Hiki ndicho cheti changu cha form four

Hiki ndicho cheti changu cha form four

Mungu ametujalia akili na utashi lakini juhudi ni muhimu ili kuweza kufanikiwa. Nilitia juhudi Mungu akanijalia hiki.

Nilikuwa sina uchaguzi wa masomo mimi, sijui mwana art ama mwanasayansi sikuwa na hizo mimi.

Mpaka nafika form four nilikuwa sijui cha A, B, C, D au form. Nilikuwa sijui kabisa. Mimi nilikuwa najua marks tu 90, 95 ,mia hizo ndio zilikuwa zangu.

Sasa wenzetu tukiwaambia msome, hamtaki mnashinda na vikaratasi tu mnabet. Endeleeni kubet, betini kwa bidii ili mshinde Jackpot.

View attachment 958685
Ulikuwa vizur Sana lkn je ulisoma shule gan?
 
Hivi kwa nini wale wasiojiweza sana darasani hufanikiwa ki maisha zaidi ya ma genius ?!.
Hii ni generalization mie Huwa nashindwa kuielewa.Tanzania tupo milioni kama hamsini hivi.Hii generalization ingekuwa na uhalisia Basi watanzania wengi wangekuwa na maisha mazuri.Maana majority ya watanzania akili zetu za kuunga unga.
 
Hii ni generalization mie Huwa nashindwa kuielewa.Tanzania tupo milioni kama hamsini hivi.Hii generalization ingekuwa na uhalisia Basi watanzania wengi wangekuwa na maisha mazuri.Maana majority ya watanzania akili zetu za kuunga unga.
Watu wenye mtazamo huo wanafikra potofu. Hata MO dewji amekuza mara dufu biashara ya baba yake baada ya kutoka shule
 
Uzoefu upo mwingi tu hawa matajiri wengi wakubwa si wasomi .
Hebu fanya research utaniambia.
Hii ni generalization mie Huwa nashindwa kuielewa.Tanzania tupo milioni kama hamsini hivi.Hii generalization ingekuwa na uhalisia Basi watanzania wengi wangekuwa na maisha mazuri.Maana majority ya watanzania akili zetu za kuunga unga.
 
dogo waulize walioenda shule za vipaji maalum wako wapi...
 
Ukiwa na cheti kizuri sio mbaya, na ukiwa na cheti kizuri cha maisha pia sio mbaya. Ukiwa navyo vyote pia si mbaya. Lakini kama unamwaga vyeti hadharani kwa ajili ya tambo, halafu maisha yamekuchapa, utakuwa unajifariji kupitia vyeti. Maana hata wasio na vyeti hujivunia cash!
 
Mungu ametujalia akili na utashi lakini juhudi ni muhimu ili kuweza kufanikiwa. Nilitia juhudi Mungu akanijalia hiki.

Nilikuwa sina uchaguzi wa masomo mimi, sijui mwana art ama mwanasayansi sikuwa na hizo mimi.

Mpaka nafika form four nilikuwa sijui cha A, B, C, D au form. Nilikuwa sijui kabisa. Mimi nilikuwa najua marks tu 90, 95 ,mia hizo ndio zilikuwa zangu.

Sasa wenzetu tukiwaambia msome, hamtaki mnashinda na vikaratasi tu mnabet. Endeleeni kubet, betini kwa bidii ili mshinde Jackpot.

View attachment 958685
Mkuu vyeti sio ishu! Mimi nina 1 ya 11 o level! Ila maisha bado niko C!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom