia vyombo kama hivyo ambavyo January anataka kushawishi viwepo.

Dini ibaki kuwa ni jambo la mtu binafsi na viongozi wa dini waachwe huko huko kwenye mimbari za dini zao.


Shida ya Makamba ni ukosefu wa positive experience. Yeye ni kinda mno kwenye mambo ya uongozi, na mbaya zaidi, mentors wake wamemuharibu kwa kumuonesha kuwa anafaa kuliko uwezo wake. Hivyo amejijengea buble kuwa ana majibu ya maswali asiyo na uwezo wala uzoefu wa kuyatatua. kama sim card na internet regulations zinamshinda na hivi ni vitu fixed, ataweza ku-control emotions za watu milioni 50?anadhania kina Nyerere waliweza kwa kuchukua ya vitabuni tu, Nyerere and the like was leadership material of the highest order and not like what we have now. Ni bora akauliza kwa wenzie CCM wenye experience ya ku-handle such delicate issues, sio kwa sababu yeye ni mgeni na kijana basi kila kitu afumue alete kipya. saa nyengine unatumia msemo wa "if it's not broken, do not fix it".
 
Niseme kuwa katika wagombea wa CCM angalau January katoa 'picha' atakuwa Rais wa namna gani akiweza kufika.....wengine wengi hatujui misimamo yao ya mambo mengi.

Sasa leo katika hotuba yake ya kutangaza nia January kazungumzia 'ufa wa kidini'na kwa mawazo yake akipewa Urais basi ataunda 'baraza maalum la viongozi wa dini'eti kazi yao iwe kukutana kila baada ya miezi miwili na kujadili namna 'ya kutunza amani'na kuondoa huo mgawanyiko wa kidini.

Binafsi naona likifanyika hilo ndio nchi itaingia kwenye mgawanyiko mkubwa zaidi wa kidini umoja wa watanzania, amani upendo na mshikamano haupo sababu ya viongozi wa kidini.

Watanzania wengi wamechanganya dini kwenye familia zao na wanashirikiana vizuri tu kuanzisha Taasisi zitakazo wapa sauti viongozi wa kidini ndio itakuwa 'platform' ya wao ku manipulate 'their influences' na ku gain more voice za kuwagawa wananchi.

Kinachohitajika ni kuwaacha na kuwa na serikali ambayo haiwapi sauti yoyote ile kwenye masuala ya kitaiifa.....'Dini ibaki kuwa ni jambo la mtu binafsi' na viongozi wa dini waondolewe kwenye 'National Affairs' completely.

Tuache kabisa kushirikisha shughuli za kidini na za viongozi wa kitaifa...Sherehe zote za kidini zibaki kuwa za kidini na viongozi wa kitaifa hasa wa serikali.

Wasihusike na wala wasiende kwenda kuhutubbia masuala ya kitaifa ndani ya misikiti na makanisa.

Kama tuko serious na kutenganisha dini na siasa....basi tusiruhusu hizi idea za January kupewa nafasi.

Mawazo ya January kwa juu yanaonekana mazuri sana lakini kiukweli ni mawazo hatari sana sababu yatazidi kuwapa nguvu isiyo ya lazima viongozi wa kidini.

Watu kama Gwajima watajikuta wanapewa 'umuhimu wa kitaifa' usio na lazima kwa kupitia vyombo kama hivyo ambavyo January anataka kushawishi viwepo.

Dini ibaki kuwa ni jambo la mtu binafsi na viongozi wa dini waachwe huko huko kwenye mimbari za dini zao.

Yes. Well said. Hao Vilaza, mtaniwia radhi kwa wale ambao wananufaika na dini , wakipewa nafasi watatusumbua sana kama Nchi.
 
Na kwa wanaokumbuka, hii biashara ya kuwapa platform viongozi wa dini, ndo iliowaibua akina Shehe Ponda, Padri Slaa and the like.
 
The Boss

Dini ibaki kuwa ni jambo la mtu binafsi na viongozi wa dini waachwe huko huko kwenye mimbari za dini zao
Unajua mnachekesha sana kuwasoma wakati mwingine. Nirahisi sana kumuona January Makamba amekosea kusema hivyo wakati kila mkutano niliwahi kuhudhuria wa vyama au sherehe za Kitanzania lazima muanze na Asalaam Aleikum - Asifiwe bwana Yesu Kristo, sasa kama mliona kuna makosa ya matumizi ya dini kwa nini hamkuanza na salaam zenu wenyewe mkaweka maneno jingine badala yake?.

