Hiki ndicho cheti changu cha form four

Kwa kuwa mafanikio ni kuthubutu ,basi ambae darasani ni zero , anatumia zirp yake katika maamuzi magumu . Msoni anaogopa kwani anajua uhai wa mtu una thamani kubwa . Kwa maneno mengine maisha ni vita , hata jeshini kupigana hasa sio wasomi .
Kwani wasome hawaugui au hawafi.
Mbona kifo chenyewe hakibagui kijana mkubwa hakiangalii masters yako.
 
Hongera sana bwana....

,..............................................................
UKIITAJI VITU USED NA VIPYA
-Aina zote kwa bei. "NAFUU".. ni PM
Kuna Vitanda,Makabati,Magodoro,Laptops,Cameras,Majiko,Mazurka,TV,Showcases Nk
................................,.................................
 
oooh kijana nakumbuka maswali yalikuwa hivi:-
civics:the first president of Tanganyika was nyere...../A/re /B/ro
history:the leader who led the majimaji war was kinjekitile ngwa...../A/re /B/ru
geography:the highest mountain in Tanzania is....../A/kilimanjaro /B/ Rungwe
kiswahili:chai chapati hii ni rejesta ya...../A/kanisani/B/mghahawani
english:juma,issa,amina and frank are...../A/names/B/clothes
chemistry:eek:rganic chemistry is the topic of form..../A/two /B/four
physics:which is greater between 5kg of cotton and 5kg of stones...../A/equal /B/stones
biology:the human being has.....eyes /A/two /B/six
mathematics:2+[]=5

duh maisha ya ajabu sana yani kati ya watu milioni moja matajiri Tanzania hakuna Tanzania one hata mmoja
1.Campaign yako ni nini?
A. Wanafunzi kupata A'S wasijekua matajiri
B. Wanafunzi kupata F's wajekuwa matajiri
C. Je ni kweli wanao fail wote huja kuwa matajiri
2. Je wewe ni miongoni mwa matajiri wakubwa Tanzania na Africa mashariki?
 
Mungu ametujalia akili na utashi lakini juhudi ni muhimu ili kuweza kufanikiwa. Nilitia juhudi Mungu akanijalia hiki.

Nilikuwa sina uchaguzi wa masomo mimi, sijui mwana art ama mwanasayansi sikuwa na hizo mimi.

Mpaka nafika form four nilikuwa sijui cha A, B, C, D au form. Nilikuwa sijui kabisa. Mimi nilikuwa najua marks tu 90, 95 ,mia hizo ndio zilikuwa zangu.

Sasa wenzetu tukiwaambia msome, hamtaki mnashinda na vikaratasi tu mnabet. Endeleeni kubet, betini kwa bidii ili mshinde Jackpot.

View attachment 958685
Duuuuuuu ww ulkua kwikwi aisee dvn 1 point 8??
 
Cheti kinameremeta
Mungu ametujalia akili na utashi lakini juhudi ni muhimu ili kuweza kufanikiwa. Nilitia juhudi Mungu akanijalia hiki.

Nilikuwa sina uchaguzi wa masomo mimi, sijui mwana art ama mwanasayansi sikuwa na hizo mimi.

Mpaka nafika form four nilikuwa sijui cha A, B, C, D au form. Nilikuwa sijui kabisa. Mimi nilikuwa najua marks tu 90, 95 ,mia hizo ndio zilikuwa zangu.

Sasa wenzetu tukiwaambia msome, hamtaki mnashinda na vikaratasi tu mnabet. Endeleeni kubet, betini kwa bidii ili mshinde Jackpot.

View attachment 958685
 
Hiyo unajipa matumaini tu ndugu
unamfahamu ww mpaka useme anajipa matumaini kuna watu waliishia darasa la 7 wengi tu na wanapesa chafu sio za kulisi ni jasho lao walio wengi mliosoma mnaogpoa maisha sana mnaishia kuajiliwa mnafanya kazi ya kutomiza ndoto za wengine badala ya zenu
 
Kwa kuwa mafanikio ni kuthubutu ,basi ambae darasani ni zero , anatumia zirp yake katika maamuzi magumu . Msoni anaogopa kwani anajua uhai wa mtu una thamani kubwa . Kwa maneno mengine maisha ni vita , hata jeshini kupigana hasa sio wasomi .
Nmkuelewa mkuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom