msabillah
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 4,764
- 3,189
Kwani wasome hawaugui au hawafi.Kwa kuwa mafanikio ni kuthubutu ,basi ambae darasani ni zero , anatumia zirp yake katika maamuzi magumu . Msoni anaogopa kwani anajua uhai wa mtu una thamani kubwa . Kwa maneno mengine maisha ni vita , hata jeshini kupigana hasa sio wasomi .
Mbona kifo chenyewe hakibagui kijana mkubwa hakiangalii masters yako.