Kumbukeni jamani sisi sote tuna dini zetu ambazo ndio mwongozo wa maisha yetu na hakuna kitu kibaya kama serikali ikipoteza mila na desturi za wale inaowaongoza kwa visingizio vya 'Separation of Church and State" kwa sababu wenzetu walifanya hivyo kwa sababu maalum wakipinga sheria moja tu ya Blasphemy ilowanyima Uhuru wa kutoa maoni. Sisi hatuwezi kuepuka Custom law maana ni sehemu ya jamii yetu na hakuna kitu kizuri kama kuwakutanisha viongozi wa Dini inapohitajika.

Hivi tunavyozungumza hufanyika vikao na mara nyingi vimetoa suluhu ya mambo mengi yalokuwa yakichukuliwa kama chuki baina ya imani zetu jambo ambalo lingeweza kabisa kuleta madhara makubwa kama lingepuuzwa. Isipokuwa nakubaliana na wewe sana tu pale serikali inapowaruhusu viongozi wa dini kutoa mwelekezo kwa kisiasa kwa serikali, kinachotakiwa ni wao kupewa maelekezo na serikali wao ni kama Polisi wetu wana serve na ku protect kwa kufundisha mema na kuonya mabaya.. kazi yao sio kutunga sheria bali wanawajibika kufuata sheria.

Dini haiwezi kubakia kama imani ya mtu binafsi ikiwa sisi wenyewe tunatambulishana juu ya Waislaam/Wakristu kama kwamba ni wafuasi wa ama society fulani. And for that needs to be controlled maana Wayahudi wameweza kudai nchi ni yao kwa kutumia dini na ikahalalishwa dunai nzima na sasa tumeona ISIS wakianza kudai nchi... ni mwanzo wa marudio ya kuhalalisha dini kumiliki nchi - Tujihadhari.[/QUOTE]

Sio kweli tatizo la kidini aliitaji attention kubwa namna hiyo.mfano tu mdogo me nasali kanisa ambalo limetengana na msikiti kwa ramani ya kiwanja tu na wala sio ukuta,tuukiimba wanasikia na wakitoa azana tunasikia lakin hatujai kugombana hata sikumoja na kuna siku kwa bahati mbaya fundi wa ujenzi wa msikitini alijisahau akachukua mchanga wa kanisani kwetu akawa anajengea kule msikitini ndugu zetu waislam waliposikia fundi alikosea wakaja kuomba msamaha kwa maana ya kutoa taarifa na sisi tukawasamehe na wala mchanga hatukudai.UTATAFUTAJE SURUHU KATI YA MTU NA MKE WAKE AU MFANYABIASHARA MWEZANKE KILA SIKU WAKO PAMOJA.kwa hili my kaka January alichemka na washauri wake
 
Sio kweli tatizo la kidini aliitaji attention kubwa namna hiyo.mfano tu mdogo me nasali kanisa ambalo limetengana na msikiti kwa ramani ya kiwanja tu na wala sio ukuta,tuukiimba wanasikia na wakitoa azana tunasikia lakin hatujai kugombana hata sikumoja na kuna siku kwa bahati mbaya fundi wa ujenzi wa msikitini alijisahau akachukua mchanga wa kanisani kwetu akawa anajengea kule msikitini ndugu zetu waislam waliposikia fundi alikosea wakaja kuomba msamaha kwa maana ya kutoa taarifa na sisi tukawasamehe na wala mchanga hatukudai.UTATAFUTAJE SURUHU KATI YA MTU NA MKE WAKE AU MFANYABIASHARA MWEZANKE KILA SIKU WAKO PAMOJA.kwa hili my kaka January alichemka na washauri wake
Wewe ni raia unayeishi kutokana na mfumo uliopo, matokeo ya kanisa lako na msikiti kuwa karibu ama pamoja ni matokeo ya maelewano baina ya serikali na viongozi wa dini. Hata hivyo viwanja vya nmakanisa na misikiti zimepewa kipaumbele kupata nafasi hizo, hivyo lazima kuwepo na mawasiliano na sio Ushirika. Tunachopinga ni USHIRIKA baina ya vyombo vya dini na serikali iwe hata kupewa misamaha ya kodi, kuendesha shughuli ambazo ni mamlaka ya serikali, kuingilia siasa kwa jina la dini na kadhalika. Lakini kuzuia kabisa viongozi wasifike hata katika shughuli za dini ati kwa sababu italeta mgogoro ni fikra chafu uanza na sisi wenyewe. Kuna tatizo gani serikali kukutana na viongozi wa dini na kuwasikiliza na hata kuwapa maelekezo ya sheria katika kuboresha jamii zetu!

