Bujoro
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,143
- 2,275
SanaaaHii point
SanaaaHii point
FactKweli maisha ni vita. Kwa mwenye uwezo wa kupambana na masomo huyo mwacheni apambane. Mwenye uwezo wa kupambana nje ya masomo nae aendelee kupambana. Pia kama kuna mwenye uwezo wa kupambana katika yote yaani kwenye masomo na nje ya masomo kwa kufanya biashara, kilimo n.k. nae mwacheni apambane kivyake. Kila mmoja apambane kwa kutumia silaha aliyonayo mkononi mwake bila kuchoka. Katika maisha kazi zipo nyingi na si rahisi watu wote tukafanya kazi zinazofanana na pia tukafanikiwa kimaisha kwa kiwango kinacholingana.
Yes aweke nacha 6Hebu bandika na cha form 6
Nimeisha lijibu hiliAkikijibu naomba uni tag asee nataka kujua anaendeleaje kimaisha maana waliosoma sana huwa waoga wa maisha kuliko ambao hatujasoma
Dah hili nao neno aisee hahahhhamaliza chuo uje nikuajiri na division four yangu.




Kwani kuajiri ni kuvunja sheria za nchi?unamfahamu ww mpaka useme anajipa matumaini kuna watu waliishia darasa la 7 wengi tu na wanapesa chafu sio za kulisi ni jasho lao walio wengi mliosoma mnaogpoa maisha sana mnaishia kuajiliwa mnafanya kazi ya kutomiza ndoto za wengine badala ya zenu
Elimu haina mwishoBado ni tegemezi kama unaendelea kusoma
Amekubali hahahahaha dah ..usicheze ma kitu pesa kila mtu anakitqfuta unasoma ili uajiliwe ulipwe heraKama una kampuni utaniajiri.. Mimi sichagui kazi





Ni umaskini tulionao mkuu mtu anawaza kusomesha ni kutmia hera wakat qnqona hera iko na mipango chingu nzimaKabisa,yaani bongo sijui tumerogwa,yaani mtu anahamasisha kutosoma
Mkuu nmekupa sata hata kama ukasoma mpaka marekani kama huna bahati nayo ni ngumu kutusua aisee.Naomba nikujibu,
Wale hawana kujudge vitu Sana na hawazoom,pia huwez kupewa vyote maisha ni bahati
Nami natak niijua nmpeleke mwananguUlikuwa vizur Sana lkn je ulisoma shule gan?
Kwani ni nani aliyesema kupata A ni guarantee ya kufanikiwa kimaisha?sijamaanisha hivyo..maana yangu ni kwamba kupata A Flat sio Guarantee ya kufanikiwa maishani!
Kimejaaa Fafafa mbwana samatta faaaMkuu unajua kutunza me changu nishasahau hadi kiko wapi ,na deals na vyeti vya maisha tuu
Ulijitahidi mkuu !!! Vipi maisha nayo umepiga A & B ?!![]()

Hao vilaza wanajifariji tu! Hafahamu kama wasanifu wa majengo wanatengenezwa pale ARDHI UNIVERSITY!Bora kuhamasisha Elimu kuliko kutohamasisha Elimu.Watu wasiposoma hayo maisha bora watayasikia bombani.Maana gari unayosema nani atatengeneza,nyumba nani atadesign ,AC na vyote ambavyo vimetokana na Elimu utavipata wapi.Kuikana Elimu ni kurudishana kwenye ujima
Maisha niko B,

Endelea kujifarijiHivi kwa nini wale wasiojiweza sana darasani hufanikiwa ki maisha zaidi ya ma genius ?!.