mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,042
- 35,934
Baba na mwana katika hizi familia mbili za wapakwa mafuta zinatafakarisha.
UKimchukua January Makamba na mzee wake Yusuf ukaweweka kwenye mzani,Yusuf atamzidi January kwa umri tu,ni dhairi January alijifunza siasa kwa mzeewake na akampiku kila kitu,elimu,aiba nk.
Njoo kwa Rizwan ambaye nilitarajia awe bora kuliko mzee wake lakini wapi,kwa umri wake wa miska 45 mzee wake alikuwa anatetemesha nchi hadi mwalimu Nyerere alijuta kumfahamu,leo hii tukiambiwa tuchague Rais chini ya mtutu wa bunduki kati ya Rizwan au JK ,tutamchagua JK,
Rizwan unafeli wapi???
UKimchukua January Makamba na mzee wake Yusuf ukaweweka kwenye mzani,Yusuf atamzidi January kwa umri tu,ni dhairi January alijifunza siasa kwa mzeewake na akampiku kila kitu,elimu,aiba nk.
Njoo kwa Rizwan ambaye nilitarajia awe bora kuliko mzee wake lakini wapi,kwa umri wake wa miska 45 mzee wake alikuwa anatetemesha nchi hadi mwalimu Nyerere alijuta kumfahamu,leo hii tukiambiwa tuchague Rais chini ya mtutu wa bunduki kati ya Rizwan au JK ,tutamchagua JK,
Rizwan unafeli wapi???