Kwa hiyo mahusiano mazuri ya vyombo vya dini na serikali ndio chanzo cha wewe kusali karibu na Muislaam na isiwepo mushkheri kama serikali inavyoweza kuwa na mawasiliano na vyombo na taasisi nyingine za Kijamii. Na sio lazima iwe seirkali kuu, hata serikali za mitaa zinaweza kuwa kiungo cha mikutano hiyo inapohitajika. Siku zote amani hupotea pale makundi mawili yanapokosa mawasiliano mema, tunaishi dunia nyingine kabisa, dunia ambayo cheche zikiwashwa tu kazi ya kuuzima moto wake ni shughuli kubwa.
 
Na mwenye akuelewe,Tatizo la viongozi wa dini sio kukutana na kufanya vikao,wanachotaka wao wasikilizwe(wapate platform) katika process ya kutaka kusikilizwa ndo UDINI unajitokeza
 
Niseme kuwa katika wagombea wa CCM angalau January katoa 'picha' atakuwa Rais wa namna gani akiweza kufika.....wengine wengi hatujui misimamo yao ya mambo mengi.

Sasa leo katika hotuba yake ya kutangaza nia January kazungumzia 'ufa wa kidini'na kwa mawazo yake akipewa Urais basi ataunda 'baraza maalum la viongozi wa dini'eti kazi yao iwe kukutana kila baada ya miezi miwili na kujadili namna 'ya kutunza amani'na kuondoa huo mgawanyiko wa kidini.

Binafsi naona likifanyika hilo ndio nchi itaingia kwenye mgawanyiko mkubwa zaidi wa kidini umoja wa watanzania, amani upendo na mshikamano haupo sababu ya viongozi wa kidini.

Watanzania wengi wamechanganya dini kwenye familia zao na wanashirikiana vizuri tu kuanzisha Taasisi zitakazo wapa sauti viongozi wa kidini ndio itakuwa 'platform' ya wao ku manipulate 'their influences' na ku gain more voice za kuwagawa wananchi.

Kinachohitajika ni kuwaacha na kuwa na serikali ambayo haiwapi sauti yoyote ile kwenye masuala ya kitaiifa.....'Dini ibaki kuwa ni jambo la mtu binafsi' na viongozi wa dini waondolewe kwenye 'National Affairs' completely.

Tuache kabisa kushirikisha shughuli za kidini na za viongozi wa kitaifa...Sherehe zote za kidini zibaki kuwa za kidini na viongozi wa kitaifa hasa wa serikali.

Wasihusike na wala wasiende kwenda kuhutubbia masuala ya kitaifa ndani ya misikiti na makanisa.

Kama tuko serious na kutenganisha dini na siasa....basi tusiruhusu hizi idea za January kupewa nafasi.

Mawazo ya January kwa juu yanaonekana mazuri sana lakini kiukweli ni mawazo hatari sana sababu yatazidi kuwapa nguvu isiyo ya lazima viongozi wa kidini.

Watu kama Gwajima watajikuta wanapewa 'umuhimu wa kitaifa' usio na lazima kwa kupitia vyombo kama hivyo ambavyo January anataka kushawishi viwepo.

Dini ibaki kuwa ni jambo la mtu binafsi na viongozi wa dini waachwe huko huko kwenye mimbari za dini zao.

Nilipata kushuhudia katika mkoa mmoja wakristo na waislamu walijiamini kuwa wameshikamana vizuri wakaandaa mdahalo wa pamoja. Kumbe huko wakatambiana eti dini ya kweli ni ile iliyoruhusiwa kuchinja mifugo watu wote wale! Walipotoka pale Wakristu walikwenda kukaa na kuamua kuwa nao wataanza kuchinja. Mzozo mkubwa ulianza ingawa hatimaye ulimalizwa kwa busara. Hata hivyo, muda mfupi mzozo kama huo uliibuka Mwanza na madhara yake yanafahamika. Haya mambo ya imani yanahitaji busara nyingi.
 
Back
Top Bottom