Unajua mnachekesha sana kuwasoma wakati mwingine. Nirahisi sana kumuona January Makamba amekosea kusema hivyo wakati kila mkutano niliwahi kuhudhuria wa vyama au sherehe za Kitanzania lazima muanze na Asalaam Aleikum - Asifiwe bwana Yesu Kristo, sasa kama mliona kuna makosa ya matumizi ya dini kwa nini hamkuanza na salaam zenu wenyewe mkaweka maneno jingine badala yake?.The Boss
Dini ibaki kuwa ni jambo la mtu binafsi na viongozi wa dini waachwe huko huko kwenye mimbari za dini zao
The Boss umetoa madini matupu hapa.Idea yako ni sahihi.
Huwezi kufuta kitu kwa kukipa umuhimu bali kwa kukipotezea na kukipunguzia ushawishi.
Mkuu The Boss ,nadhani unaufahamu ule msemo unaosema take the bull by the horns
Kwa mtazamo wa haraka aliyosema Makamba yanonekana kama tatizo.
Suluhu uliyoshauri ni kuwaacha viongoziwa dini mbali na siasa. Nzuri kabisa!
Je, viongozi wa siasa wafanywe nini? Kwamba ni makosa kuchanganya dini na siasa lakini ni halali kuchanganya siasa na dini. Mpaka upo wapi?
Kama tunakubali viongozi wa dini wabaki kwenye masinagogi,misikiti na makanisa, basi tuwaeleze wanasiasa wabaki katika majukwa ya siasa, wakienda misikitini au Mkanishani waende kama waumini, si viongozi wa dini
Endapo hatutaweza kusema hayo, basi hatuwezi kuepeuka viongozi wa dini kuwa sehemu ya siasa.
Lakini pia tusiishie kuwaambia wakae huko kwenye dini,lazima tuwarudhishie misahafu na bibilia zao ili wakati wanasiasa wanaapa wasitumie kabisa vitabu hivyo.
We mpuuzi bila kumtaja Gwajima hua hausikii raha sio?!
The Boss umetoa madini matupu hapa.Idea yako ni sahihi.
Huwezi kufuta kitu kwa kukipa umuhimu bali kwa kukipotezea na kukipunguzia ushawishi.
January seems to lack appreciation of the time tested concept of "Separation of Church and State" and the need to maintain a secular state.
I suspect though, this proposal of his, is just a ploy to appease and appeal for the support of all faiths and religions, in his quest for the highest office in the country. Based on what I have seen so-far (e.g the cyber crimes Act that he championed) January is not the kinda person who will seek anybody's input on how to maintain peace in the country.If he becomes President, I bet he won't give a rat's ass about what any religious leader has to say, with regard to maintaining peace in the country. He will do as he sees fit, regardless of the consequences.
This January fellow is one to be wary of, as he clearly habors dictatorial tendencies (again this can be inferred from the cybercrimes ACT he championed). He comes across as a Mr know it all. If he becomes President, he will probably suppress a lot of our civl liberties, and if we complain, he will simply tell us he knows what is best for us, so we should just put up or shut up. January appears to be so full of himself!! He strikes me as a very corky fellow, hot headed and immature. Both not qualities befitting a head of state. In my considered judgement, January is not yet presidential material. Maybe in 10 years time, he might by then be mature enough to run a country.
i support at least one of his proposals though:- empowering the PCCB to institute charges before any court in the country, without having to go thru the DPP. This is long overdue!
hauwezi kumpuuza January Makamba kwa kiapnde hicho tu ambacho anaweza kusahihishwa kuliko hao viongozi wengine wenye jana nyingi kuliko leo. Kwa jinsi alivyoongea na kujipanga ameonyesha kukomaa kuliko wenzake waliomtangulia kutangaza nia, na taifa au kiongozi atayepata urais anaweza kutumia mawazo mazuri na kuacha yasiyo mazuri.