Gushleviv
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 3,437
- 5,146
For your information hakuna aliyefeli hapa... hoja ya msingi ni kwamba hizo A's zina mchango mdogo sana katika suala zima la kutusua maishani haswa A's za system yetu hii ya Elimu.Mliofeli mnakuwa na misemo fulani hivi ya kujifariji na husahau mapema au hushindwa kutafakari pengine ndio huo uzito pia uliowafanya mfeli. Umeandika kana kwamba unamjua vema mtoa post kipato chake nk.
Kuna wajinga huamini kina Bill Gate na Mark Zuckerberg ni mbulula. Yani mtu asome Havard University awe mbulula?
Uafrika shida sana