Tatizo la watu wa JF ni pale Muislaam anapozungumzia Dini tu ujue wanaanza kushtuka kuna nini? huyu anataka kufanya nini yaani hata siwaelewi watanzania japo viongozi kibao sio tu wanasema bali wanashauriwa na viongozi wa dini..It is too late, viongozi wa dini siku hizi lazima wapige politics, so it is just important for them to have a platform huwezi kuwaminya Tena... They like it Kama Asali.
Kufuata mfumo wako ni Kama kufumbia macho tatizo ambalo lipo.
To to my opinion wakipewa platform watapunguza hate speaches.
Ila pia alisema anawatumia kujadili maadili ya jamii in general.
Walikuwepo wote hao plus Mama mzazi wa January na babu mtu, yaani baba yake mzazi mzee Yusufu.Naomba nami kupata update, je baba Mtu (Mzee Makamba) alikuwepo? Je dada mtu (Mwanvita) alikuwepo?
Hata ukiingalia wahudhuriaji wa tukio lile, wavaa 'barghashia' walionekana kwa wingi.Mtusi hasa banya milenge machafuko kwake ndio deal,
huyu jamaa ni mdini sana anajificha kwenye siasa tu sio mtu mzuri hata kidogo ataliingiza Taifa kwenye matatizo zaidi.
Kilichonishangaza zaidi katika hotuba yake huyo dogo ni 'kuwakandia' vikali wagombea wenzake wote waliodai kuwa nchi yetu itakuwa inaingia kwenye uchumi wa gesi kwa siku za karibuni, akidai kuwa expectations hizo ni sawasawa na day dreams!Umenena, dogo hatumii akili. Ila bado sijaona mgombea serious zaidi ya edo
Kumbukeni jamani sisi sote tuna dini zetu ambazo ndio mwongozo wa maisha yetu na hakuna kitu kibaya kama serikali ikipoteza mila na desturi za wale inaowaongoza kwa visingizio vya 'Separation of Church and State" kwa sababu wenzetu walifanya hivyo kwa sababu maalum wakipinga sheria moja tu ya Blasphemy ilowanyima Uhuru wa kutoa maoni. Sisi hatuwezi kuepuka Custom law maana ni sehemu ya jamii yetu na hakuna kitu kizuri kama kuwakutanisha viongozi wa Dini inapohitajika.
Dini haiwezi kubakia kama imani ya mtu binafsi ikiwa sisi wenyewe tunatambulishana juu ya Waislaam/Wakristu kama kwamba ni wafuasi wa ama society fulani. And for that needs to be controlled maana Wayahudi wameweza kudai nchi ni yao kwa kutumia dini na ikahalalishwa dunai nzima na sasa tumeona ISIS wakianza kudai nchi... ni mwanzo wa marudio ya kuhalalisha dini kumiliki nchi - Tujihadhari.
Hivi unafahamu kuwa Chama cha kiongozi wa Ujerumani, Angela Markel ni kinaitwa Christian Democratic Union (CDU) na chama dada ni Christian Social Union? Ideology ya chama ni Social Conservatism, Christian Democtacy an European Unionism. Na hata siku moja hujasikia Wajerumani wamechapana sababu ya udini.
La msingi hapa ni kuepuka ubaguzi wa aina yoyote ile nchini, na kujua Functions of Religion in Society. Dini inasehemu kubwa sana ktk jamii yoyote.
Mwisho, labda ukipata muda jifunze hizi terms mbili: Social Cohesion na Social Stability. Nadhani zitakupa muangaza kidogo wa kujua umuhimu wa dini ktk jamii.
Only in JAMIIFORUMS
Whats wrong with kiongozi wa kitaifa kukutanisha viongozi wa dini mbali mbali kuangalia namna ya kuboresha amani na utulivu au ku address any issues walizo nazo?
Hivi inamaana hupendi JK au Mkapa au Nyerere alivyokuwa anakutana na viongozi wa dini?
acha hizo