Gushleviv
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 3,457
- 5,322
sijamaanisha hivyo..maana yangu ni kwamba kupata A Flat sio Guarantee ya kufanikiwa maishani!So watu wasisome?
Na wakisoma wasijitume sana ili kufaulu vizur?
Na ukifeli unafanikiwa kimaisha![]()
![]()
sijamaanisha hivyo..maana yangu ni kwamba kupata A Flat sio Guarantee ya kufanikiwa maishani!So watu wasisome?
Na wakisoma wasijitume sana ili kufaulu vizur?
Na ukifeli unafanikiwa kimaisha![]()
![]()
Sure. By the way, ukiwa na cheti kama hicho unachoweza kukosa ni 9 Or 10 figures bank account lkn maisha wa kawaida yataenda.Papa Mobimba nimekusoma. Mshukuru Mungu kukupa kipaji cha masomo. Wewe ni genius.
Hiyo ni record kwako na kwenye familia. Kama akaunti benki inasoma namba za kwenye vocha ya simu au hapana, sio hoja. Ulitumia muda wapo vizuri ukiwa shule. Hongera sana.
umejuaje ni jiniazi kama alikuwa ana kremingi capasiti kubwa??? 😂😂Papa Mobimba nimekusoma. Mshukuru Mungu kukupa kipaji cha masomo. Wewe ni genius.
Hiyo ni record kwako na kwenye familia. Kama akaunti benki inasoma namba za kwenye vocha ya simu au hapana, sio hoja. Ulitumia muda wapo vizuri ukiwa shule. Hongera sana.
Umeniona hiyo chaUnatokea musoma mkuu!
Ni kweli kabisa. Tonge halikosekani. Na mboga unakuwa na uhakika wa kubadlishaSure. By the way, ukiwa na cheti kama hicho unachoweza kukosa ni 9 Or 10 figures bank account lkn maisha wa kawaida yataenda.
Lkn wengi wenye vi-F na D ndo wale ambao maisha ya kawaida hayaendi.. na wachache sana ndo waliothubutu kunyanyua maghorofa K'koo, ambao inaonekana kama wanarepresent kundi la vilaza.
Bottom-line: Maisha yanahitaji kupambana sana regardless of As Or Fs za kwenye vyeti.
Ninachofaham moja ya mtu kuitwa jiniazi ni kuweza kucremu vitu ,umejuaje ni jiniazi kama alikuwa ana kremingi capasiti kubwa???![]()
Umeniona hiyo cha
Ngoja niongeze bidiiJitahidi Ufike B+ Mkuu!
Wenzio ndio tupo huku,japo hatukuwa na Mabanda Mengi kama Yako!
Ninachofaham moja ya mtu kuitwa jiniazi ni kuweza kucremu vitu ,
Vipi mimekosea mkuu?
Kila kitu nibidii. Huwezi kuwa na A ukabwetekaNgoja niongeze bidii
haina impact katika maishaMungu ametujalia akili na utashi lakini juhudi ni muhimu ili kuweza kufanikiwa. Nilitia juhudi Mungu akanijalia hiki.
Nilikuwa sina uchaguzi wa masomo mimi, sijui mwana art ama mwanasayansi sikuwa na hizo mimi.
Mpaka nafika form four nilikuwa sijui cha A, B, C, D au form. Nilikuwa sijui kabisa. Mimi nilikuwa najua marks tu 90, 95 ,mia hizo ndio zilikuwa zangu.
Sasa wenzetu tukiwaambia msome, hamtaki mnashinda na vikaratasi tu mnabet. Endeleeni kubet, betini kwa bidii ili mshinde Jackpot.
View attachment 958685
AsanteMzee mimi niligonga D flati...ila nina gari sita zote namba DD....what a coincidence...






Sas na kwa wale ambao wamepiga fresh kitabu ila maish yanatuendea vibaya ,tuite ni nin hapo mkuu??Kama huwezi kukariri kitu huwezi kuwa genius.
Maskini na tuliokosa shule tuna namna yetu ya kujifarijiNi asilimia ndogo sana.
Hiyo huwa ni kujipa matumaini tu
Linaweza kuwa pepo...jaribu kwenda kuombewa 😂😂😂Sas na kwa wale ambao wamepiga fresh kitabu ila maish yanatuendea vibaya ,tuite ni nin hapo mkuu??
Maan haya maisha sio poa kabisa
Jf Kila Mtu ana gariMzee mimi niligonga D flati...ila nina gari sita zote namba DD....what a coincidence...